Shock: Hospitali ya Kairuki yakataa wagonjwa wa ugonjwa wa mifumo ya hewa kijanja, yaweka bei isiyowezekanika kwa Watanzania wengi

Shock: Hospitali ya Kairuki yakataa wagonjwa wa ugonjwa wa mifumo ya hewa kijanja, yaweka bei isiyowezekanika kwa Watanzania wengi

Acha kuongea vitu usivyovijua,anza kujua na gharama za hizo services ,unashamgaa kairuk aghakan ni 1m plus ,
Hatuwatetei Agha Khan au hospitali yoyote itakayokuja na gharama za kitalii kwa magonjwa ambayo wananchi wengi wanahitaji huduma!

Tunaiamsha serikali na mamlaka zinazohusika na tiba za wananchi zitupie jicho bei hizi utadhani tuko ulaya!

Kairuki wanatushangaza zaidi maana bei zao zimeshoot zaidi kipindi hiki cha korona kuliko ilivyokuwa awali, Je wanakusudia nini kuzipandisha hizo bei kipindi hiki?
 
Demand and Supply..., Cost of Operation....,

Serikali yako yenyewe inayochukua pesa zetu wananchi imepandisha bei ya vipimo vya COVID kwa kisingizio kwamba gharama..., sasa kabla hatujahukumu inabidi tujue cost ya kuhudumia hao wenye shida ya kupumua ni kiasi gani....

Pia kama kuna uhitaji wa wa watu laki moja na capacity ni watu hamsini na wote wana vigezo sawa ila utofauti wa utayari wa kuchangia gharama unategemea nini kitatokea ?

Ubepari huwa tunaupenda kwenye video kwa kuangalia the grass is greener on the other side...., now come to the really world.... Msaada hapa ingebidi utoke sehemu moja tu (wale wanaokusanya kodi) sio wanaojinyima ili watengeneze pesa alafu ukija muda wa kutengeneza pesa uwaambie mambo ya charity....
 
Pale unapopandisha bei mara nyingi katika kipindi fulani cha ugonjwa wa mlipuko ni dhahiri kuna question mark. Kwa nini hizi bei hazikushoot kiasi hiki miezi kadhaa nyuma wakati tatizo la korona halikuwa kubwa nchini?

Kama hakuna sheria ya kudhibiti bei, usilete kelele.

Hospitali zipo nyingi, nenda unakoona unamudu.
 
Acha kuongea vitu usivyovijua,anza kujua na gharama za hizo services ,unashamgaa kairuk aghakan ni 1m plus ,
Mkuu ata hosptal za serikali nadhani ata muhimbuli, bugando na nyingine ukiwa I.C.U na ukihitaji ventilator kwa siku ni laki 5 apo ni intensive care achilia mbali dawa na baadhi ya malipo menginena ni toka muda sio kwa kipindi hichi, kama nitakua nimekosea nirekebishwe na private nyingne kwa siku zinaenda hadi 1M
 
Hatuwatetei Agha Khan.

Tunaiamsha serikali na mamlaka zinazohusika na tiba za wananchi zitupie jicho bei hizi utadhani tuko ulaya!

Kairuki wanatushangaza zaidi maana bei zao zimeshoot zaidi kipindi hiki cha korona kuliko ilivyokuwa awali, Je wanakusudia nini kuzipandisha hizo bei kipindi hiki?
Agha khan bed rest na matibabu ya siku ni sawa sawa na gharama za IST BUMPER [emoji16][emoji16]
 
Usilazimishe hospital ya mtu utibiwe kwa gharama zako alipo anza kujenga hatukumsaidia koo tuache lawama hospital zetu zipo mlongazila, mhimbili ikibidi twenzetu za rufaa, vituo vya afya.
 
Mkuu ata hosptal za serikali nadhani ata muhimbuli, bugando na nyingine ukiwa I.C.U na ukihitaji ventilator kwa siku ni laki 5 apo ni intensive care achilia mbali dawa na baadhi ya malipo mengine, kama nitakua nimekosea nirekebishwe na private nyingne kwa siku zinaenda hadi 1M
Watu wanaongea tu mkuu hawajui uwekazaji wa hizo system,lijitu limekula maharage yake ya kuchacha huko linasikia kitu linakimbilia na mawazo yake mgando bika ku tress out WHYs
 
Kama hakuna sheria ya kudhibiti bei, usilete kelele.

Hospitali zipo nyingi, nenda unakoona unamudu.
Na hizo hospitali nazo zikipandisha bei na kuwa za kitalii wananchi watatibiwa wapi?
Wewe it seems una kipato, you don't care about others
 
Weee mama d unajua uwekezaj wa hivyo vifaa au unabwabwaja tu kmbwa alikuwa kwenye heat,nenda aghakan wanalipa zaid ya 1m.

Niko kwenye hilo hiti na mamyako.... na sijui mlikua mnaongea nini hadi akakuhadithia mambo ya wanawake? Mfyuuu

Kuna tofauti kati ya biashara ya kuuza beer na kutoa huduma ya afya. Kama hujui sheria na miongozo ya watoa huduma za afya usikurupuke, tulia weweeee

Wacha regulators waongee
 
...
Tunataka hii hospitali ibadirishe huu utaratibu maramoja!. Mwanzilishi wa hii hospitali hayati profesa Kairuki atakuwa anajigeuza kaburini sasa kwa baadhi ya cowards wachache kutaka kuwatosa wananchi katika kipindi hiki kigumu cha kiafya duniani!
....
... na bahati nzuri/mbaya kaburi lake liko hapo hapo lango kuu la kuingilia hospitalini!
 
Niko kwenye hilo hiti na mamyako.... na sijui mlikua mnaongea nini hadi akakuhadithia mambo ya wanawake? Mfyuuu

Kuna tofauti kati ya biashara ya kuuza beer na kutoa huduma ya afya. Kama hujui sheria na miongozo ya watoa huduma za afya usikurupuke, tulia weweeee
Mbn siku hzi beef zinakuwa nyingi [emoji23][emoji23]
Hili jukwa ndomana tumewakimbia tukingia ni kuchungulia na kutoka..
Muda wote tuko kwenye jukwaa letu la warembo wakali tu

Ova
 
Mimi bhana Masile nakuheshimigi Sana, tangazo Hilo umelitoa wapi mkuu!!
Halina mhuri ndio nini sasa
 
Na hizo hospitali nazo zikipandisha bei na kuwa za kitalii wananchi watatibiwa wapi?
Wewe it seems una kipato, you don't care about others
Am telling you there are other options.

Nimekupa sababu, hii ni hospital binafsi; haipati fedha kutoka serikalini. Inalipa umeme, maji, kodi, wafanyakazi, inanunua vifaa kwa pesa yake; umewahi kujiuiliza hizo gharama zinalipwaje? Ventilators sasa hivi zimekuwa kama lulu, nina uhakika kama wamenunua watakuwa wamenunua kwa gharama kubwa sana, unataka nani alipie?

Narudia tena, hospitali ziko nyingi; chagua unayoweza.
 
Hatuwatetei Agha Khan au hospitali yoyote itakayokuja na gharama za kitalii kwa magonjwa ambayo wananchi wengi wanahitaji huduma!

Tunaiamsha serikali na mamlaka zinazohusika na tiba za wananchi zitupie jicho bei hizi utadhani tuko ulaya!

Kairuki wanatushangaza zaidi maana bei zao zimeshoot zaidi kipindi hiki cha korona kuliko ilivyokuwa awali, Je wanakusudia nini kuzipandisha hizo bei kipindi hiki?
Labda wao wanawalenga kuwatibu matajiri tu
Makapuku wasiende hapo

Ova
 
Mbn siku hzi beef zinakuwa nyingi [emoji23][emoji23]
Hili jukwa ndomana tumewakimbia tukingia ni kuchungulia na kutoka..
Muda wote tuko kwenye jukwaa letu la warembo wakali tu

Ova
Hahaha kuna watu wapo huku kwaajili ya kutukania mifumo ya wananawake iliyowekwa na mwenyezi Mungu
Utadhani wao hawakuzaliwa!!!!!
 
Back
Top Bottom