SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,181
- 1,714
Karibu mkuu,
mpokea wageni naona kaenda kuvizia posho hajarudi naye ni mmoja wa wabunge wa katiba, ila kwa muda unaomsubiri karibu jukwaa la siasa utatusaidia SHOOyaKIBABE ili tusingolewe kucha.
Karibu
Karibu sana ila hatutaki ufanye shoo ya kibabe humu JF.
Karibu sana JF...
Karibu sana jamvini
Karibu pitamoja kwa moja kwe jukwaa la katiba kaongeze nguvu waambie serekali ni tatu!
Atarudi lini
asante mkuu, kwa hiyo ww ni watu8 ndani ya mtu mmoja?
Sisi ni watu wanane tofauti...na tunatumia JF kila mtu kwa wakti wake
Karibu sana