Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Nilitaka nicheki akili yako kumbe imelala usingizi wa pono, ulishindwa nini kutoboa kwa wadogo shirikisho msimu ulioisha mpaka ukatumia na uchawi lakini ikashindikana?kule ni kwa wakubwa bro siyo shirikisho kaa kwa utulivu, ni mbingu na ardhi.
Kama shirikisho ni pa kitoto basi msimu uliopita Simba mngefika hata nusu fainali lalini cha ajabu mkaona shughuli yake mpaka kufikia kuchoma moto viwanja vya watu.kule ni kwa wakubwa bro siyo shirikisho kaa kwa utulivu, ni mbingu na ardhi.
Na ukitaka kuwajua Mazembe waulize SimbaWagumu hao, ukitaka kujua hilo waulize Yanga na Wazembe Mazembe watakujibu
Ndugu sina muda wa kubishana tambua ligi ya mabingwa na shirikisho vitu viwili tofauti usiforce tufanane.Nilitaka nicheki akili yako kumbe imelala usingizi wa pono, ulishindwa nini kutoboa kwa wadogo shirikisho msimu ulioisha mpaka ukatumia na uchawi lakini ikashindikana?
Mbumbumbu hamna kitu, Bingwa wa Champion league Wydad Casablanca alitandikwa na RS Berkane bingwa wa shirikisho katika CAF super cup.Ndugu sina muda wa kubishana tambua ligi ya mabingwa na shirikisho vitu viwili tofauti usiforce tufanane.
Kwani yana akili haya ma Mbumbumbu huyo Mazembe wanaesema amechoka kila waki kutana anawabakaMbumbumbu hamna kitu, Bingwa wa Champion league Wydad Casablanca alitandikwa na RS Berkane bingwa wa shirikisho katika CAF super cup.
Sasa utasema Azam nao wagumu walitakiwa kuchukua kombe la Caf sabab nao Ni wagumu kwenuWagumu hao, ukitaka kujua hilo waulize Yanga na Wazembe Mazembe watakujibu
Uwepo wa mashabiki uwanjani unaonesha watu wa nchi husika wanajielewa na kuupenda mpira, hiyo ndio pointi ya msingi, sio kwenda kuwafunga watu wasio na habari na mpira halafu unashangiliaš«£š«£.Simba imecheza na Mashabiki full house na katandikwa Kwa Mkapa, Kule mmecheza na Horoya wakiwa na Mashabiki Hamsini tu na wamewatandika.
Mpira ni uwekezaji auchezwi mdomoni.
Huna akili! Ushabiki umekujaa angalia hapaTembea uyaone, huku shirikisho ambapo Yanga yupo ni yeye tu ashindwe kupita lakini timu za huku ni za mchongo kama hawa Bamako ni timu ya kawaida mno hata jezi zao zina akisi ninachokisema.
Yanga wakishashindwa kuwafunga hawa Mbeya City wa mali basi ligi yetu itakuwa ni dhaifu mno
Yanga kapata kundi kitonga sana akishindwa kutoboa mwaka huu basi atasubiri sana.
Hata namungo ilikua ya mchongoTembea uyaone, huku shirikisho ambapo Yanga yupo ni yeye tu ashindwe kupita lakini timu za huku ni za mchongo kama hawa Bamako ni timu ya kawaida mno hata jezi zao zina akisi ninachokisema.
Yanga wakishashindwa kuwafunga hawa Mbeya City wa mali basi ligi yetu itakuwa ni dhaifu mno
Yanga kapata kundi kitonga sana akishindwa kutoboa mwaka huu basi atasubiri sana.
Sasa kama avifanani uko shirikisho mbona palikushinda? Kama umeshindwa kidogo ndo utaweza kikubwa? Hii akili yq wapi hiiNdugu sina muda wa kubishana tambua ligi ya mabingwa na shirikisho vitu viwili tofauti usiforce tufanane.
Kwaiyo wakiwa na habari na mpira ndio awafungwi? Vilaza vya Rage mnapenda sana kuokoteza visababu vya kijingaUwepo wa mashabiki uwanjani unaonesha watu wa nchi husika wanajielewa na kuupenda mpira, hiyo ndio pointi ya msingi, sio kwenda kuwafunga watu wasio na habari na mpira halafu unashangiliaš«£š«£.
Kujaza uwanja hakuwezi kuwa sababu ya kutofungwa, hata kule ulaya mashabiki hujaza viwanja na timu zao kufungwa pia.
Msilazimishe tufanane nyinyi komaeni na shirikisho huko.Mbumbumbu hamna kitu, Bingwa wa Champion league Wydad Casablanca alitandikwa na RS Berkane bingwa wa shirikisho katika CAF super cup.
Machizi hao achana nao.Mnaumia sana. Huko CAF mnafanya nini kama si kusindikiza tu. Yaani ukishinda wewe, si vibonde, wakishinda wenzako ni vibonde.
Mko wawili hapa mnaumia sana Mnyama kucheza ligi ya mabingwa wakati nyinyi mnakipiga huko shirikisho huko ndiyo size yenu..Sasa kama avifanani uko shirikisho mbona palikushinda? Kama umeshindwa kidogo ndo utaweza kikubwa? Hii akili yq wapi hii
Mpira una maajabu yake... eti Mabingwa wa nchi wanaiwakilisha nchi kwenye ligi ya maluza, afu wasiokuwa mabingwa wa nchi wanaiwakilisha nchi kwenye ligi ya mabingwa....Ajabu timu inacheza hata mashabiki wa nyumbani kwao hawaendi kutazama mpira, majukwaa meupee.
Halafu eti mnawafunga hawa mnashangilia[emoji1787][emoji1787]
Mbona unakwepa swali ebu jibu swali kwanza, msimu uliopita ulicheza shirikisho kilichotokea kila mtu anajua, kama ni kombe dogo ulishindwa nini kutoboa kwenye hilo kombe dogo????Mko wawili hapa mnaumia sana Mnyama kucheza ligi ya mabingwa wakati nyinyi mnakipiga huko shirikisho huko ndiyo size yenu..