Shirikisho ni kombe gumu na lenye mvuto kuliko klabu bingwa

Shirikisho ni kombe gumu na lenye mvuto kuliko klabu bingwa

Mkuu,
Hii ndiyo njia uliyochagua kupunguza stress za kuachwa na demu wako mwenye viuno kama paka
 
Kwa pilaa la Yanga,Belouzdad,Raja inatakiwa kua kijaa wa kiwango chaa juuu Sana kutamka CL imezidiwa na shirikishooo.
 
Ila makolo wamechanganyikiwa sio Siri
Niwakumbushe tu.inawabidi mfike fainali ya Hilo kombe lenye mvuto kwanza ndio mrudi kujadiliana na sisi
 
Back
Top Bottom