Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah mtoa hoja unaonekana unawaamini sana hawa CAF wakati wao ndio wapenda rushwa kupita kiasi,ngoja nikupe mfano hai mmoja uliotokea wakati huu,Cameroun wanaondolewa kuandaa fainal za mataifa na Misri wanapewa wakati maandalizi yao na uwezo wao haufikii na nusu ya SA,ANGALIA UPANGAJI WA ROBO FAINAL ZA VILABU ,vilabu vya soka vyote kutoka north Africa vitacheza mechi za marudioano nyumbani(hii kwa Africa ni advantage kubwa,achilia hii game ya samba na tp mazembe zingine zote kwa vilabu chini ya sahara vitamalizia second round ugenini na sioni vikifanikiwa hapa)ni wakati wa nchi zilizo chini ya jangwa la sahara kudai haki zaidi kuliko nchi za north Africa .
Ndio ukweli.Huo ni ubishi sasa.
Hivi kumbe vyama vya upinzani vimeharibu akili za baadhi ya watu kiasi hiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanuni za quarter final draw ziko wazi, mshindi wa kwanza kila kundi anaanzia ugenini. Hivyo Simba alitakiwa aongoze kundi ili aanzie ugenini.draw
Watakuwa wajinga, uganda wakisawazisha jioni.Nimewaza hawa Cape Verde wakiona stars wanawafunga Uganda kirahisi...kuna possibility ya kuwaachia Lesotho..hivyo waganda wafungwe dakika za mwisho .
Wakati huo kule matokeo C Verde 4 vs Lesotho 0
Wana ufipa bhana, mnahangaika sana kuhusu mafanikio ya hiii nchi. Sijui mnataka tubaki nyuma nyuma ili muendelee kusifia matukio.Ndugu watanzania,
Ninaliomba shirikisho la soko barani africa kuitupia macho mechi kati ya Taifa stars vs uganda kwani kuna viashiria vya rushwa katika mechi hii,
Ninasema hivi kwa sababu kuu zifuatazo;
1.Uganda tayari imeshafuzu hata kama ikifungwa mechi hii kwa hiyo wanacheza mechi hii kama kukamilisha ratiba yao na pia wao wana uwezo wa kumbeba wamtakaye kutokana na wao kufuzu mapema kabla ya mechi hii.
2.Kwa jinsi mechi hii inavyotangazwa kisiasa inaonesha kunaweza kuwepo kwa makubaliano ili uganda waichie tanzania ipite ili ionekane tanzania kuweka historia ktk kipindi hiki cha magufuli ionekane kuwa ccm imeimarisha michezo na hatimaye imeandikwa historia kumbukeni mechi ya simba kufuzu hatua ya makundi tayari wao ccm wameieneza km sehemu yao ya kampeni sababu kwa sasa ccm hawana sera hivyo kazima watapetape.
Ndio maana TFF wakaingiza siasa kwenye mpira kwa kuanza na sakata la tundu lisu na baadae kuona makonda anafaa uhamasishaji timu ya taifa hizo zote ni siasa tu.
3.Ya mwisho ni kuona kwa jinsi gani maraisi wawili wanavyoweza kusaidiana kwenye hili ikizingatiwa ni marafiki na wote wanapenda sifa,wenye akili wameniekewa.
Cha msingi ninawaomba CAF waiangalie mechi hii kwa makini wakianzia kwenye maandalizi ya mechi hiyo.
Yangu ni hayo mimi ni mzalendo na ninapenda haki.
Swelana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miss kumbe wewe ni BIMBO. Nilikuwa sijui.Nina hakika Lesotho itashinda. Hii itazima kiherehere cha wanasiasa kuteka kila jambo kwa faida yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaongea kitu unachokifahamu kweli au umeamua tu kuongea!?? Sisi ndo tuna nafasi nzuri zaidi kuliko Lesotho. Hebu angalia hapa then ukinijibu ntarudi.Ni upuzi tu uliopo hapo Lesotho akishinda mechi yake Tanzania hata ishinde goli 10 haiendi kokote
Sent using Jamii Forums mobile app
Am sure CAF watakuwa wameshapata viashiria vyote..Nina wasiwasi na mechi hii inaweza kusababisha Tanzania kufungiwa kucheza soka.
Kwa hiyo hata simba alihonga au hata stars kule uganda walihonga ili wapate sare.
Huna hoja nzuri.Uganda ni wazuri sana lakini game kama hiyo stars nao wako vizuri.
Nahisi pia utakuwa siyo mbongo wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app