uliona wapi time moja INA viporo v3 kama siyo Wenda wazimu...Yaani ukiona timu inalalama viporo vya wenzao vi3 tu jua ana kiwango kidogo sn na hajiamini kimpira!!
Wanafikiri maneno ya MCHANGANI na MATOPENI yanatufurahisha masikioni mwetu...Azam Ina washabiki mda huu na sio watoto wale,wale wamechoka na figisufigisu za Simba na Yanga kwa kushindwa kila mara match za kimataifa.Azam itakuwa ndo club itakayokuwa inachukua vikombe vyote...time will tell,they have a good management and vision,wana program nzuri za michezo.Club haina mda mrefu ila inamiliki uwanja wa mpira Simba kila leo ni hadithi tu,eti wanasubiri hela za Okwi waanze ujenzi,hivi wana vision hawa,wataifikisha wapi Simba hawa.
Hivi huyu mwenyekiti wa sasa na aliyepita tofauti yao ni nini....
Nimeudhika katika kiwango cha juu sana Simba kufungwa kizembe sana..
Naona kiporo chenu kimechacha,uliona wapi time moja INA viporo v3 kama siyo Wenda wazimu...
acha tu...Naona kiporo chenu kimechacha,
Vyura FC mmefurahi sana ushindi wawa watoto wetu...Hehehe mikia buana
Wameona hayaaaaaaWamebana wameachiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tuungane na ndugu zetu hasa katika kipindi hiki kigumu,kwa niaba ya Nifah natuma salamu za pole kwa washabiki wa Simba,muwasamehe wote waliowakejeliWameona hayaaaaaa
Mhhhhh mdomo koma mie!
Hilo jina la 'Mchangani' linanikera sana kwa sababu hatulijibu kwa vitendo, na Uwezo wa kujibu hivyo tunao ila kuwa wapuuzi tu wanaleta porojo badala ya uwajibikaji.
Ova
Ha ha ha ha Pole sana mtani.Mkuu nimekuja. Sikuwa Na taarifa Na mechi hii. Kumbe tumepigwa?? Basi ndio maana sikuwa Na mood ya mpira Leo.
hahahaah asante sana mtani.Ha ha ha ha Pole sana mtani.
Duh!sisi yanga tumetoa sare azam wameshinda nyinyi mmefungwa haya mashindano ya kimataifa sijui inakuwaje labda mechi ya marudio huko mnaweza kuwafunga.Ubingwa wa vpl yeboyebo aka vyura muusahau..!!!
Duh!huku kusoma mabango haraka haraka maana mimi nilisoma coastal do sol ile ya msumbiji nikajua ni mashindano ya kimataifa kumbe wagosi wa kaya!Matokeo kati ya timu za Tanzania dhidi ya waarabu.
Yanga 1-1 Al- ahly kutoka Misri
Azam 2-1 Esperence kutoka Tunisia
Simba 1-2 Coast Union kutoka Tanga
Hahahaah marudiano wakati ndio basi tenaDuh!sisi yanga tumetoa sare azam wameshinda nyinyi mmefungwa haya mashindano ya kimataifa sijui inakuwaje labda mechi ya marudio huko mnaweza kuwafunga.
Nilidhani coastal du sol ya Mozambique kumbe ni wagosi wa ndima?poleni sana watani nilisoma ubao vibaya.Hahahaah marudiano wakati ndio basi tena
Hahahaaah haya mtaniNili
Nilidhani coastal du sol ya Mozambique kumbe ni wagosi wa ndima?poleni sana watani nilisoma ubao vibaya.
Yaah!pamoja sana ndugu yangu.Hahahaaah haya mtani