Shocking List: Zari Hassan has slept with over 50 men, including loaded Nigerians, For money

Wabongo bwana Huyu mwanadada angekuwa mtanzania ungeona anavyoshushiwa kipondo cha matusi lakini kwakuwa ni mganda watu wanamtetea
 
Ye kinamuuma nini kama **** ni yake...kweli diamond ni cheche...watu wanakukuruuukaaa kutafuta yalopita...mwanaume gani huyu....
 
Mimi nahisi behind the game yupo pia Ivan. Hawa watu mara nyingi wamekuwa wakisemwa kukutana na kupasha kiporo we unadhani hapo jamaa haliumii hata kama ni ma X?? Fuatilia interview zao hawa watu utagundua kitu.

my point is ingekuwa ivan watu tusingeshangaa ila yeye shemeji inamuhusu vipi mapenzi ya watu?
Angesimamia malezi ya watoto angeeleweka but kuanza kuongelea wapenzi wa zari as if yeye ndio ivan mwenyewe.
Aangalie yake sie ya mahusiano na zari na wanaune wengine hayo si yakuingilia.
Maana yaonekana zari na ivan wanajuana wenyewe
 
Mimi nahisi behind the game yupo pia Ivan. Hawa watu mara nyingi wamekuwa wakisemwa kukutana na kupasha kiporo we unadhani hapo jamaa haliumii hata kama ni ma X?? Fuatilia interview zao hawa watu utagundua kitu.

Na mimi nimehisi Ivan anahusika kwa kweli. Zari has been through a lot of problems with Ivan. Nachohisi now ni kuwa zari is trying to show them kuwa amemove on, hana habari nao tena, she is happy with Dai. Kina Ivan kimewauma, so huyo king anatumiwa tu kumvuruga zari akose amani. Ivan atakubalije king awatumie watoto wake kuseek sympathy eti wameachwa na mama yao?

I think zari angenyamaza kimya, ingewaua kabisa coz wangejiona wajinga, unampondea mtu wee afu kakuignore. But zari na yeye analipuka, so its like anawaprovoke wazidi kumdhalilisha na huyo king hana cha kupoteza at all coz ashazoeleka kuwa hajielewi. Honestly sijawahi ona shemeji mwenye kisebengo kama king, afu anaweka na evidences, whether ni za kweli au za uongo.. Zinamuharibia sana zari
 
Mwisho wa hii project najua Diamond atarudi kwa Wema na safari hii watafunga ndoa na Zari Hassan atarudi kwa Ivan baba watoto wake.

Subirini mtaona tu
 

Mi aliniacha hoi tu pale alipomuofa midolari Diamond eti amuache Zari, sababu kuu eti arudi kulea wanae! Lol
Hiyo njia wanayoitumia sio
 
Mwisho wa hii project najua Diamond atarudi kwa Wema na safari hii watafunga ndoa na Zari Hassan atarudi kwa Ivan baba watoto wake.

Subirini mtaona tu

Inaonesha Ivan anampenda Zari ila ndo hivyo kijeba hawezi kusema waziwazi! Tatizo jamaa ngumi mkononi
 
Hahahaa... Even this kid Aziz Azion?
Is this all saga because of Platnumz or?
 
Mi aliniacha hoi tu pale alipomuofa midolari Diamond eti amuache Zari, sababu kuu eti arudi kulea wanae! Lol
Hiyo njia wanayoitumia sio

Hahahaha wamevurugwa si kitoto, watasema hata yasiyosemeka. Nimecheka ile screenshot ya zari kuomba hela eti "big, big money"
 
Kwa maalufu hao nikidogo sanaaa au wamejua kwa vle nao nimaalufu hawajaingiza wale wakutunukiwa tu bado wanzilishi kidgo hawa na haina kombo kawaida sana tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…