Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 2)

Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 2)

1. Mkuu mada hii haihusu makongamano, SUA wala lolote nje ya alichoongea chimbuko la uchawa Tanzania.

2. Ndiyo maana pamoja na uwapo wa wazungumzaji wengi na hata Shivji kusema Mengi mengine walioliongelea likiwemo la uchawa na kwa kiasi cha nukuu zao ni Prof. Mkenda na Dk. Biteko.

3. Ombwe la vijana jeuri liliongelewa na wachokoza mada watatu; likianzishwa na kuchomekewa kwa ufupi, uchungu na uangalifu; na profesa nguli, Issa Shivji.

4. Kwenye kongamano la kifo cha Sokoine miaka 40.

5. Ndiyo maana waliyoongea hawa:



View attachment 2980681

View attachment 2980683
Hayakuwapo hapa kwani hawakuuongelea uchawa!

6. Tukijikita kwenye mada inapendeza zaidi.
Kama kuna mtu ulimuazimisha kichwa chako, mwambie akurudishie
 
..sidhani kama Sokoine alikuwa sahihi, na alitenda haki, ktk kampeni ya kukamata "wahujumu" uchumi.

..naamini uchumi wetu ulihujumiwa na sera mbaya za Ccm.

1. Unachodhani, hakuwezi kuwa final and terminate. Hapo ndipo dhana kamili ya kushindanishwa hoja huja.

2. Haipo shaja kama binadamu Sokoine alikuwa na yake mazuri na mabaya pia Labda likiwamo hilo ulisemalo.

3. Hata hivyo waungwana kwa marehemu, hujikita zaidi kwenye mazuri.

4. Zingatia mada, hapa kuhusu Sokoine tunaongelea uthubutu:

"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa" -- JKN.

5. Hudhani Sokoine alikuwa na uthubutu wa hata wa kumkabili Nyerere?

6. Hivi Mkuu kuna lolote bovu au fyongo unaloweza kulisema wewe popote kuhusu Mwamba au Chadema?

7. Je ni Kwa sababu ni watakatifu au wakamilifu?
 
Kama kuna mtu ulimuazimisha kichwa chako, mwambie akurudishie

1. Kama wewe huazimisha usidhani na wengine pia.

2. Wale wale akiwasema Shivji.

3. Ujuaji mwingi, hoja = 0.

4. Bila shaka andiko limekugusa na ulipo unatweta.

5. Uchawa si kazi. Nendeni mkalime. Kuishi mjini kwa uchawa mtaolewa bila ridhaa zenu na bila kujali jinsia!

6. Uchawa ni laana!
 
Hii midahalo yenu haileti maendeleo zaidi ya porojo ....Mpaka mpate mtu mweny idea ya kujenga nchi hapo mnapigana kelele tu kama debate za wanafunzi.
Tatizo ni agend a behind je ni maendeleo au watu kuji justify?
 
1. Kama wewe huazimisha usidhani na wengine pia.

2. Wale wale akiwasema Shivji.

3. Ujuaji mwingi, hoja = 0.

4. Bila shaka andiko limekugusa na ulipo unatweta.

5. Uchawa si kazi. Nendeni mkalime. Kuishi mjini kwa uchawa mtaolewa bila ridhaa zenu na bila kujali jinsia!

6. Uchawa ni laana!
Mumeo anapenda taarabu? Naona unamwaga taarabu hapa
 
Hakika ni zaidi ya tatizo.

Hadi mahala pa kazi akitokea mtu wa kuhoji na kujenga hoja anaonekana ni treat.
Anaanza kuchukiwa na kuandamwa!
Kwanini hamtaki fikra mbadala?

Kwani aliegundua umeme ndie aligundua gari ?

Fikra tofauti tofauti ndio huleta ufanisi wa mambo mengi mazuri.

1. Ajabu na kweli hoja ya wazi kama ya msomi huyu wanakereka.

2. Kina Allen Kilewella , JokaKuu, Yoda na wale wengine haijulikani wanataka au hawataki Nini.
 
Mumeo anapenda taarabu? Naona unamwaga taarabu hapa

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
1. Unachodhani, hakuwezi kuwa final and terminate. Hapo ndipo dhana kamili ya kushindanishwa hoja huja.

2. Haipo shaja kama binadamu Sokoine alikuwa na yake mazuri na mabaya pia Labda likiwamo hilo ulisemalo.

3. Hata hivyo waungwana kwa marehemu, hujikita zaidi kwenye mazuri.

4. Zingatia mada, hapa kuhusu Sokoine tunaongelea uthubutu:

"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa" -- JKN.

5. Hudhani Sokoine alikuwa na uthubutu wa hata wa kumkabili Nyerere?

6. Hivi Mkuu kuna lolote bovu au fyongo unaloweza kulisema wewe popote kuhusu Mwamba au Chadema?

7. Je ni Kwa sababu ni watakatifu au wakamilifu?

..kongamano limeandaliwa kwa KODI zetu wananchi.

..sio kongamano la kumjadili marehemu Edward Sokoine " Baba Lazaro. "

..Ni kongamano la kumjadili marehemu Edward Sokoine Waziri Mkuu wa Tanzania.

..Kwa msingi huo, ni haki ya washiriki kujadili mazuri na mapungufu ya Waziri Mkuu Edward Sokoine.

NB:

..Lazaro Sokoine [ r.i.p] ni mtoto wa kwanza wa Sokoine.
 
..kongamano limeandaliwa kwa KODI zetu wananchi.

..sio kongamano la kumjadili marehemu Edward Sokoine " Baba Lazaro. "

..Ni kongamano la kumjadili marehemu Edward Sokoine Waziri Mkuu wa Tanzania.

..Kwa msingi huo, ni haki ya washiriki kujadili mazuri na mapungufu ya Waziri Mkuu Edward Sokoine.

NB:

..Lazaro Sokoine [ r.i.p] ni mtoto wa kwanza wa Sokoine.

1. Mkuu kama ulivyoona na bila kujali pesa zilizotumika kongamano lilijadili mambo yenye kugusa maslahi ya taifa:

2. Kwamba chawa ni mzigo? Au kuwa tumekuwa taifa la hovyo kabisa kwa kuwaendekeza vijana wa hovyo popote pale walipo bila kujali ni CCM au upinzani, hudhani kuwa hii ilikuwa ni hatua njema kuelekea upande sahihi.

3. Zingatia tupo wengi wenye kukereka mno na uchawa bila kujali waliko CCM au upinzani!

4. Chawa wanatugharimu sana kuliko hata kongamano Hilo la aina yake ambalo lingepaswa kuuhamasisha uzalendo wa kweli hadi upinzani huko.

5. Palikuwa na hoja #6 na #7, hukusema kitu kuzihusu.

IMG_20240505_050045.jpg


6. Hapo #5 vipi hukuziona?

7. Majibu yako tafadhali hapo #5, 6, na 7.

8. Kwanini ungependa wewe yaongelewe unayotaka wewe tu ndiyo uone uhalali wa matumizi ya Kodi?

9 Hivi hudhani mawazo yako wewe siyo tu ambavyo wengine wanaweza kuwa wanaona?

10. Kuna huyu mwamba Economist, yaonesha uthubutu wake uliishia baada ya hoja yake hii:

Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA

11. Hapo labda niwaitishe washirika zaidi ikiwapendeza:

Allen Kilewella , Retired, denoo JG, Nanye Go, Kalamu, CHADEMA, John Mnyika, Rabbon, na wengine wa aina ya MK254 pia kama ikiwapendeza.

12. Hapo #11, vipi Economist kupotea magomani au alionja sumu kwa ulimi?
 
Tatizo ni agend a behind je ni maendeleo au watu kuji justify?

1. Mkuu midahalo ni mwanzo tu; na mwanzo wa ngoma ni Lele.

2. Hayupo mwenye hati miliki au hodhi ya agenda au hata mipaka ya: cha kuongelewa.

3. Hakuna aliyedhani kwenye mdahalo huu suala la chawa lingeibuka, wala ki hivi:

MHE. JAJI WARIOBA_page-0001_0.jpg


MHE. ANNA MAKINDA[1]_page-0001_0.jpg

4. Zingatia kulikuwa na wazungumzaji wengi tu ila waliothubutu kuliongelea ni watatu tu, tena kwa namna Ile tu na pekee kama nilivyoandika si pungufu wala zaidi!

5. Kwamba akisisitiza:

"ilikuwa muhimu sana kulisemea; Bado akasema kwa ufupi sana, uangalifu akipenda asimuelekezee mtu kidole."

6. Angalia pekee alichosema Mkenda:

a) "Kuona anakodolewa macho yeye."

b) "Kuwa nao serikalini wameliona, wanalifanyia kazi na kuwa wataongeza Ari."


7. Angalia Biteko: "kuona alikuwa anakodolewa yeye macho!"

8. Wapi tunataka kufika Kwa mujibu wa Shivji ni hoja zetu tu. Kusifu, kukosoa au hata kuzodoa mbona ni Uamuzi wetu?

9. Uamuzi wa kusuka au kunyoa ni wetu! Midahalo ni mwanzo mzuri!

10. Zingatia huu ni uchambuzi wa Shivji kujaribu kuelewa mbona kina Lissu, Maalim Seif, Nyerere, Mtikila wapya hawapo tena? Kwamba:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu
 
1. Mkuu kama ulivyoona na bila kujali pesa zilizotumika kongamano lilijadili mambo yenye kugusa maslahi ya taifa:

2. Kwamba chawa ni mzigo? Au kuwa tumekuwa taifa la hovyo kabisa kwa kuwaendekeza vijana wa hovyo popote pale walipo bila kujali ni CCM au upinzani, hudhani kuwa hii ilikuwa ni hatua njema kuelekea upande sahihi.

3. Zingatia tupo wengi wenye kukereka mno na uchawa bila kujali waliko CCM au upinzani!

4. Chawa wanatugharimu sana kuliko hata kongamano Hilo la aina yake ambalo lingepaswa kuuhamasisha uzalendo wa kweli hadi upinzani huko.

5. Palikuwa na hoja #6 na #7, hukusema kitu kuzihusu.

View attachment 2980985

6. Hapo #5 vipi hukuziona?

7. Majibu yako tafadhali hapo #5, 6, na 7.

..Cdm sio watakatifu au malaika wanayo mapungufu.

..tatizo ninaloliona ni kukosa coordination.

..wanatakiwa warudi kwenye drawing board waje na msimamo wa pamoja watakaoupeleka kwa wananchi.
 
..Cdm sio watakatifu au malaika wanayo mapungufu.

..tatizo ninaloliona ni kukosa coordination.

..wanatakiwa warudi kwenye drawing board waje na msimamo wa pamoja watakaoupeleka kwa wananchi.

1. Ni hatua njema kutambua kuwa Chadema wala mwamba si watakatifu, na angalau leo kwa mara ya kwanza umesema kuna tatizo la "coordination."

2. Hapo #1 hudhani wengine nao wanaweza kuwa na mawazo yao kwa kuwa si wewe na pia hayupo aliye na maoni pekee ambayo yanaweza kuwa ndiyo pekee yaliyo sahihi, final and terminate?

3. Unaona nyuzi 2 hizi za mapema 2023 huko?

a) Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM

b) Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

4. Ungali unadhani tatizo ni coordination tu?

5. Nikurejeshe kwenye majibu yako. Sioni majibu ya hoja zingine ambapo kuondoa ambiguity ninakuwa ninakuwekea hoja kwa namba.

6. Hapo #5 sioni kuwa kwenye niliyokuwa nimeandika hoja hizi zina majibu:


IMG_20240505_060141.jpg


7. Hapo #6, majibu yako tafadhali.
 
..Tatizo ni kubwa kuliko alivyolizungumzia Prof.Shivji. Na lina historia ndefu.

..Tangu tupate UHURU Watanganyika / Watanzania tumekuwa tunafundishwa UCHAWA.

..mambo ya msingi yanayolisibu taifa letu yamekuwa yakijadiliwa kama mjadala wa Simba vs Yanga.

..kwa muda mrefu watawala wamekuwa na magenge yao ya kuchafua na kudhalilisha wote waliokuwa na mawazo mbadala.

..Katika Tanganyika na Tanzania yetu hakuna ambaye alitofautiana na watawala akaachwa bila kutukanwa, kudhalilishwa, na hata kuumizwa.

..Namshangaa Prof.Shivji anashangazwa na hapa tulipofika kama jamii na taifa.

1. Sioni ukweli wowote kwenye andiko lako hili.

2. Anayetaka au kufundisha uchawa hawezi kuwa na kauli hizi:

"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa" -- JKN.

3. Si Nyerere wala waliofuata walitaka uchawa hadi awamu ya 5 ilipotimba madarakani kishamba kishamba.

4. Hapo #3, Nyerere hakutaka uchawa kwa maneno na kwa vitendo na huo ndiyo msingi uliokuwapo hadi 2015.

5. Si kweli kuwa hakuna aliyetofautiana na watawala akabaki salama vinginevyo tusingepata mfumo wa vyama vingi 1990s; kina Shivji, Chachage, na wengi UDSM pale wasingekuwa hai.

6. Kina Warioba, Maalim Seif, Jumbe, Mapalala, Kasanga tumbo, nk historia yao baada ya awamu ya kwanza isingekuwapo nk.

7. Ningeshangaa kama wewe, Allen Kilewella, MzalendoHalisi, @lucas_mwashambwa, Retired, denoo JG au wale chawa wengine wasingemshangaa Shivji!

8. Hapo #7, zingatia nyani haoni kund*le halafu kuwa ni kawaida chawa kutojua yeye ni chawa. Uchawa ni kama "kuwa mfu tu:"

F6kGqZLXMAATAgq.jpeg


9. Hapo #8, zingatia hata @lucas_mwashambwa hajui kuwa ni chawa. Credits sana kwake johnthebaptist. Huyu anatanguliza nguvu ya hoja mbele.

10. Ndiyo maana johnthebaptist hawezi ku m criticize TAL kiboya boya kama kina Allen Kilewella, denoo JG au chawa wa mwamba wanavyofanya.

11. Hapo #10 hata chawa wa Chadema, CCM au wa mama, hawawezi kuthubutu hata kutaka kujaribu kum critisize TAL kiboya boya!

12. Hapo #11, kwa johnthebaptist Bado hakuna jipya kwani yeye si chawa w Mwamba!

Habari ndiyo hiyo ndugu mjumbe.
 
Ni kama vile hakuwepo wakati mfumo wa kuzima fikra za wanaopingana na mawazo ya watawala unaasisiwa!!

1. Shivji kapumzika lini kupambana dhidi ya estashbliment ndugu? Wewe ni wa kutaka ligi na Shivji? Kwamba kakutembelea wewe au mwamba ndiyo iwe kesi? Ama?!

2. Shivji amewahi kupewa ukurugenzi wa mkoa (then, RDD) kwa nguvu, ili tu atoke pale UDSM. Rais yupi aliwahi kumpenda Shivji, UDSM?

3. Shivji amewahi kuhamishiwa MANTEP Bagamoyo (kwa nguvu) kwa sababu kama za #2.

4. Shivji katika kupigania haki zikiwamo za freedom of expression, nani kafanya kuliko Shivji? Kwamba umzodoe huyu kiboya boya hivi, kwani wewe umefanya nini zaidi ya kuwa renown chawa wa mwamba?

5. Kwamba atakuwa kakukera mno kutokana na kumgusa kwa kumtembelea mwamba kweye mshono, ningeshaa mno kama usingekereka naye, tena big time! Kwa hakika inajulikana usingekereka hivi kama angekuwa kakukabili wewe, lakini sasa master mwenyewe?!

6. Kwamba CV hamna, mbona kuchagua kukaa kwa kutulia ulikuwa ndiyo ulio uchaguzi wenu bora kabisa hata kama ingekuwa inawakereketa mno?!

Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa

7. Kuwa TAL ni jembe, huo ndiyo ulio ukweli ambao kila mtu anaujua akiwamo mwamba mwenyewe popote alipo + wote. "Yaani wote kabisa: maji ya nyanja!" -- JKN.

8. Nikupe angalizo hapa Ndugu mjumbe, "TAL siyo ligi yenu, huyo si ndondondo!"

9. Zaidi sana TAL hawezi kupigwa madongo kiboya boya kama mnavyodhani. Kwa hakika haitawaacha salama!

10. Nifunge hapa kwa nyuzi 2 hizi:

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

Tunataka transparency, siyo siasa za kiujanja ujanja, wizi wizi, kitapeli tapeli, kimchongo mchongo nk:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

nikiwaalika JokaKuu, denoo JG, Retired, Economist, Nanye Go, na wale wengine for filing and referencing from time to time!

11. Habari ndiyo hiyo.

Kalamu, Elli, Proved na waungwana wengine.
 
brazaj wanafalsafa hunikera sana na ubaridi wao kwenye kuwasilisha mada. Huacha Kila mtu atafsiri kivyake na kila tafsiri kwao watasema ni sahihi.

Napenda sana uwasilishaji mada wa watu wa mtaani. Wao husema " hapa kuna dalili ya fedha kuibwa" Lakini CAG atasema " fedha zilitumiwa bila ya uthibitisho wa risiti"

1. Ulichoandika hapa ni kichekesho ndugu.

2. Mimi siyo mwanamuziki wala msanii kuwapo popote kukufurahisha wewe.

3. Kwamba "unapenda sana wewe ..;" So what ndugu, kwani wewe nani? Au una umuhimu upi, wapi?

4. Kistaarabu na vipenda roho si vyumbani huko watu na wapendwa wao?!

5. Huku sisi tuna si tuna kazi za kufanya?

Upinzani Senegal kuelekea ushindi, tunayo ya kujifunza?

6. Kulikoni kwingine, lakini si kwetu? Sasa tumechoka kuendekeza ujinga wenu wa awamu ya 5!

7. Ukweli mchungu hii nchi haiwezi kukombolewa na wajinga!

8. Habari yenyewe ndiyo hiyo!
 
Back
Top Bottom