Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Ngoja akakutane na wanaume sasa maana aliwatakaBoby risky a.k.a mjuba aliye left group la makamanda.
Hatimaye ame hukumiwa kwenda jela kwa kosa la kukanyaga fedha ya naira.
hakimu ame muondolea kipengele Cha kulipa faini, ili aende jela moja kwa moja.
naona wali msaka long time, Sasa ame jaa.
View attachment 2961950View attachment 2961951View attachment 2961952
Uta sikia kaji nyonga au Ali kosa dawa fulaniNgoja akakutane na wanaume sasa maana aliwataka
Yeah hapa lazima wammalize iwe funzo kwa wengineUta sikia kaji nyonga au Ali kosa dawa fulani
Kumbuka aliyetoa hukumu ni mkristoKuna makosa makubwa zaidi ya huyu na watu waligewa option ya faini.
Kwa Idris nafikiri hukumu yake imezingirwa na ukweli kua Nigeria wana uislamu mkubwa pia jamii yao haikubaliani kwa uwazi na Idris au yoyote anayetaka kubadili jinsia au kua homosexual.
Hukumu imekua influenced na chuki na imani
Ukristo unalaani homosexuality piaKumbuka aliyetoa hukumu ni mkristo
Angesema mwanamke, angejisababishia matatizoJamaa Jaji alipomuuliza ataje jinsia yake kasema yeye ni Mwanaume! Ataki jela ya Wanawake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumpeleka jela ya wanaume ni ukatili wa kijinsia.Boby risky a.k.a mjuba aliye left group la makamanda.
Hatimaye ame hukumiwa kwenda jela kwa kosa la kukanyaga fedha ya naira.
hakimu ame muondolea kipengele Cha kulipa faini, ili aende jela moja kwa moja.
naona wali msaka long time, Sasa ame jaa.
View attachment 2961950View attachment 2961951View attachment 2961952
Na huo ndio ukweli. Hakimu/ jaji anaendeshwa na udini mpaka anakiuka miiko ya taaluma yake. Ni ukatili wa kijinsia huu.Kuna makosa makubwa zaidi ya huyu na watu waligewa option ya faini.
Kwa Idris nafikiri hukumu yake imezingirwa na ukweli kua Nigeria wana uislamu mkubwa pia jamii yao haikubaliani kwa uwazi na Idris au yoyote anayetaka kubadili jinsia au kua homosexual.
Hukumu imekua influenced na chuki na imani
Amelaaniwa na nani wakati anaishi maisha yake kwa amani bila shida na mtu.Duh atapata tabu sana huyo mwanaharamu aliye laaniwa
Una uhakika anaishi kwa amani?Amelaaniwa na nani wakati anaishi maisha yake kwa amani bila shida na mtu.
Afie huko anaharibu watoto sasa anatoa elimu gani kwa jamii? Yaani unasapot ule ushetani?Nimeshangaa kutopewa adhabu ya faini, eti Jela moja kwa moja, km sio uonevu wa wazi huu.
Africa ni bara la giza.
Akate rufaa .Boby risky a.k.a mjuba aliye left group la makamanda.
Hatimaye ame hukumiwa kwenda jela kwa kosa la kukanyaga fedha ya naira.
hakimu ame muondolea kipengele Cha kulipa faini, ili aende jela moja kwa moja.
naona wali msaka long time, Sasa ame jaa.
View attachment 2961950View attachment 2961951View attachment 2961952
AiseeAme hojiwa mahakamani, kasema ye wa kiume. So kapelekwa huko.
View attachment 2961954
Nasikia haipo, ila wame mtafutia sababu ili wambinye.Alivyo badilisha jinsia dondolo waliikata au ipo? Kama ipo ndo maana kachagua kwenda jela upande wa kiume.
Kubadilisha jinsia sio shida??Amelaaniwa na nani wakati anaishi maisha yake kwa amani bila shida na mtu.
Hakika wamemuonea.Nimeshangaa kutopewa adhabu ya faini, eti Jela moja kwa moja, km sio uonevu wa wazi huu.
Africa ni bara la giza.