Shirikisho la soka nchini Senegal limezindua sanamu kumuenzi mwanasoka wa taifa hilo Sadio Mane, mjini Bambali alikozaliwa!

Shirikisho la soka nchini Senegal limezindua sanamu kumuenzi mwanasoka wa taifa hilo Sadio Mane, mjini Bambali alikozaliwa!

Msumb

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2022
Posts
3,452
Reaction score
5,372
Mambo ndo kama hayo mnavyoona ndugu watazamaji
1720180007909.jpg
 

Attachments

  • 1720180007909.jpg
    1720180007909.jpg
    339.8 KB · Views: 8
Kweli waafrika ni nyani aisee, yaani sikio limejaa taya nzima, macho kama vile limepigwa butwaa, Mdomo wenyewe wa kijivu, miguu ni mirefu kama ya mbuni... Au walitaka wachonge sanamu la Goliath?
 
Afadhali hao wamejaribu sisi huku hatuna chochote tulicho jaribu ktk kuwaenzi wachezaji wetu walao ilete chachu kwa hawa wanaochipukia ktk tasnia ya michezo nchini. Kujaribu ni bora kuliko kutokujaribu.
 
Back
Top Bottom