Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Msanii wa Bongo Movies Deogratius Shija alipata wakati mgumu wakati alipotokewa na ------ huku akidai kuwa amemtamani.
Msanii huyu ambaye amejitosa katika tasnia ya uigizaji aliongea na paparazi fulani kuwa tukio hili lote lilimtokea akiwa katika ukumbi wa Traventine-Magomeni, Dar. Deogratius alikuwa ameenda kwa haja ndogo kabla laana huyu kumtokezea na kuanza kumpapasa mgongo huku akidai amempenda.
"Nilimshtukia kumbe ni shoga. mapenzi ya jinsia moja ni dhambi kubwa sana kwa Mungu, sijawahi na sitaweza kufanya dhambi hiyo milele mimi ni Mkristo niliyekamilika, nawashangaa wanaume wanaofanya uchafu huo," alisema Shija huku akitoa hisia tofauti tofauti na tukio hilo.
Tabia ya ushoga imekithiri sana kanda ya Afrika Mashariki huku wengi wakijitokeza live kuonyesha ujinsia wao wa jambo hili.
Stori imedondoshwa kutoka bkuHABARI
Msanii huyu ambaye amejitosa katika tasnia ya uigizaji aliongea na paparazi fulani kuwa tukio hili lote lilimtokea akiwa katika ukumbi wa Traventine-Magomeni, Dar. Deogratius alikuwa ameenda kwa haja ndogo kabla laana huyu kumtokezea na kuanza kumpapasa mgongo huku akidai amempenda.
"Nilimshtukia kumbe ni shoga. mapenzi ya jinsia moja ni dhambi kubwa sana kwa Mungu, sijawahi na sitaweza kufanya dhambi hiyo milele mimi ni Mkristo niliyekamilika, nawashangaa wanaume wanaofanya uchafu huo," alisema Shija huku akitoa hisia tofauti tofauti na tukio hilo.
Tabia ya ushoga imekithiri sana kanda ya Afrika Mashariki huku wengi wakijitokeza live kuonyesha ujinsia wao wa jambo hili.
Stori imedondoshwa kutoka bkuHABARI