SHOOyaKIBABE

SHOOyaKIBABE

SHOOyaKIBABE

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
2,181
Reaction score
1,714
mambo vp wakuu.. Ndo nmejiunga na JF, mwenyeji anitembeze tembeze humu ndan nivijue vyumba vinavyonihusu.

SHOOyaKIBABE
 
Karibu mkuu,
mpokea wageni naona kaenda kuvizia posho hajarudi naye ni mmoja wa wabunge wa katiba, ila kwa muda unaomsubiri karibu jukwaa la siasa utatusaidia SHOOyaKIBABE ili tusingolewe kucha.
 
Last edited by a moderator:
Karibu mkuu,
mpokea wageni naona kaenda kuvizia posho hajarudi naye ni mmoja wa wabunge wa katiba, ila kwa muda unaomsubiri karibu jukwaa la siasa utatusaidia SHOOyaKIBABE ili tusingolewe kucha.

nashukuru pleo, ntakaribia jukwaa la siasa
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana ila hatutaki ufanye shoo ya kibabe humu JF.
 
Karibu pitamoja kwa moja kwe jukwaa la katiba kaongeze nguvu waambie serekali ni tatu!
 
Back
Top Bottom