Shomari Kapombe na Mohamed Hussein wanapiga kazi sana ila sidhani kama mishahara yao inafika Milioni 10 kwa mwezi

Shomari Kapombe na Mohamed Hussein wanapiga kazi sana ila sidhani kama mishahara yao inafika Milioni 10 kwa mwezi

Mishahara simba kwa first eleven ni mizuri sababu mtu kama Manula 6 years back ndo alikua anapewa 5M
 
Hasira za nini Mkuu? Yeye katoa mawazo yake tu na inawezekana Shomi na Zimbwe wanakula mishahara mizuri tu maana Zimbwe kuna sehemu maeneo ya Mwananyamala sokoni kajenga zaidi ya frem 20 eneo la Msikitini na ana nyumba nzuri tu Goba na usafiri wake Toyota Crown na juzi kapata shavu CRDB yeye , CHAMA na Aziz Ki sio haba kipaji chake kinampa maisha tofauti na Vijana wengi waliokaa Darasani zaidi ya miaka 10 na bado wapo tu mtaani hawana option
Bwana acha uongo hapo hizo fremu kapanga tu kachukua frem mbili Kuna kaduka uchwara hapo analipa laki 6 na anauza mchele mixer vitu vingine.
 
Tanzania tunathamini wageni kuliko wazawa shomari kapombe na tshabalala wangekuwa sio watanzania wangekuwa mbali sana mfano tu hapa bongo watu wanamdharau aishi manula kwasababu anacheza simba siku team ya taifa ikifungwa lawama zote kwake wanamlinganisha na yule mitege mr misifa kwasababu ni mgeni ila manula ni top class goalkeeper wa Africa sio Tanzania tu ila ndio hvyo nabii hakubaliki kwao.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom