Shoneni suti za kuipokea Simba SC wakitua airport toka Lubumbashi,imeshaingia nusu fainali

Washapona hawa Vyura basi bora Gormahia kashaelekea kibra, angekuwa stable angewabania ili atuzidi point wasishiriki, maana droo yetu wameshangilia Yanga km wamechukua uefa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kimoyomoyo vyura wamefurahi, waanze kuchangisha kibubu sasa hivi ili mwakani wasije wakalala airport hawana nauli ya kurudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
Hakuna sehemu duniani wanashangilia mafanikio ya Mpira kimyakimya!;Wewe unaita kelele wenzio tunaita shangwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
Suti za misiba zinapatikana kwa bei gani?
Msiba huo utakuwa mkubwa sana na utaacha simanzi ya mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Simanzi gani??hujaona Croatia walivyopokewa kwa shangwe walivyorudi toka kombe LA dunia japo walifungwa fainali??kwa Taarifa yako hakuna team ya Tanzania iliyowahi kuvuka hatua ya makundi,Simba hii ndio imevuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
TASAF wamechanga pesa za ahadi.Ahadi ya milioni 500!
Wanafikiri omba omba itamalizwa kwa pesa hiyo.
Walivyo wavimba macho wanapata bilioni 1 kutoka Sports Pesa lakini wanashindwa hata kulipa mishahara.
Timu haina viongozi bali wachumia utumbo tu.
 
poleni sanaaa mikia wacheza sebene wanaenda kuwatatua marinda 7 bila majibu, tuliwaambia hayo mambo yenu ya ujanja ujanja yana mwisho, mara mmemnunua refa mara mmepulizia sumu vyumbani mara ulozii daaaa poleni sana
 
Pole wewe mwenye kuteseka. Simba wameweka jina la Tanzania kwenye ramani ya soka Afrika.
Migongo wazi mmeshiriki miaka nenda rudi mmeongeza pointi 3 kwenye ranking.
Wanaume wameongeza pointi 12 msimu mmoja.
Tofauti inajulikana na inaonekana hata kwa kipofu omba omba.
Pukachaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…