Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikitika kuwa nakuona kule kuwa umenitafuta Ila Sina uwezo wa kusoma ulichoandika Wala kujibu ,nikiingia sioni chochote .Mambo ndo kama hayo mnavyoona ndugu watazamaji
View attachment 3034279
Nipe no ya Whatsapp kama utakuwa online mkuu,Nasikitika kuwa nakuona kule kuwa umenitafuta Ila Sina uwezo wa kusoma ulichoandika Wala kujibu ,nikiingia sioni chochote .
Ikiwa hautajali naomba namna mpya ya kufikiana .
hili sanamu hajalichonga KIGWANGALA kweli? isijekuwa walimpa tenda.Mambo ndo kama hayo mnavyoona ndugu watazamaji
View attachment 3034279
Dah shida ni kuwa kuweka namba yangu hapa siwezi ndugu , na huko kwingine ndiyo shida ya namna hiyoNipe no ya Whatsapp kama utakuwa online mkuu,
ahahahaa menikumbusha ya kigwangwala na baba wa taifa, watoto wa sadio mane wakiwa wakubwa watakuja kulivunja hili,meno kama chai jabaMambo ndo kama hayo mnavyoona ndugu watazamaji
View attachment 3034279
hili sanamu ni la kumuenzi au kumdhiaki? maana sijaelewaMambo ndo kama hayo mnavyoona ndugu watazamaji
View attachment 3034279
Weka namba hy ww mzee mpate kuwasiliana, kwan ww n nani hapa duniani mpaka uogope kuweka nambaDah shida ni kuwa kuweka namba yangu hapa siwezi ndugu , na huko kwingine ndiyo shida ya namna hiyo
Mkuu Mbaga Jr nitakupigia viboko mdogo wanguWeka namba hy ww mzee mpate kuwasiliana, kwan ww n nani hapa duniani mpaka uogope kuweka namba
hiyo sanamu wamepewa bureMambo ndo kama hayo mnavyoona ndugu watazamaji
View attachment 3034279