SHOGA banned

Inkoskaz

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
6,361
Reaction score
2,378
Wakuu
nimefurahishwa na uamuzi wa wizara ya habari na utamaduni kuzuia filamu inayoitwa "shoga" sijui watz walioitengeneza walikuwa wanataka kufundisha nini jamii na hasa ukizingatia no PG restrictions...hivi hakuna mambo mengine ya kuact? au wahuni wachache wa kinondoni wanataka kupublish business yao chafu kupitia media ya filamu? wahusika pls ban it for good! labda kama ilikuwa na ujumbe tofauti,but only the name gives me kichefuchefu...HEBU watupie macho na hizi uchiuchi nyingine!
sijui wenzangu mnaionaje?
 
nimefurahishwa sana na serikari naomba waendelee hivyo hivyo ziko filamu nyingi tu za hovyo hovyo. namshaangaa mbunge wa kinondoni Idi azania kukubari kuwa mgeni rasmi . na katika hotuba yake akawa anaongea maneno ya kihuni eti tusikubali kuliwa kiboga. nilimuona kupitia tv
 
si ajabu kuongea hivyo wakati yeye ni mhuni mwenzao...kiongozi unatakiwa kutathmini mialiko unatyopewa.
tatizo la kinondoni,ilala na temeke ili uwe mbunge wanataka uwe mhuni mwenzao uliyezaliwa na kukulia humohumo
 
Mbunge mgeni rasmi then filam inapigwa ban, sijui alienda kuzindua upupu? Shame upon him.
 
Naona sasa mabadiliko yanakuja TZ
 
yaje haraka sana!Ila wanaweza wakaiuza kisirisiri,wenye PC na LAPTOP wataweza kuipata,maana imeshakamilika
 
Ni vizuri walivyofanya hivyo,cz filamu yenyewe amekopy toka filamu ya nje jina limenitoka kidogo
ila ni kila kitu alichobadili ni lugha tu.
 
Ni vizuri walivyofanya hivyo,cz filamu yenyewe amekopy toka filamu ya nje jina limenitoka kidogo
ila ni kila kitu alichobadili ni lugha tu.
wabongo kila kitu kuiga..aaagh
 
na CLOUDS radio walikua wanaishabikia sana!wahuni wenzao!idd azan hakuna elimu pale std 7 unategemea nini?kazi yake taarab,ushoga etc
 


duuuh kwa hiyo wameanza kurekodi muvi za kishoga? hizi hela zinatafutwa vibaya sana siku hizi.. tunaelekea kubaya sana
 
kwa mujibu wa Tino hawajaiban,ila wameomba kuitazama kwanza kama inaendana na maadil ya watz.itarudi mitaani karibuni
 
si juu umesema kwamba amecopy kila kitu,kwani ulikuwa wamzungumzia nani

una uhakika ni mimi? soma thread vizuri hapo juu tama ndio ameongelea mambo ya kukopi kama huna jibu kaa kimya
 
una uhakika ni mimi? soma thread vizuri hapo juu tama ndio ameongelea mambo ya kukopi kama huna jibu kaa kimya
ok samahani sikuwa nimeangalia vizuri,Tino ndio mmiliki na amecheza kama shoga kwenye hii movie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…