Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,361
- 2,378
Wakuu
nimefurahishwa na uamuzi wa wizara ya habari na utamaduni kuzuia filamu inayoitwa "shoga" sijui watz walioitengeneza walikuwa wanataka kufundisha nini jamii na hasa ukizingatia no PG restrictions...hivi hakuna mambo mengine ya kuact? au wahuni wachache wa kinondoni wanataka kupublish business yao chafu kupitia media ya filamu? wahusika pls ban it for good! labda kama ilikuwa na ujumbe tofauti,but only the name gives me kichefuchefu...HEBU watupie macho na hizi uchiuchi nyingine!
sijui wenzangu mnaionaje?
nimefurahishwa na uamuzi wa wizara ya habari na utamaduni kuzuia filamu inayoitwa "shoga" sijui watz walioitengeneza walikuwa wanataka kufundisha nini jamii na hasa ukizingatia no PG restrictions...hivi hakuna mambo mengine ya kuact? au wahuni wachache wa kinondoni wanataka kupublish business yao chafu kupitia media ya filamu? wahusika pls ban it for good! labda kama ilikuwa na ujumbe tofauti,but only the name gives me kichefuchefu...HEBU watupie macho na hizi uchiuchi nyingine!
sijui wenzangu mnaionaje?