Namkubali sana Kapombe na mpira wake ila naona kama anamnyanyasa Mwenda, hamtendei haki kabisa. Sijui hata huko kambini au mazoezini wanaishije. Msimu huu bado haujawa mzuri kabisa kwa Kapombe toka ngao. Katika moja ya mambo ya maana kocha wa taifa amefanya ni kumuita Mwenda pamoja na kwamba hapewi nafasi pale Simba. Ni muhimu sana kulinda vipaji vya wachezaji.
Kapombe nakushauri jishushe bro. Picha tunayoipata ni kuwa wewe ndiyo tatizo.