- Thread starter
- #21
Au eye ni mfanyakazi wa TBS. Pamoja na kutoa viwango, ni wajibu wa TBS kuwa na follow up mechanism ya kuona hizo stds zinafuatwa.Kuna uwezekano mkubwa mzazi wako atakua ni mtumishi wa TBS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au eye ni mfanyakazi wa TBS. Pamoja na kutoa viwango, ni wajibu wa TBS kuwa na follow up mechanism ya kuona hizo stds zinafuatwa.Kuna uwezekano mkubwa mzazi wako atakua ni mtumishi wa TBS
Kila siku watachukua bidhaa bila ya confiscation certificate, wakidai wanaenda kuzipima, na wakirudi huna cha kuhoji.Polis wa tz uwape na kazi ya kusaka bidhaa feki??jiandae kwa matukio ya kutisha..na dhuruma zidi ya wananchi.
#MaendeleoHayanaChama
Kwa vitu hatari makubaliano nawe, kwa vitu fake napata ukakasi. Ubovu wa hivi vitu hujulikana wakati wa matumizi, na ndio maana nchi nyingi huwa na ukaguzi kabla ya kusafirisha.Miss pablo
Counterfeit products zote zinaingia kupitia mpakani au bandarini. Kwenye haya maeneno kunakuwa na watu wa “boarder protection “ hii Ni agency ambayo ipo chini ya polisi au wizara ya ulinzi.
Kazi ya hii agency ni kuhakikisha hakuna bidhaa fake inaingia nchini au kitu chochote hatarishi. Hii ni agency kubwa ambayo kama yenyewe ina wataalamu wake kwa kila eneo.
TBS ni sherika la viwango. Wao kazi yao ni kupima tu na kutoa matokeo au certificate. Unaweza kusema ni mahabara tu ya kukagua bidhaa au kufanya “quality assurance “ lakini haina meno ya kukamata na kukimbizana na watu kuhakikisha hakuna bidhaa fake.
Asante
Jiandae kuwa kiziwi boss, hizo earphones feki, n hatari saana kwa usalama wa masikio yako!!!!Mimi kilio changu ni kipo kwenye earphones, Aisee huu mwaka nimetumia zikifikazo 20 coz kila mwezi earphone 2 zinaharibika
Kwamba mm ndo nakosea matumizi yake?
Unaweza kuwa na hela na bado ukapigwa. Wauzaji wako kimaslahi zaidi. Utauziwa kitu fake kwa bei kubwa ukiaminishwa ndio halisi.Cheap is expensive, toa hela nunua vitu vinavyoeleka.
Matokeo ndio haya maumivu kwa wananchi. Mara nyingi nawaona kwenye maonesho, simply sio matukio ya kila siku, wanakuwa na uwezo wa kujipanga. Hata hivyo, kwa uchache huo wamebaki kuwa wa kuishana na wahalifu washikwao na bidhaa fake. Sijasikia hukumu za makosa ya watuhumiwa wao.Polisi ndiyo wasimamie nondo au bati kukidhi vigezo like serioysly? Nadhani hii siyo sawa.
Tatizo TBS hawana staff wa kutosha pamoja na uwezo wa kiufundi kusimamia maeneo yote wanayopaswa
Tuongelee mazingira ya Tanzania. Polisi wetu wengi ni hawa wa f4f. Na ndio hao waliopo hata ktk vitengo vya kitaaluma kama cyber crime. Unauonaje ufanisi wao kwenye taarifa za watu kuibiwa simu? Ni zero, na wengi wanapeleka taarifa za kuibiwa simu kuhofu kugeuziwa kibao pindi ikitumika vibaya, si tumaini la kuipata.Kaka,
Nadhani unaposema polisi, unafikiria wale wanao kaa kwenye vituo.Hao hawajui kitu zaidi ya kukamata tu!
Polisi ni kubwa sana, ina watu wa kila idara paka “chemists,Biologist au engineers”. Niliwai kuishi Australia na Canada miaka ya nyuma, kazi kama hii ilikuwa chini ya polisi,ambayo ilikuwa inafanywa na watu wa boarder agency.
Asante
Mkuu eatphone agiza nje hutajutiaMimi kilio changu ni kipo kwenye earphones, Aisee huu mwaka nimetumia zikifikazo 20 coz kila mwezi earphone 2 zinaharibika
Kwamba mm ndo nakosea matumizi yake?
We umekariri maisha nina miak 55 sijawahi kaa bila earphone napenda mziki haswa.Bila shaka age yako itakuwa kwenye 20's.
tatizo wewe ya kushoto unaweka kulia na ya kulia we unaenda kunawiaMimi kilio changu ni kipo kwenye earphones, Aisee huu mwaka nimetumia zikifikazo 20 coz kila mwezi earphone 2 zinaharibika
Kwamba mm ndo nakosea matumizi yake?
Sawa mkuutatizo wewe ya kushoto unaweka kulia na ya kulia we unaenda kunawia
Inabidi niachane nazo tuJiandae kuwa kiziwi boss, hizo earphones feki, n hatari saana kwa usalama wa masikio yako!!!!
Yaa, upo sahihi lakini ni ngumu watu kukuelewa hasa wachangiaji hoja kwa mihemuko.....polisi au halmashauri wakitilia shaka bidhaa ndo wanaweza kuzikamata na kwenda kuomba zithibitishwe na TBS kama zinakidhi ubora na zimesajiliwa, halafu wao ndo wataendelea na utaratibu mwingine.Miss pablo
Counterfeit products zote zinaingia kupitia mpakani au bandarini. Kwenye haya maeneno kunakuwa na watu wa “boarder protection “ hii Ni agency ambayo ipo chini ya polisi au wizara ya ulinzi.
Kazi ya hii agency ni kuhakikisha hakuna bidhaa fake inaingia nchini au kitu chochote hatarishi. Hii ni agency kubwa ambayo kama yenyewe ina wataalamu wake kwa kila eneo.
TBS ni sherika la viwango. Wao kazi yao ni kupima tu na kutoa matokeo au certificate. Unaweza kusema ni mahabara tu ya kukagua bidhaa au kufanya “quality assurance “ lakini haina meno ya kukamata na kukimbizana na watu kuhakikisha hakuna bidhaa fake.
Asante
Exactcly. Najua same thing. Huwa vibali vyote vinatangulia kabla vifike hapa. Yaan na hii polisi yetu ya hovyo hivi ndo wachukue hili jukumu?Kwa vitu hatari makubaliano nawe, kwa vitu fake napata ukakasi. Ubovu wa hivi vitu hujulikana wakati wa matumizi, na ndio maana nchi nyingi huwa na ukaguzi kabla ya kusafirisha.
Kwanini ziingie nchini kabla ya kupata hizo certificate?Yaa, upo sahihi lakini ni ngumu watu kukuelewa hasa wachangiaji hoja kwa mihemuko.....polisi au halmashauri wakitilia shaka bidhaa ndo wanaweza kuzikamata na kwenda kuomba zithibitishwe na TBS kama zinakidhi ubora na zimesajiliwa, halafu wao ndo wataendelea na utaratibu mwingine.
Sawa, utakuwa ni WA Dar?!!![emoji23][emoji23][emoji23].I guess.We umekariri maisha nina miak 55 sijawahi kaa bila earphone napenda mziki haswa.
Nikiwa idle tu lazima nisikilize mziki,especially napokuwa mbali na nyumbani.
Tumetofautiana hobies.
Inawezekana na wewe kuna vitu unavipenda kwangu nikaona ni vya kitoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kisanga mzee, hii nchi kuna mizigo inaingia ambayo ni fake ila viongozi wa hizo taasisi wanakula rushwa kwa kuipitishaSi wewe tu, wengi hufikia hisia kama zako, kuwa u mtumiaji mbaya, kumbe vitu havina ubora. Mara kadhaa nimeona mabati yenye kutu kwenye nyumba zinazoendelea kujengwa!
Ndo maana nasema zikitiliwa mashaka zinatakiwa zipelekwe TBS wathibitishe kama wao ndo wamezisajili, maana unaweza kukuta watu wanaamua kugonga mihuri yao wenyewe kwamba TBS ndo wamethibitisha..........Kwanini ziingie nchini kabla ya kupata hizo certificate?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app