Shoga yangu alitegesha chupi yake chumbani ili nimuache mume wangu

Shoga yangu alitegesha chupi yake chumbani ili nimuache mume wangu

Rosemin

Member
Joined
May 21, 2023
Posts
70
Reaction score
532
VISA NA MIKASA; Shoga ya

Nimetoka zangu kujifungua narudi nyumbani nakuta nyumba ni safi, yaani nawaza huyu si mume wangu kwakweli!

Naingia ndani nawaza nani kafanya huu usafi! Jicho la kiukaguzi, yaani kuchunguza kama kuna kitu. Basi nikawa sina amani, mume ananiuliza vipi namuambia kuchoka tu mume wangu naye anamshangao akiangalia chumba!

Mwanaume akatoka, naanza kukagua nakuta chupi ya kike uvunguni, tena iliyotumika, najua si saizi yangu.

Aisee nilichanganyikiwa. Natoka nnje naingia natafuta namna ya kumuuliza mume wangu nashindwa kitu kimenikaba.

Basi siku hiyo ikapita, nikalala, asubuhi mume kazini, mimi bado nina kisirani, majirani si ndiyo wanakuja sasa.

Kuna jirani mmoja ni kama ndugu, yaani yeye tulikua pika pakua basi akaanza kuniambia.

“Shogaa, nikuambie kitu tu, watoto wako bado wachanga, mumeo atawabemenda, ulipokua huko kila siku anabadilisha wanawake, hata jana kuna Mmama mtu mzima kaja kufanya usafi!”

Nazidi kuchanganyikiwa, naanza kukusanya vitu vyangu kwa hasira niondoke, basi shogaa ananisaidia, ananipampu kukaa mbali na mume wangu.

Tukiwa tunapanga vitu mume wangu anaingia, shoga yangu anatoka harakaharaka.

“Nishakukataza marafiki, huyu umemzoesha vibaya, mambo gani ya kumuambia aje kufanya USAFI, nani alikuambia mimi nashindwa kufanya usafi?

Umesema nimuachie funguo? Unaona kachukua mpaka na vitu vyangu!

Mume anapaniki, nashindwa kuelewa ni nini, namuwakia naanza kumuambia ana wanawake namuambia nimekuta mpaka nguo za ndani!

Hajibu kitu, ananiambia twende, tunafika kwa yule Dada, anamuambia nipe funguo zangu, Dada anang’aang’aa macho, anamuuliza.

“Mke wangu ndiyo alikuambia uingie mpaka chumbani kwangu kufanya usafi?” Nakua sielewi anajitetea.

“Hakuniambia ila niliona kama atarudi kachoka nimsaidie.” Namuonyesha na nguo ya ndani namuuliza yanani anaikana!

“Ilete, si kasema si yake, basi naisagia majivu kizazi kinaoza!” Mume wangu anaondoka anaichukua ile nguo ya ndani na kuondoka nayo mimi na shoga yangu jirani tunashangaa, ila namuona ana wasiwasi sana.

Jioni Dada huyo anakuja, anapiga magoti kuomba nguo yake ya ndani irudishwe, analia, “Sikudhamiria!” Anakiri alitegeshea yeye ili mimi niione kuwa mume wangu alikaua kiingiza wanaume ndani hivyo nikasirike na kuondoka, namuuliza kwanini umeamua kunifanyia hivi, ananaimbai kwakua naringa sana na mume wangu!

Tunamrudishia, anaondoka nimejifunza! Hakuna urafiki wa chumbani! Ingawa sikumuambia mimi kuja kufanya usafi chumbani kwangu lakini ni rafiki yangu ambaye nilishamzoesha mambo mengi, mume wangu alishanikatazaga mambo mengi na yeye lakini sikumsikia ila sasa hivi nimejuta sitaki tena ushoga wakugandana!
 
VISA NA MIKASA; Shoga ya

Nimetoka zangu kujifungua narudi nyumbani nakuta nyumba ni safi, yaani nawaza huyu si mume wangu kwakweli!

Naingia ndani nawaza nani kafanya huu usafi! Jicho la kiukaguzi, yaani kuchunguza kama kuna kitu. Basi nikawa sina amani, mume ananiuliza vipi namuambia kuchoka tu mume wangu naye anamshangao akiangalia chumba!

Mwanaume akatoka, naanza kukagua nakuta chupi ya kike uvunguni, tena iliyotumika, najua si saizi yangu.

Aisee nilichanganyikiwa. Natoka nnje naingia natafuta namna ya kumuuliza mume wangu nashindwa kitu kimenikaba.

Basi siku hiyo ikapita, nikalala, asubuhi mume kazini, mimi bado nina kisirani, majirani si ndiyo wanakuja sasa.

Kuna jirani mmoja ni kama ndugu, yaani yeye tulikua pika pakua basi akaanza kuniambia.

“Shogaa, nikuambie kitu tu, watoto wako bado wachanga, mumeo atawabemenda, ulipokua huko kila siku anabadilisha wanawake, hata jana kuna Mmama mtu mzima kaja kufanya usafi!”

Nazidi kuchanganyikiwa, naanza kukusanya vitu vyangu kwa hasira niondoke, basi shogaa ananisaidia, ananipampu kukaa mbali na mume wangu.

Tukiwa tunapanga vitu mume wangu anaingia, shoga yangu anatoka harakaharaka.

“Nishakukataza marafiki, huyu umemzoesha vibaya, mambo gani ya kumuambia aje kufanya USAFI, nani alikuambia mimi nashindwa kufanya usafi?

Umesema nimuachie funguo? Unaona kachukua mpaka na vitu vyangu!

Mume anapaniki, nashindwa kuelewa ni nini, namuwakia naanza kumuambia ana wanawake namuambia nimekuta mpaka nguo za ndani!

Hajibu kitu, ananiambia twende, tunafika kwa yule Dada, anamuambia nipe funguo zangu, Dada anang’aang’aa macho, anamuuliza.

“Mke wangu ndiyo alikuambia uingie mpaka chumbani kwangu kufanya usafi?” Nakua sielewi anajitetea.

“Hakuniambia ila niliona kama atarudi kachoka nimsaidie.” Namuonyesha na nguo ya ndani namuuliza yanani anaikana!

“Ilete, si kasema si yake, basi naisagia majivu kizazi kinaoza!” Mume wangu anaondoka anaichukua ile nguo ya ndani na kuondoka nayo mimi na shoga yangu jirani tunashangaa, ila namuona ana wasiwasi sana.

Jioni Dada huyo anakuja, anapiga magoti kuomba nguo yake ya ndani irudishwe, analia, “Sikudhamiria!” Anakiri alitegeshea yeye ili mimi niione kuwa mume wangu alikaua kiingiza wanaume ndani hivyo nikasirike na kuondoka, namuuliza kwanini umeamua kunifanyia hivi, ananaimbai kwakua naringa sana na mume wangu!

Tunamrudishia, anaondoka nimejifunza! Hakuna urafiki wa chumbani! Ingawa sikumuambia mimi kuja kufanya usafi chumbani kwangu lakini ni rafiki yangu ambaye nilishamzoesha mambo mengi, mume wangu alishanikatazaga mambo mengi na yeye lakini sikumsikia ila sasa hivi nimejuta sitaki tena ushoga wakugandana!
Shoga kidawa 😜
 
VISA NA MIKASA; Shoga ya

Nimetoka zangu kujifungua narudi nyumbani nakuta nyumba ni safi, yaani nawaza huyu si mume wangu kwakweli!

Naingia ndani nawaza nani kafanya huu usafi! Jicho la kiukaguzi, yaani kuchunguza kama kuna kitu. Basi nikawa sina amani, mume ananiuliza vipi namuambia kuchoka tu mume wangu naye anamshangao akiangalia chumba!

Mwanaume akatoka, naanza kukagua nakuta chupi ya kike uvunguni, tena iliyotumika, najua si saizi yangu.

Aisee nilichanganyikiwa. Natoka nnje naingia natafuta namna ya kumuuliza mume wangu nashindwa kitu kimenikaba.

Basi siku hiyo ikapita, nikalala, asubuhi mume kazini, mimi bado nina kisirani, majirani si ndiyo wanakuja sasa.

Kuna jirani mmoja ni kama ndugu, yaani yeye tulikua pika pakua basi akaanza kuniambia.

“Shogaa, nikuambie kitu tu, watoto wako bado wachanga, mumeo atawabemenda, ulipokua huko kila siku anabadilisha wanawake, hata jana kuna Mmama mtu mzima kaja kufanya usafi!”

Nazidi kuchanganyikiwa, naanza kukusanya vitu vyangu kwa hasira niondoke, basi shogaa ananisaidia, ananipampu kukaa mbali na mume wangu.

Tukiwa tunapanga vitu mume wangu anaingia, shoga yangu anatoka harakaharaka.

“Nishakukataza marafiki, huyu umemzoesha vibaya, mambo gani ya kumuambia aje kufanya USAFI, nani alikuambia mimi nashindwa kufanya usafi?

Umesema nimuachie funguo? Unaona kachukua mpaka na vitu vyangu!

Mume anapaniki, nashindwa kuelewa ni nini, namuwakia naanza kumuambia ana wanawake namuambia nimekuta mpaka nguo za ndani!

Hajibu kitu, ananiambia twende, tunafika kwa yule Dada, anamuambia nipe funguo zangu, Dada anang’aang’aa macho, anamuuliza.

“Mke wangu ndiyo alikuambia uingie mpaka chumbani kwangu kufanya usafi?” Nakua sielewi anajitetea.

“Hakuniambia ila niliona kama atarudi kachoka nimsaidie.” Namuonyesha na nguo ya ndani namuuliza yanani anaikana!

“Ilete, si kasema si yake, basi naisagia majivu kizazi kinaoza!” Mume wangu anaondoka anaichukua ile nguo ya ndani na kuondoka nayo mimi na shoga yangu jirani tunashangaa, ila namuona ana wasiwasi sana.

Jioni Dada huyo anakuja, anapiga magoti kuomba nguo yake ya ndani irudishwe, analia, “Sikudhamiria!” Anakiri alitegeshea yeye ili mimi niione kuwa mume wangu alikaua kiingiza wanaume ndani hivyo nikasirike na kuondoka, namuuliza kwanini umeamua kunifanyia hivi, ananaimbai kwakua naringa sana na mume wangu!

Tunamrudishia, anaondoka nimejifunza! Hakuna urafiki wa chumbani! Ingawa sikumuambia mimi kuja kufanya usafi chumbani kwangu lakini ni rafiki yangu ambaye nilishamzoesha mambo mengi, mume wangu alishanikatazaga mambo mengi na yeye lakini sikumsikia ila sasa hivi nimejuta sitaki tena ushoga wakugandana!
DUh!
 
Mungu anakupenda sana my sister
Utolee sadaka ya shukurani kwa Imani yako kwa Mungu kukuvusha katika hili.

Hakika! Moyo wa mtu ni kichakaa!

Mungu awalinde na kuitunza ndoa yenu!

Mungu awalinde na kuwapa upendo, mshikamano na umoja kati yako wewe na mumeo!
 
VISA NA MIKASA; Shoga ya

Nimetoka zangu kujifungua narudi nyumbani nakuta nyumba ni safi, yaani nawaza huyu si mume wangu kwakweli!

Naingia ndani nawaza nani kafanya huu usafi! Jicho la kiukaguzi, yaani kuchunguza kama kuna kitu. Basi nikawa sina amani, mume ananiuliza vipi namuambia kuchoka tu mume wangu naye anamshangao akiangalia chumba!

Mwanaume akatoka, naanza kukagua nakuta chupi ya kike uvunguni, tena iliyotumika, najua si saizi yangu.

Aisee nilichanganyikiwa. Natoka nnje naingia natafuta namna ya kumuuliza mume wangu nashindwa kitu kimenikaba.

Basi siku hiyo ikapita, nikalala, asubuhi mume kazini, mimi bado nina kisirani, majirani si ndiyo wanakuja sasa.

Kuna jirani mmoja ni kama ndugu, yaani yeye tulikua pika pakua basi akaanza kuniambia.

“Shogaa, nikuambie kitu tu, watoto wako bado wachanga, mumeo atawabemenda, ulipokua huko kila siku anabadilisha wanawake, hata jana kuna Mmama mtu mzima kaja kufanya usafi!”

Nazidi kuchanganyikiwa, naanza kukusanya vitu vyangu kwa hasira niondoke, basi shogaa ananisaidia, ananipampu kukaa mbali na mume wangu.

Tukiwa tunapanga vitu mume wangu anaingia, shoga yangu anatoka harakaharaka.

“Nishakukataza marafiki, huyu umemzoesha vibaya, mambo gani ya kumuambia aje kufanya USAFI, nani alikuambia mimi nashindwa kufanya usafi?

Umesema nimuachie funguo? Unaona kachukua mpaka na vitu vyangu!

Mume anapaniki, nashindwa kuelewa ni nini, namuwakia naanza kumuambia ana wanawake namuambia nimekuta mpaka nguo za ndani!

Hajibu kitu, ananiambia twende, tunafika kwa yule Dada, anamuambia nipe funguo zangu, Dada anang’aang’aa macho, anamuuliza.

“Mke wangu ndiyo alikuambia uingie mpaka chumbani kwangu kufanya usafi?” Nakua sielewi anajitetea.

“Hakuniambia ila niliona kama atarudi kachoka nimsaidie.” Namuonyesha na nguo ya ndani namuuliza yanani anaikana!

“Ilete, si kasema si yake, basi naisagia majivu kizazi kinaoza!” Mume wangu anaondoka anaichukua ile nguo ya ndani na kuondoka nayo mimi na shoga yangu jirani tunashangaa, ila namuona ana wasiwasi sana.

Jioni Dada huyo anakuja, anapiga magoti kuomba nguo yake ya ndani irudishwe, analia, “Sikudhamiria!” Anakiri alitegeshea yeye ili mimi niione kuwa mume wangu alikaua kiingiza wanaume ndani hivyo nikasirike na kuondoka, namuuliza kwanini umeamua kunifanyia hivi, ananaimbai kwakua naringa sana na mume wangu!

Tunamrudishia, anaondoka nimejifunza! Hakuna urafiki wa chumbani! Ingawa sikumuambia mimi kuja kufanya usafi chumbani kwangu lakini ni rafiki yangu ambaye nilishamzoesha mambo mengi, mume wangu alishanikatazaga mambo mengi na yeye lakini sikumsikia ila sasa hivi nimejuta sitaki tena ushoga wakugandana!
Idiot
 
Utakuwa unaishi uswazi mambo ya mashoga na majirani mpaka kufanyiana usafi. Ushuani hakuna hiyo
 
VISA NA MIKASA; Shoga ya

Nimetoka zangu kujifungua narudi nyumbani nakuta nyumba ni safi, yaani nawaza huyu si mume wangu kwakweli!

Naingia ndani nawaza nani kafanya huu usafi! Jicho la kiukaguzi, yaani kuchunguza kama kuna kitu. Basi nikawa sina amani, mume ananiuliza vipi namuambia kuchoka tu mume wangu naye anamshangao akiangalia chumba!

Mwanaume akatoka, naanza kukagua nakuta chupi ya kike uvunguni, tena iliyotumika, najua si saizi yangu.

Aisee nilichanganyikiwa. Natoka nnje naingia natafuta namna ya kumuuliza mume wangu nashindwa kitu kimenikaba.

Basi siku hiyo ikapita, nikalala, asubuhi mume kazini, mimi bado nina kisirani, majirani si ndiyo wanakuja sasa.

Kuna jirani mmoja ni kama ndugu, yaani yeye tulikua pika pakua basi akaanza kuniambia.

“Shogaa, nikuambie kitu tu, watoto wako bado wachanga, mumeo atawabemenda, ulipokua huko kila siku anabadilisha wanawake, hata jana kuna Mmama mtu mzima kaja kufanya usafi!”

Nazidi kuchanganyikiwa, naanza kukusanya vitu vyangu kwa hasira niondoke, basi shogaa ananisaidia, ananipampu kukaa mbali na mume wangu.

Tukiwa tunapanga vitu mume wangu anaingia, shoga yangu anatoka harakaharaka.

“Nishakukataza marafiki, huyu umemzoesha vibaya, mambo gani ya kumuambia aje kufanya USAFI, nani alikuambia mimi nashindwa kufanya usafi?

Umesema nimuachie funguo? Unaona kachukua mpaka na vitu vyangu!

Mume anapaniki, nashindwa kuelewa ni nini, namuwakia naanza kumuambia ana wanawake namuambia nimekuta mpaka nguo za ndani!

Hajibu kitu, ananiambia twende, tunafika kwa yule Dada, anamuambia nipe funguo zangu, Dada anang’aang’aa macho, anamuuliza.

“Mke wangu ndiyo alikuambia uingie mpaka chumbani kwangu kufanya usafi?” Nakua sielewi anajitetea.

“Hakuniambia ila niliona kama atarudi kachoka nimsaidie.” Namuonyesha na nguo ya ndani namuuliza yanani anaikana!

“Ilete, si kasema si yake, basi naisagia majivu kizazi kinaoza!” Mume wangu anaondoka anaichukua ile nguo ya ndani na kuondoka nayo mimi na shoga yangu jirani tunashangaa, ila namuona ana wasiwasi sana.

Jioni Dada huyo anakuja, anapiga magoti kuomba nguo yake ya ndani irudishwe, analia, “Sikudhamiria!” Anakiri alitegeshea yeye ili mimi niione kuwa mume wangu alikaua kiingiza wanaume ndani hivyo nikasirike na kuondoka, namuuliza kwanini umeamua kunifanyia hivi, ananaimbai kwakua naringa sana na mume wangu!

Tunamrudishia, anaondoka nimejifunza! Hakuna urafiki wa chumbani! Ingawa sikumuambia mimi kuja kufanya usafi chumbani kwangu lakini ni rafiki yangu ambaye nilishamzoesha mambo mengi, mume wangu alishanikatazaga mambo mengi na yeye lakini sikumsikia ila sasa hivi nimejuta sitaki tena ushoga wakugandana!
Huwa hamsikii amekunyosha
 
Nyumba za kupanga bwana, Allah Allah Allah tujalie tujenge nyumba zetu tukiwa na wake zetu wasikivu, wenye utiii, subra na heshima... Ila kwa Hawa visirani, choyo, gubu, wasio na Siri, wajuaji, vichwa ngumu... Wacha tuendelee kupanga mpaka tupate mafao
 
Story za Facebook [emoji847] mambo yasiyo na kichwa Wala miguu
 
Wewe bado ni boya hiyo ni mbinu tuu ya kivita,fahamu wazi hhuyo shoga yako keshaliwa
 
Back
Top Bottom