Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Madaraja yamejengwa kwa kodi zetu na mengine hadi mjukuu wako anadaiwa mnachoshindwa kuelewa leteni sera hoja zilizoshiba mtatutoaje hapa tulipo kutupeleka kwenye nchi ya maziwa na asali bila kusahau mpo hapo mwaka karibu wa sitini huu sio kwamba ndio mmepewa nchi juzi hoja zenye mashiko hayo hata aingie Rungwe yatajengwaNenda tu hapo Kibamba kawaulize kuna njia yao ya short cut ilikuwa aipiti bila ya daraja kufikia Mloganzila mvua zikinyesha ni kadaraja kadogo tu waulize sasa wenyeji uhuhimu wa hilo daraja kwao.
Hayo madaraja yanayounganisha wilaya na mikoa economic impact yake inabidi uandaliwe report, ndio ujue wewe ni mropokaji tu.