Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Wewe unaonekana una matatizo ya kuelewa. Kaa kushoto.Mkuu unataka usaidiwe bure? Tumia hela kutafuta mtaalamu wewe hutaki kutumia hela unataka wataalamu wa bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaonekana una matatizo ya kuelewa. Kaa kushoto.Mkuu unataka usaidiwe bure? Tumia hela kutafuta mtaalamu wewe hutaki kutumia hela unataka wataalamu wa bure
Mkuu watu wanaongea kujifurahisha. Njombe mbeya nk kupata miche ya avocado iliozalishwa toleo la kwanza au pili haipo. Kinachofanyika ni kuendeleza miche ilioletwa na wazungu zamani.Jambo ambalo angetueleza ni ikiwa hiyo miti haitowi matokeo sahihi, Lakini hoja ya kuwa miche ilifika haifai hilo halihusiani na mzalishaji bali msafirishaji. Mimi niliagiza hiyo hiyo miche baada ya kuipanda mwaka wa kwanza tu mwembe ulitoa mbegu bila kuzaa, mwaka wa pili ukazaa maembe na mpaka sasa unazaa. hivo ikiwa ulitoka ama haukutoka SUA hoja inakuwa imekufa
Muuzaji kaja sasa au basi...Tuachane na hayo, je hiyo miti ukipanda inakubali au haikubali??
Iwe inapakubali au haikubali, kutumia jina la institution kama SUA kunadi miche unayouza ni utapeli. Hata kama hiyo miche ingetoka Holland na iwe na ubora wa kimataifa. Huwezi kuuza bidhaa kwa udanganyifu.Tuachane na hayo, je hiyo miti ukipanda inakubali au haikubali??
Watanzania mbona akili zetu zimekaa kitapeli tapeli tu? Kupata changamoto tu ndiyo tatizo? Kama hao wauzaji wanajiamini ni kwa nini wanatumia jina la SUA? Kwa nini wasiwe wakweli kuwa wamepata elimu kutoka SUA na siyo kuwa miche ni ya SUA?Tayari SUA wameshatekeleza wajibu wao wa kuwapatia elimu hao unaowaita matapeli,
Ungetueleza umepata changamoto Gani kutoka kwa hiyo mzalishaji aliekuuzia Miche ili tujue tatizo ni Nini mkuu
Watakuwa SUA wanajua,wangewakanusha kuwa hawahusiki na hawawafahau, watakuwa wamepatavElimu kwao .Watanzania mbona akili zetu zimekaa kitapeli tapeli tu? Kupata changamoto tu ndiyo tatizo? Kama hao wauzaji wanajiamini ni kwa nini wanatumia jina la SUA? Kwa nini wasiwe wakweli kuwa wamepata elimu kutoka SUA na siyo kuwa miche ni ya SUA?
Kijiji chao pendwa ni MgetaMkuuu. Hebu ifike mahala muanze ku appreciate kazi na ubunifu wa watanzania wenzenu. Angeuza mzungu mchina au mwarabu usingeleta daught.
Kama SUA wameshindwa kazi yao walioaminiwa kwa nini usiwapongeze watu wanaowasaidia kufanya kazi yao hao SUA.
Nimewahi andika humu kuwa SUA ni taasisi isio na faida kwa nchii. Mimi ni mkulima wa miti. Viazi mviringo na matunda. Sioni wala sitambui mchango wa SUA na products zao(extension officer), hawana msaada wowote kwa wakulima.
Ninaishi vijijini, kama kuna mtu yupo au kijiji kimenufaika na uwepo wa SUA wajitikeze. SUA kazi yao kubwa ni kijitetea tu, hawanaga jipya.
Mimi nawapongeza vijana walioamua kuwasaidia watanzania.
Ukienda Njombe,Mbeya,Iringa watu waliosaidai sekta ya Avocado ni hao vijana unaowapiga vita.
Ingefaa sana hao SUA kuwasapoti hso vijana si kuwapiga vita. SUA hawawezi kuzalisha miche Tanzania nzima hawawezi, lazima watrain vijjana maana products zao hawana ubunifu wowote huku mtaani wanadai hela za sindano tu.
SUA lazima ijitasmini .
Mkuu embe sh ngapi?INAUZWA - Nauza miche ya matunda na viungo
Kwa mahitaji ya Miche ya muda mfupi ;- *Miembe *Michungwa *Chenza *Parachichi *Passion *Pera *Apple Miche ya viungo -mdalasini -mchaichai -mint -rosemary -ukwaju -iliki n.k **Wasiliana nasi kwa namba 0683017311 call&Whatsapp **Pia unaweza kufika kwenye kitalu chetu Tunapatikana morogoro mjini...www.jamiiforums.com