Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapombe ni beki pembeni mkuu.Kwa kufanikiwa kumzuia Fiston Mayele asifunge goli kwenye mechi ya Simba na Yanga ya tarehe 30 APRILI 2022 basi nakushauri uende kanisani kwako unapo abudu ukatoe sadaka ya shukurani.
Amesimuliwa tu huyo, achana nayeKapombe ni beki pembeni mkuu.
Kwanini swadaka hiyo isitolewe na mabeki wa kati?
Yule ni mkristoKwann isiwe misikitini anako swali.
Alicheza dk ngapi?😁
Vipi hapa kuna mambo ya WWE au?
Haya ndio madhara ya kusikiliza mpira TBC fm ilihali mtangazaji anatazama kwenye tv na yeyeKwa kufanikiwa kumzuia Fiston Mayele asifunge goli kwenye mechi ya Simba na Yanga ya tarehe 30 APRILI 2022 basi nakushauri uende kanisani kwako unapo abudu ukatoe sadaka ya shukurani.
Mkuu tunajua kuwa Shommy The Way ni mkristo....Kwa kufanikiwa kumzuia Fiston Mayele asifunge goli kwenye mechi ya Simba na Yanga ya tarehe 30 APRILI 2022 basi nakushauri uende kanisani kwako unapo abudu ukatoe sadaka ya shukurani.
Shomari Kapombe alibadili dini kumfuata mke wake....Mam EsterKwann isiwe misikitini anako swali.
Ndio maana mama Ester anamtesa mpaka anafikia hatua ya kuomba msamaa hadharani.Shomari Kapombe alibadili dini kumfuata mke wake....Mam Ester
Kapombe ni beki pembeni mkuu.
Kwanini swadaka hiyo isitolewe na mabeki wa kati?
Mbunye tu mtu unabadiri dini? Kha!Shomari Kapombe alibadili dini kumfuata mke wake....Mam Ester
Akaiwekea na 'Salumu' kama msisitizo!.Ujumbe hapo ni kwamba Kapombe ni mkristo...