jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Naanza na kunukuu
"Kuna watoto wanaotaka ligi na wcb tumewachununia zimebuma" mwisho wa kunukuu
Hayo ni maneno ambayo ameyatoa diamond baada ya kuperfom katika shoo ya kwanza ya mboso tangu asajiliwe na wakal hawa wa burudan Tanzania
Mara baada ya kauli hiyo iliibuka shangwe kubwa kutoka kwa mashabiki
Kisha akawauliza wamefel hawajafel
Wamefeliiiiiiiiii
Haya sasa japo hajatajwa mtu ila inajulikana tu nan kasemwa hapo
Huenda YouTube viewers zikaongezeka leo baada ya dongo hili
Asnten
Check video hapo
"Kuna watoto wanaotaka ligi na wcb tumewachununia zimebuma" mwisho wa kunukuu
Hayo ni maneno ambayo ameyatoa diamond baada ya kuperfom katika shoo ya kwanza ya mboso tangu asajiliwe na wakal hawa wa burudan Tanzania
Mara baada ya kauli hiyo iliibuka shangwe kubwa kutoka kwa mashabiki
Kisha akawauliza wamefel hawajafel
Wamefeliiiiiiiiii
Haya sasa japo hajatajwa mtu ila inajulikana tu nan kasemwa hapo
Huenda YouTube viewers zikaongezeka leo baada ya dongo hili
Asnten
Check video hapo