FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Afunge tu shock up za Toyota bhana, mpya ni laki unusu kwa pair moja, wala asiogope, aende pale Lindi/ shauri moyoBongo huwa tunaumizana sana kwenye spareparts. Sijui tatizo lipo upande wa TRA(kodi kubwa kuingiza vipuri) au ni wafanyabiashara tuu wanaamua kutuumiza kwakuwa hatuna namna. Hiyo ni shockup tuu milion, sasa ukipiga hesabu ya kipuri kimoja kimoja kwa gari nzima si itafika kwenye 50m?
Hilo Duka nalijua Mkuu wanauza spare za Subaru Tu Ila bei zao ghali Sana hawa jamaaAfunge tu shock up za Toyota bhana, mpya ni laki unusu kwa pair moja, wala asiogope, aende pale Lindi/ shauri moyo
Ulifanikiwa?Thanks mkuu
Kumbe unampata fika... Uzuri huwa akimbii matatzo mpaka gari itengamaeJerry yuko smart na anaielewa kazi yake.
Natamani angekua anatoa elimu yake kwenye jukwaa la mambo ya magari hapa JF.
Kumbe unampata fika... Uzuri huwa akimbii matatzo mpaka gari itengamae
Ana utaalamu wa issue za magari na pikipiki..?Jerry yuko smart na anaielewa kazi yake.
Natamani angekua anatoa elimu yake kwenye jukwaa la mambo ya magari hapa JF.
Bongo huwa tunaumizana sana kwenye spareparts. Sijui tatizo lipo upande wa TRA(kodi kubwa kuingiza vipuri) au ni wafanyabiashara tuu wanaamua kutuumiza kwakuwa hatuna namna. Hiyo ni shockup tuu milion, sasa ukipiga hesabu ya kipuri kimoja kimoja kwa gari nzima si itafika kwenye 50m?
Ana utaalamu wa issue za magari na pikipiki..?