Shoga maarufu mjini Dar apania kumpokonya Jux kutoka kwa Vanessa Mdee

Shoga maarufu mjini Dar apania kumpokonya Jux kutoka kwa Vanessa Mdee

Ukipendwa na dudumizi kama Hilo huna budi kukesha kwenye nyumba za ibada maana ni laana isio na mfano
 
Huyu kijana anajitangaza kaliwa na vigogo amecgafua sana huko insta anajimini sana ila hii ya kupora wanaume ni kali aisee.
 
kama kweli watu hawayapendi haya mambo mtu akipost ishu yoyote kuhusu ushoga potezeeni maana kama kuponda kwenu mnazidi kumpa promo,af wengine anatupia na picha yake nyingine af anamponda dah..
Ungeanza wewe kupotezea mkuu.... Ulivyojibu tu umekosea
 
Kama kuna watu wana shobo za kukera hasa basi mashoga wanaongoza....wale binadamu wanajua kuongea nyoko wale...
Kwa hilo utasema wana chuo,hivi atakuwa ana tabawal wima kweli huyu? pamoja na umri kuwa mdogo ni kama ame kubuhu si mzaha,masikini baba yake mtoto wa kiume kazalia wenzake,dah!
 
Back
Top Bottom