Shoga maarufu Afrika, Bob Risky afungwa jela kurusha na kukanyaga pesa ya Kinaijeria (Naira)

huyo ni wakumaliza mara moja anachokifanya mtandaoni ni kuwashawishi vijana kufuata upotofu wake wa madili kinyume na desturi za mwafrika na vitabu vya dini

serikali inakwenda kumuua kwa manufaa ya kizazi kilichobakia walio wengi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnavyo povukwaa hapa, mtadhani hata anawahusu, lol.

Ya kwenu yanawashinda, mtayaweza ya Bob?
 
Kwani hao wanajua lolote? Ni wa kuwaacha tyuuh.
Kuna watu humu ndani nlikua naona wana upeo au maono, kumbe buree tyuuh.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani hao wanajua lolote? Ni wa kuwaacha tyuuh.
Kuna watu humu ndani nlikua naona wana upeo au maono, kumbe buree tyuuh.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa hivyo alivyo haimuondolei haki zake kama binadamu wengine watamtengea eneo maalum.

Sisi wote ni wadhambi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hupitwiiiiii!!! Sasa si umuite na shangazi ako akuje hapa afurahiiii.

Bob atatoka na ataendelea kudunda, wenye kuumia ndo watazidi kutesekaaaa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Coca na wewe hupitwi khaaa....
Mtetezi wao umoooo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ant anajificha jificha tuu nae adi ananiangusha dah
 
Huyu jamaa nadhani anajulikana kuwa ali left group kipindi kidogo aka shoga taajiri Africa.

Najiuliza je pale mahakamani angekana yeye si me ingekuwaje au wangemfikiria pengine pa kumpeleka kwasababu alikiri hivyo ndiyo akapelekwa gereza la kiume.

Au kwa waatalam kuna uwezekano wowote kwa huyu shoga hata angepelekwa gereza la jinsia ke.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hupitwiiiiii!!! Sasa si umuite na shangazi ako akuje hapa afurahiiii.

Bob atatoka na ataendelea kudunda, wenye kuumia ndo watazidi kutesekaaaa.
huyo ndo bye bye, @walikuwa Wana mtafutia sababu na wame ipata.

Coz Nigeria Wana pewa misaada,, so kumbinya wazi wazi ni kutafuta Shida.
 
Nimeshangaa kutopewa adhabu ya faini, eti Jela moja kwa moja, km sio uonevu wa wazi huu.

Africa ni bara la giza.
Bado wewe. Tutakutafutia kesi hata ya kukwaga chakula au kuangusha kijiko tu, then tunakufunga miezi 3 uone kama ukitoka utawaza tena ushoga. πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜πŸ˜†
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnavyo povukwaa hapa, mtadhani hata anawahusu, lol.

Ya kwenu yanawashinda, mtayaweza ya Bob?
Ndio tushamuweza sasa, bado wewe. Ngoja tukutege huko inbox kwa kujichekesha na kukutumia tu vocha utaingia king na kutoa utambulisho wako halisi. Tutakufunga na wewe kwa kosa lolote tu tuone kama ukitoka utakuwa tena shoga.
 
Ndo hivyo chief, huko uta sikia kaji nyonga, au Ali kosa dawa fulani ambazo Serikali haitoi kwa wafungwa.
Walimchelewesha huyo kama ambavyo Tanzania tunamchelewesha cocastic pamoja na BICHWA KOMWE - inatakiwa na wao tuwatafutie kesi hata ya kuiba ubuyu wa 1000 then tuwafunge kwani hakutakuwa na kulipa faini katika hiyo kesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…