Shirikisho kuna timu za mchongo sana, hawa Real Bamako tofauti yao na Mbeya city ni ushiriki wa shirikisho tu

Shirikisho kuna timu za mchongo sana, hawa Real Bamako tofauti yao na Mbeya city ni ushiriki wa shirikisho tu

Kwaiyo wakiwa na habari na mpira ndio awafungwi? Vilaza vya Rage mnapenda sana kuokoteza visababu vya kijinga
Hawa jamaa ni wa kukalia kimya tu wana tabia za kike kila kitu wanataka mashindano, ligi ya NBC imewashinda wamepigwa gape points 8 huko CAF kwenyewe wanakamilisha ratiba
 
Hawa jamaa ni wa kukalia kimya tu wana tabia za kike kila kitu wanataka mashindano, ligi ya NBC imewashinda wamepigwa gape points 8 huko CAF kwenyewe wanakamilisha ratiba
Yanga na simba nyote mna tabia za kufanana.Walivyo yanga ndivyo walivyo simba.Msijitoe.
 
20230227_100625.jpg
 
Kwaiyo wakiwa na habari na mpira ndio awafungwi? Vilaza vya Rage mnapenda sana kuokoteza visababu vya kijinga
Mpaka nikupeleke ubaoni kukufundisha na kiboko ndio utajua nina maana gani.
 
Mpira una maajabu yake... eti Mabingwa wa nchi wanaiwakilisha nchi kwenye ligi ya maluza, afu wasiokuwa mabingwa wa nchi wanaiwakilisha nchi kwenye ligi ya mabingwa....
Tuna mabingwa feki.
 
Back
Top Bottom