Shomari Salumu Kapombe, nenda katoe sadaka ya shukurani kanisani kwenu

Shomari Salumu Kapombe, nenda katoe sadaka ya shukurani kanisani kwenu

Ndio maana mama Ester anamtesa mpaka anafikia hatua ya kuomba msamaa hadharani.
Mwanaume kubadili dini kwa ajili ya mwanamke huo ni udhaifu mkubwa sana, Kapombe ameonesha udhaifu na mama Ester analijua hilo ndo maana anamsurubu.
Mwanaume anatakiwa kuwa na msimamo kinyume na hapo lazima uteseke. Mwana kulitafuta mwana kulipata.
Huo udhaifu wake ndio unamfanya aishi maisha ya furaha na mkewe. Aliyekuambia kung'ang'ania hizi dini za kuletewa ndio msimamo wa kiume ni nani?
 
Huo udhaifu wake ndio unamfanya aishi maisha ya furaha na mkewe. Aliyekuambia kung'ang'ania hizi dini za kuletewa ndio msimamo wa kiume ni nani?
Kuomba msamaha kwenye media ndio furaha? Mwanaume misimamo sio kulia lia kwenye media. Kama na wewe imekuuma ndo hivyo.
 
Kuomba msamaha kwenye media ndio furaha? Mwanaume misimamo sio kulia lia kwenye media. Kama na wewe imekuuma ndo hivyo
Ukifikia umri wa kuwa na walau girlfriend ndio utajua sasa una mawazo ya kitoto sana
 
Ukifikia umri wa kuwa na walau girlfriend ndio utajua sasa una mawazo ya kitoto sana
Nina mke na watoto ila bado sijafikia hatua ya kuendeshwa na mapenzi wala mwanamke. Nimejiwekea kiwango cha kupenda sio mtu unapenda kwa asilimia mia matokeo yake unateseka na kuonekana kama limbukeni wa mapenzi.
Kuomba ni sio tatizo ila unaomba katika mazingira yepi ndo tatizo.
Unaweza kuomba msamahaa mkiwa faragha, au mkiwa na mshenga wenu, au watu wazima mnao waamini katika jamii yenu au wazazi wa pande zote mbili au viongozi wa kidini.
 
Nani kasema kuwa alibadili dini kwa sababu ya mapenzi? Mbona wapo wanandoa wengi tu ambao wanaishi kila mtu akiwa na dini yake? Acheni kuhitimisha mambo kirahisi-rahisi.

Vv
 
Ujumbe hapo ni kwamba Kapombe ni mkristo...
Na hili ndilo lengo kuu la mtoa mada! Kupoteza muda kumjadili mtu ambaye ameamua kuchagua kuishi maisha yake.

Watanzania tuna shida mahali! Siyo bure.
 
Nina mke na watoto ila bado sijafikia hatua ya kuendeshwa na mapenzi wala mwanamke. Nimejiwekea kiwango cha kupenda sio mtu unapenda kwa asilimia mia matokeo yake unateseka na kuonekana kama limbukeni wa mapenzi.
Kuomba ni sio tatizo ila unaomba katika mazingira yepi ndo tatizo.
Unaweza kuomba msamahaa mkiwa faragha, au mkiwa na mshenga wenu, au watu wazima mnao waamini katika jamii yenu au wazazi wa pande zote mbili au viongozi wa kidini.
Haya wewe endelea na ubabe kwa mke wako acha wengine waisha maisha yanayowapa furaha.
 
Nina mke na watoto ila bado sijafikia hatua ya kuendeshwa na mapenzi wala mwanamke. Nimejiwekea kiwango cha kupenda sio mtu unapenda kwa asilimia mia matokeo yake unateseka na kuonekana kama limbukeni wa mapenzi.
Kuomba ni sio tatizo ila unaomba katika mazingira yepi ndo tatizo.
Unaweza kuomba msamahaa mkiwa faragha, au mkiwa na mshenga wenu, au watu wazima mnao waamini katika jamii yenu au wazazi wa pande zote mbili au viongozi wa kidini.
Shida ni pale unapotaka wanaume wote waishi utakavyo weye,,,, weye siyo KIPIMO cha maisha ya yeyote ndugu maana hata hayo unayosema ya kuomba msamaha ni yale na wewe umemezeshwa na wengine,,,, hii dunia kubwa sana kila mtu apambane na hali yake, na yeye kamwomba msamaha mama Esther wake aliyemchagua mwenyewe sasa tena wewe AMEKUKWAZIA nini?? .......
 
Haya wewe endelea na ubabe kwa mke wako acha wengine waisha maisha yanayowapa furaha.
Hakuna ubabe, ila unatakiwa utambue kuwa mwanaume ndio kichwa cha familia, nikimaanisha kuwa ndio kiongozi mkuu wa familia, so unatakiwa uwe mtu makini sana na mwenye misimamo isiyo yumba. Wenye busara mambo yao wanayamaliza ndani au kwa watu wenye busara zaidi yao.
Ndugu yangu nyumba zinaficha mengi, sio wote tunao waona nje wana furaha basi uje wanafuraha kweli.
 
Back
Top Bottom