Shirikisho ni kombe gumu na lenye mvuto kuliko klabu bingwa

Shirikisho ni kombe gumu na lenye mvuto kuliko klabu bingwa

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Timu ngumu nyingi zipo shirikisho na sio klabu bingwa just imagine shirikisho kuna timu ngumu kama:
Simba
Asec mimosas
Rs berkane
Usm alger(mume wa yanga)
Zamalek
Al masry

Wakati champions league timu ngumu ni mbili tu
Al ahly na esperance wengine wote vibonde tu.

Leo kuna timu zimecheza hapa Tanzania unaweza usiamini kama ni michuano ya klabu bingwa unaweza kudhani ni ndondo cup au mashindano ya kugombania maandazi nimeshindwa hata kuangalia mechi

Kuna mchezaji mmoja ana bleach yule sijui ni mchezaji au dj sijaelewa? Mnaomjua nisaidieni historical background anatokea wapi? Alivyokuwa anacheza kama mchezaji wa malimao fc.
 
Timu ngumu nyingi zipo shirikisho na sio klabu bingwa just imagine shirikisho kuna timu ngumu kama:
Simba
Asec mimosas
Rs berkane
Usm alger(mume wa yanga)
Zamalek
Al masry

Wakati champions league timu ngumu ni mbili tu
Al ahly na esperance wengine wote vibonde tu.

Leo kuna timu zimecheza hapa Tanzania unaweza usiamini kama ni michuano ya klabu bingwa unaweza kudhani ni ndondo cup au mashindano ya kugombania maandazi nimeshindwa hata kuangalia mechi

Kuna mchezaji mmoja ana bleach yule sijui ni mchezaji au dj sijaelewa? Mnaomjua nisaidieni historical background anatokea wapi? Alivyokuwa anacheza kama mchezaji wa malimao fc.
Mbu watatu= MBUMBUMBU.
 
1733633486508.jpg
 
Timu ngumu nyingi zipo shirikisho na sio klabu bingwa just imagine shirikisho kuna timu ngumu kama:
Simba
Asec mimosas
Rs berkane
Usm alger(mume wa yanga)
Zamalek
Al masry

Wakati champions league timu ngumu ni mbili tu
Al ahly na esperance wengine wote vibonde tu.

Leo kuna timu zimecheza hapa Tanzania unaweza usiamini kama ni michuano ya klabu bingwa unaweza kudhani ni ndondo cup au mashindano ya kugombania maandazi nimeshindwa hata kuangalia mechi

Kuna mchezaji mmoja ana bleach yule sijui ni mchezaji au dj sijaelewa? Mnaomjua nisaidieni historical background anatokea wapi? Alivyokuwa anacheza kama mchezaji wa malimao fc.
Unateseks
Timu ngumu nyingi zipo shirikisho na sio klabu bingwa just imagine shirikisho kuna timu ngumu kama:
Simba
Asec mimosas
Rs berkane
Usm alger(mume wa yanga)
Zamalek
Al masry

Wakati champions league timu ngumu ni mbili tu
Al ahly na esperance wengine wote vibonde tu.

Leo kuna timu zimecheza hapa Tanzania unaweza usiamini kama ni michuano ya klabu bingwa unaweza kudhani ni ndondo cup au mashindano ya kugombania maandazi nimeshindwa hata kuangalia mechi

Kuna mchezaji mmoja ana bleach yule sijui ni mchezaji au dj sijaelewa? Mnaomjua nisaidieni historical background anatokea wapi? Alivyokuwa anacheza kama mchezaji wa malimao fc.
Unatese
Timu ngumu nyingi zipo shirikisho na sio klabu bingwa just imagine shirikisho kuna timu ngumu kama:
Simba
Asec mimosas
Rs berkane
Usm alger(mume wa yanga)
Zamalek
Al masry

Wakati champions league timu ngumu ni mbili tu
Al ahly na esperance wengine wote vibonde tu.

Leo kuna timu zimecheza hapa Tanzania unaweza usiamini kama ni michuano ya klabu bingwa unaweza kudhani ni ndondo cup au mashindano ya kugombania maandazi nimeshindwa hata kuangalia mechi

Kuna mchezaji mmoja ana bleach yule sijui ni mchezaji au dj sijaelewa? Mnaomjua nisaidieni historical background anatokea wapi? Alivyokuwa anacheza kama mchezaji wa malimao fc.
Leo Kombe La Shirikisho Limekuwa Na Mvuto Wkt Mlisema Halina Mvuto, Naona Wana5imba Mnaumia Kucheza Shirikisho
 
Timu ngumu nyingi zipo shirikisho na sio klabu bingwa just imagine shirikisho kuna timu ngumu kama:
Simba
Asec mimosas
Rs berkane
Usm alger(mume wa yanga)
Zamalek
Al masry

Wakati champions league timu ngumu ni mbili tu
Al ahly na esperance wengine wote vibonde tu.

Leo kuna timu zimecheza hapa Tanzania unaweza usiamini kama ni michuano ya klabu bingwa unaweza kudhani ni ndondo cup au mashindano ya kugombania maandazi nimeshindwa hata kuangalia mechi

Kuna mchezaji mmoja ana bleach yule sijui ni mchezaji au dj sijaelewa? Mnaomjua nisaidieni historical background anatokea wapi? Alivyokuwa anacheza kama mchezaji wa malimao fc.
..........😆😆 Bado mtachanganyikiwa wote.
 
Back
Top Bottom