Shirikisho la soka barani Afrika kuweni macho mechi ya Taifa Stars vs Uganda

We jamaa nawe kiazi tu, unajua kwanini timu inaanzia nyumbani na nyingine ugenini? Kwa taarifa yako washindi wa pili wa kila kundi wanaanzi home wale wa kwanza wanaanzia ugenini
 
Tulia wewe, wacha uchawi na unoko,

lile Bomba la Hoima halijapita kwetu bure bure. Muungano wa East Africa uzidi kudumu na kwa taarifa yako tu Mu7 ashawahi kuishi Bongo mpaka akakiri kua ashafanya sana magendo ya silaha. Na kwa kumalizia Palamagamba Kabudi mzee wa Saundi Mingi hajawekwa pale Wizarani kwa bahati mbaya. Okwi na Murshid wenyewe wanaenda Chooni sababu ya Tanzania.

Ki msingi Hii mechi ishachezwa nje ya uwanja kitambo tu, Uwanjani tunaingia kama formality tu.
 
Wewe unatakaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kweli mchawi wa mafanikio ya Tanzania na watanzania ni mtanzania mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitaka kusema kitu lakini kwa upumbavu huu uliouonyesha, basi huna tofauti na wale waliotetewa na mahakama ya kenya majuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumbavu[emoji86] [emoji86] [emoji86]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni heri kutofuzu lakini mkabaki mashindanoni miaka ijayo kuliko kufuzu na kutimuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…