SHOGA banned

SHOGA banned

Wakuu
nimefurahishwa na uamuzi wa wizara ya habari na utamaduni kuzuia filamu inayoitwa "shoga" sijui watz walioitengeneza walikuwa wanataka kufundisha nini jamii na hasa ukizingatia no PG restrictions...hivi hakuna mambo mengine ya kuact? au wahuni wachache wa kinondoni wanataka kupublish business yao chafu kupitia media ya filamu? wahusika pls ban it for good! labda kama ilikuwa na ujumbe tofauti,but only the name gives me kichefuchefu...HEBU watupie macho na hizi uchiuchi nyingine!
sijui wenzangu mnaionaje?

Wewe mwenyewe kwa mujibu wa avatar yako unaonyesha una hulka hizo hizo...
 
Wewe Mataka nawe ni shoga, utaanzaje kusupport usodoma na Gomora? Kichefuchefu, aibu na dhambi chafu kihivyo itaanzajwe kuigwa na kurekodiwa! Ina maana hujui watoto wetu utakacho wakataza ndiyo anafanya? Au wewe huna watoto au tuseme vijana ambao wako kwenye foolish age! Hujaona wewe mtoto unamkataza kushika wembe kuwa utamkata, na yeye analilia huo huo wembe! Sasa wakishaanza kuonyeshwa kwenye television si kila mtoto wa kiume ataiga kwa kumfanya mwenzake wa kiume! Na matokeo yake ni nini, wakishanogewa? Kabla hujasupport upuuzi inabidi ufikirie kwanza impact ya hicho kitu unachokisupport! Inabidi tukemee ushoga lakini siyo kwa strategy hiyo ya Tino! Ipo mikakati ya kukemea ushoga! NAOMBA MUNGU HIYO FILAMU IWE BANNED COMPLETELY
nimeshakusoma unaojiita mwinjilisti, kwako ww dhambi ni ushoga ila wanachokifanya dada na kaka zetu kwenye movi zingne kwako ni sawa, hata ukifumba macho ukweli utabki pale pale tino amèfikisha ujumbe kwenu nyinyi mnaopenda kufcha madhambi kwa kicngzio cha kulinda maadili, mm sio shoga na ndo mana naisapoti iyo movi sababu imebeba ujumbe mzito
 
Heading imenichanganya kidogo... Mi nilijua member aitwae Shoga, amekula ban!
 
Jf bwana ukiwa na hasira zako waweza vunjika mbavu watu wanavyojibizana
 
Vipi tena kushambuliana wenyewe?
Binafsi sioni tatizo lolote kwa filamu hiyo
ukilinganisha na filamu nyingine za hapa kwetu.
Hivi huo ushoga si umeigizwa kama wanavyoigiza tabia
nyingine mbovu za ulevi,uzinzi,ujambazi,uchawi na madawa
ya kulevya? Mbona hazikukemewa?
Mimi napinga ushoga lkn pia naelewa kuna njia nyingi
za kufikisha ujumbe ili kurekebisha.
Binafsi nampongeza Tino kwa kuliona na kupata ujasiri wa
kulifanyia kazi tena akawa tayari kuvaa uhusika?
Tusiwe wanafiki kujifanya hatujui kuwa haya mambo yapo
kwenye jamii yetu na hayajaletwa na Tino.
Wote wanaoigiza ufuska, uchawi au ujambazi ni tabia zao
halisi?
Ninaamini tulio humu tuna uwezo wa kuchambua na tunajua
filamu ni ajira na kinachotakiwa ni ubunifu ili ujue
cha kupeleka kwa jamii.
Tujaribu kuangalia zaidi ya tunachokiona na kama filamu
kukosa maadili zipo nyingi mtaani tena za wasanii maana
ambao watoto wanawashabikia.
Kwa suala la maadili zitabaki filamu 5 tu kati ya 1000
zilizopo.
BASATA iangalie na ichukue hatua za Kweli kwa wote.
 
Hivi vitu ni vya kuzuia watoto wetu wasijifunze vitu vya uarabuni!!
 
nimeipendaaaaaaaaaaaaaaaa... anaigiza ufirauni hata aibu haon
 
Hivi vitu ni vya kuzuia watoto wetu wasijifunze vitu vya uarabuni!!
tena ufute kauli yako wengine imetukwaza ivi ni wapi ushoga umehararishwa kati ya uarabuni na magharibi? Ni sheria za nchi gani hapa ulimwenguni wanatoa adhabu kwa wanaojihusisha na ushoga?
 
tena ufute kauli yako wengine imetukwaza ivi ni wapi ushoga umehararishwa kati ya uarabuni na magharibi? Ni sheria za nchi gani hapa ulimwenguni wanatoa adhabu kwa wanaojihusisha na ushoga?

rejea pale ulipochangia kuwa tusikatae ukweli......
ni kweli kuwa uarabuni ndio wanaoendekeza hii mambo ili binti aolewe bikira.pole weeee ka kime kuuma that is ukweli.STOP:hand: ten hilo lifilmu lichomwe kabisa na hasara wapate wajifunze kuwa wabunifu na sio kuiga igatu....watu wenyewe shule akiona maisha yamemshinda ndo anajikimbizia kwenye kuigiza hawajuai kama ni kipaji kile
inaonekana wewe ni masho... wenzio washauri watafute another way of hustling na siyo kujitupa kwenye filamu inhali hawanavipaji na shule walikimbia umamnde(hasa ndugu zangu waarabu) wao ni magari na kuuza sura mjini, wajishuhulishe,........
 
wakuu
nimefurahishwa na uamuzi wa wizara ya habari na utamaduni kuzuia filamu inayoitwa "shoga" sijui watz walioitengeneza walikuwa wanataka kufundisha nini jamii na hasa ukizingatia no pg restrictions...hivi hakuna mambo mengine ya kuact? Au wahuni wachache wa kinondoni wanataka kupublish business yao chafu kupitia media ya filamu? Wahusika pls ban it for good! Labda kama ilikuwa na ujumbe tofauti,but only the name gives me kichefuchefu...hebu watupie macho na hizi uchiuchi nyingine!
Sijui wenzangu mnaionaje?



mbona hiyo avatar yako imekaa kishoga shoga...

 
japo sijaiona hiyo filam ila kama haiendani na maadili ya kitanzania ni vema ilivyokatazwa!!
 
jamaa n shoga alikuwa anatafuta soko kinguvu maskini aibu imemkumba mademu wake wamemkimbia..sijui anakimbilia wapi shoga yule
 
usishange hili, pia kuna hotel moja arusha jina kapuni mkwere alialikwa kuifungua rasmi.usiku huo huo tanroad wakapiga chini ukuta. kwamba uzio na parking area ilikuwa kwenye hifadhi ya barabara.
Mbunge mgeni rasmi then filam inapigwa ban, sijui alienda kuzindua upupu? Shame upon him.
 
Clouds walivyokuwa wanaishadadia nikasema Mh! Kidogo nasikia imefungiwa kutoka, sijui wanalizungumziaje hilo. Biashara hizi, haya...
 
Tunapoelekea ndiko kule JK alivyosema atatufikisha kwenye ile nchi ya ahadi! sasa hivi ndipo tunaona wasanii wetu wakibongo wanataka kutuletea hizi picha na bado watataka kutuletea sinema za utupu na bila kuzingatia maadili kiongozi mwenye hadhi serikalini ndio anakua mgeni rasmi wa kwenda kuzindua hizo picha! Shame on you wasanii wa bongo msiotaka kufuata maadili mazuri.
 
mmeoiona hiyo picha au mnalalamika kwa jina shoga tu:hand:
 
Back
Top Bottom