Shonza: Siwezi kujibizana na Diamond

Jaman sasa Roma kaimba hiphop ngum wakamteka kabadil gia kweny soft mapenz Kibamia...wamemfungia....kwel Bongo bahati mbaya
Umeniwahi kwa comment yako. Roma alikua anaimba siasa, mbunge Ally Kessy wa Nkansi akasema anamtukana raisi. Wakaishia kumteka Roma wa watu! Kabadiki staili, wanafungia nyimbo zake na show zake. Huku kumuua njaa na kumkimbiza mjini.
 
shonza bhana kwa bahati waziri wa michezo .....lakina ana lafidhi km si lafudhi mbaya....y kiswahili.....
 
"Hatuwezi" we na nani?
 
Only strong exist
Ila kwenye hii vita Shonza atashinda mark my word, sababu Mkulu alishawahi kumuonya wazi Diamond lakini hakumtaja, alisema mtu ye anavaa vizuri mwanamke anamuweka uçhi, so kwa mawazo yangu ukichanganya na akili za Shonza naamini Shonza anafata maelekezo ya mkulu na nia ilikuwa kumprovoke Diamond awe mbogo , atoke nje ya mstari ili wamnyooshe, kwa inteview ile Diamond kaingia mtegoni, their soon going to take further actions against him and you will not believe.Unakumbuka siku Manji anamwita Makonda Umbwa ? What happened next?
 
Kutaja tu neno haleluya inaashiria ukristo unakua ,so wala hatuna neno naye,sisi wakristo tunaimani siku moja ataimba gospel .Bwana Yesu asifiwe mkuu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Fallacy Prediction!
 
Diamond angekaa kimya tu, hiyo nyimbo yake ya Haleluya imewasikitisha wakristo wengi sana, ni kwakua tu hawana utaratibu wa kulalama publicly ila umewakwaza watu wengi.
Tatizo lako ni kama la Juliana Shonza wote music umewapitia kushoto
Unawafahamu Morgan Heritage?
Una jua lyrics za nyimbo hiyo?
If not just button up
 
Wengi wana bifu na shonza ila nyimbo zilizofungiwa zinastahili kifungo. Shonza anapata umaarufu tu kwa kutajwa tajwa hadi raha
Shonza na dada ako Zari nani maarufu?...Halafu mbona Zari siku hizi hasikiki yuko wapi tena?
 
huwa simuhusudu mond lakini kwa hili kaongea point sana,huyu waziri mdogo tena kijana katika wizara inayogusa vijana wengi nilitegemea angekuwa na mawazo chanya kumbe bogus tu hata siku anahojiwa na clouds niligundua ni mpuuzi wa mwisho licha ya kuwa waziri wa habari lakini hajui kuongea kwenye media yaani hana content hata sababu za maadili anazoteta hazina msingi,huwa napataa shida sana napoona kijana anashindwa kwenda sawia na technologia ya sasa ndio tatizo la kuwa na teuzi za kuwafidia kwa wapambe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…