Mbona leo anapinga Zanzibar kujitawala wakati yeye mwaka 2009 aliandika kitabu na kumtetea sana Jumbe kuwa aliondolewa kwa sababu ya hoja ya serikli tatu.
Mbona Shivji na Babu walienda Eritrea , kuwaunga mkono wakati wanataka kujitenga kutoka Ethiopia , leo anasema Muungano ukivunjika itakuwa vita , yeye alienda kuunga mkono vita huko Eritrea?
Hivi mbona sudani kusini imejitenga , kuna vita baada ya uhuru wao au kulikuwa na vita kabla ya uhuru wao kamili?
Mbona Shivji na Babu walienda Eritrea , kuwaunga mkono wakati wanataka kujitenga kutoka Ethiopia , leo anasema Muungano ukivunjika itakuwa vita , yeye alienda kuunga mkono vita huko Eritrea?
Hivi mbona sudani kusini imejitenga , kuna vita baada ya uhuru wao au kulikuwa na vita kabla ya uhuru wao kamili?