Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Madaraja yamejengwa kwa kodi zetu na mengine hadi mjukuu wako anadaiwa mnachoshindwa kuelewa leteni sera hoja zilizoshiba mtatutoaje hapa tulipo kutupeleka kwenye nchi ya maziwa na asali bila kusahau mpo hapo mwaka karibu wa sitini huu sio kwamba ndio mmepewa nchi juzi hoja zenye mashiko hayo hata aingie Rungwe yatajengwaNenda tu hapo Kibamba kawaulize kuna njia yao ya short cut ilikuwa aipiti bila ya daraja kufikia Mloganzila mvua zikinyesha ni kadaraja kadogo tu waulize sasa wenyeji uhuhimu wa hilo daraja kwao.
Hayo madaraja yanayounganisha wilaya na mikoa economic impact yake inabidi uandaliwe report, ndio ujue wewe ni mropokaji tu.
safiiiiPiga spana wabaguzi hawa wanatumia kodi zetu vibaya
Watakuwa wapo huko lumumba wanaulizanaSafi sana mbowe, unafiki hauna nafasi hata kidogo. Message delivered!
Hapo ni tatizo siwezi kubisha hii biashara ya wakurugenzi kunyima wapiga kura haki ya kuchagua kwakweli sio democracy.Sasa Kwanini hukuwashauri ccm wasifanye dhuluma, na ubakaji majimbo kwa kuwateka wapinzani, mapingamizi ya kijinga, polisi, takukuru nk, wakati CHADEMA wepesi tu?!!
Nashangaa wanasikitishwa na wao kufungishwa virago kisha wanalilia nec na tanpol[emoji1787][emoji1787][emoji1787]safiiii
Wanawadanganya watu etioooo tumejenga miundo mbinu mara ooo hiki na kile.Madaraja yamejengwa kwa kodi zetu na mengine hadi mjukuu wako anadaiwa mnachoshindwa kuelewa leteni sera hoja zilizoshiba mtatutoaje hapa tulipo kutupeleka kwenye nchi ya maziwa na asali bila kusahau mpo hapo mwaka karibu wa sitini huu sio kwamba ndio mmepewa nchi juzi hoja zenye mashiko hayo hata aingie Rungwe yatajengwa
Sasa ukishalima huko bila ya access ya barabara, madaraja na train nani atakuja kufuata hizo bidhaa huko.Madaraja yamejengwa kwa kodi zetu na mengine hadi mjukuu wako anadaiwa mnachoshindwa kuelewa leteni sera hoja zilizoshiba mtatutoaje hapa tulipo kutupeleka kwenye nchi ya maziwa na asali bila kusahau mpo hapo mwaka karibu wa sitini huu sio kwamba ndio mmepewa nchi juzi hoja zenye mashiko hayo hata aingie Rungwe yatajengwa
mkuu ila mtoto mzuri huyu ,kama 4 7 mbatijazi kama hajaolewa naomba connection wakuu , nikatoe mahaliWakaendelee na vipindi vya kumsifu na kumuabudu mungu wa ccm na yesu wa ccm huko wanapoteza muda View attachment 1551103
Mkuu angalau kwa hili umeguswa. TBC ni kodi za watanzania wote hata tusio na vyama, kwa nini ifanye kazi kama station ya chama?? Nimekuona hapa hukupendezwa kwa tabia ya TBC, ingawa hili limesemwa mara nyingi lakini watu wamekua hawalioni. Kidogo kidogo watu tutaelewana tu.Nawaza kwa mbali,
Ivi ndio CHADEMA wametinga IKULU KIMASIHARA TBC itaendelea kufanya kazi kama miaka yote?
Kazi nyepesi kwa msaada wa tume ya uchaguzi au sio!? Naona jamaa haamini tena kama mandege yatampigia kura.Akili za CDM wote sawa kuanzia viongozi wao wa juu mpaka wafuasi wa mtaani.
Lazima watafute mtu wa kumtolea hasira zao mambo yanapoenda kombo, mkutano umeenda ndivyo sivyo kwenye umati awataki TBC warushe, ata JF ukimkosoa Lissu lazima kuna jitu litataka likutee hasira zake kwako...
Kwanza hatuihitaji hiyo TBC.Jino kwa jino kama walizoea kutufanya mapopoma safari hii wasahau au wajipange kabla ya kuhitimisha unafiki wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamilioni unayozungumzia ni yapi hayo.? Na wangefikiwa vipi kama kile kilichomuhimu wanakikata hawarushi..nikabaki najiuliza watazamaji wanapaswa kusikiliza mkutano wa chadema au kuwasikiliza waoMwanasiasa yeyote makini awezi kukataa fursa ya bure ya kuwafikia wapiga kurawengi waliopo majumbani kwao.
Hizo ni hasira za mkizi...........
Hapo ni sawa na CDM kujinyima haki yao ya kusikilizwa na mamillioni ya wapiga kura kila watakapoenda huko mbeleni.
Uwezi laumu Azam na ITV wasipotokea kwenye mikutano yao ni kampuni binafsi; hila TBC wasipokuwepo na wewe unataka audience unaweza toa lawama.
Kupanga ndio kuchagua.
Umeumia eehh. Hasa ukichukulia kodi zetu ziko hapo, inauma sana mkuu.Mimi piah ni miongoni wa waliohuzunishwa na CHADEMA au Mbowe. Haikuwa ustaarabu wangewaacha tu. As long as na wao walikuwa na stream media yao.