Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

Mwambie simuogopi na mabakuli yake ya kichinaa [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] aniwacheeee na coca wangu tujidai kwenye liuzi lake la kichochezi [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
C ndio wizoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupo ktk uzi wa Role model wetuu, tunajidaiiii tutakavyooo.
 
Yaaaaniiii hadi nastuka ..
Wizo anajua kutiririka tuu .
Huyu mtu haogopi weeeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣 hao wamelewa sio bure
 
Mwambie simuogopi na mabakuli yake ya kichinaa 😹😹😹😹😹 aniwacheeee na coca wangu tujidai kwenye liuzi lake la kichochezi 😹😹😹😹
Wizo kwani kaka alikuacha? Mbona unayamwaga maneno huogopi talaka?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo utaharibu ndoa za watu ujuee?? Huko mtaani kwako wenye waume zao wawe makini, utawakwapua woteee.
🀣🀣🀣🀣 wizo kaachika?? Kaka akipita hapa atapigwa mwambie
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo utaharibu ndoa za watu ujuee?? Huko mtaani kwako wenye waume zao wawe makini, utawakwapua woteee.
😹😹😹😹😹 tatizo waume zao watamu jamanii, halafu ma TALL DARK and HANDSOME akiiii siwaachi

We kuweza? πŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF kuna Mabwanaa? Aachike mara ngapiii?
Yuko na libaba wake wa huko mtaani kwao. Uwiiiiih
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nacheka km chizi
Mbavu zinaniuma!! Nyie leo mmelewa??
Wizo ana libaba gani la huko mtaani tena mana naye libaba hawaogopani?? 🀣🀣🀣
 
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] tatizo waume zao watamu jamanii, halafu ma TALL DARK and HANDSOME akiiii siwaachi

We kuweza? [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji23][emoji23]
Wizoo nimecheka had kutaka kuangusha cm, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee huogopii kurogwaa? Uwiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie hapa tumetoka kustua kimokoo, yeye anacheza PS, mie ndo naswapaaaa hapa sebuleni kwa Mello.
Kampe cha pili tayari ushaswampa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapana uko walikofika sifikagi nawaachia wasasambue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Samia akitukuta humu na jeshi lake tumekwisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukonga moja kwa moja bila barua ya hakimu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…