Naanza na kunukuu
"Kuna watoto wanaotaka ligi na wcb tumewachununia zimebuma" mwisho wa kunukuu
Hayo ni maneno ambayo ameyatoa diamond baada ya kuperfom katika shoo ya kwanza ya mboso tangu asajiliwe na wakal hawa wa burudan Tanzania
Mara baada ya kauli hiyo iliibuka shangwe kubwa kutoka kwa mashabiki
Ngoja waje wenzako na hizo team zenu ili muanze kucheza mechi humu JF,nitarudi kusoma jinsi mtakavyo shambuliana humu, huku Kiba na huyo Diamond wakiingiza pesa kwenye account zao.
Video hata kwenye trending sasa hivi siioni,sijui kimetokea nini yaani pamoja na Mange kuongeza nguvu lkn bado raia hawajaielewa.Mondi nae mswahili yaani hizi siku tatu kukaa bila kutoa neno kaona kama mwaka.
Ww mtoa posti ndo mzushi sasa apo ni kipi kilicho kuaminisha ayo maneno yamemlenga kiba...kwan kiba kafanya nin au kaongea ktu gan adi arudishiwe maneno ayo...au kutoa ngoma yake ndo kushindana na mond. Ngozi nyeusi bhana