poa tu....as long as utajiri huu ukituletea Watanzania mataji ya Africa!Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.
Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.
Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa na Esperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
O
Ya nne Kaizer Chief ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.
Klabu tajiri zaidi Barani Afrika View attachment 712984
Bunju upoAwa caf wehu sana.team haina hata uwanja eti inaipiku utajiri zamaleki
Au wamehesabu utajiri wa Mo wakaufanya ndio wa mikia.
Kumiliki nyumba haimaanishi wasio na nyumba hawana hela zaidi yako, au hufaham kuna watu wamepanga na wana mpunga kuliko baba mwenye nyumba. Kujenga Ni maamuzi tuAwa caf wehu sana.team haina hata uwanja eti inaipiku utajiri zamaleki
Au wamehesabu utajiri wa Mo wakaufanya ndio wa mikia.
Tajiri kuliko tp mazembe?Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwa klabu namba 5 kwa utajiri Barani Afrika.
Simba SC imetajwa kuwa na utajiri wa karibu Paund milioni 10.35 ambayo ni sawa na Bilioni 32.3 kwa shilingi ya Tanzania.
Katika orodha hiyo Al Ahly kutoka Misri inaongoza ikiwa na utajiri wa Paund milioni 19.25 ikifuatiwa na Esperance Sportive de Tunis 12.75M na Club Africain 11. 8M zote kutoka Tunisia.
Ya nne Kaizer Chiefs ya kutoka nchini Afrika Kusini ambayo yenyewe inatajiri karibu Paund milioni 10.48.
Klabu tajiri zaidi Barani Afrika View attachment 712984
Ipo Congo DRC MkuuTp mazembe iko wapi
Usikaririshwe vitu bila taarifa za kitaalamu.OK?Tajiri kuliko tp mazembe?
Tanzania club tajiri Azam.
Tajiri miaka 50 huna Kiwanja chako!