Shoppers ya Masaki ni hawana Utu kwa wateja wao

Shoppers ya Masaki ni hawana Utu kwa wateja wao

KINSasante

Member
Joined
Jul 1, 2024
Posts
6
Reaction score
28
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Mathlani hiyo pesa ingerudi kwako ungewapalekea? Tatizo la Tigo pesa siku ya jana lilijulikana mapema sana asubuhi, sasa ilikuwaje wewe ukaitumia Tigo pesa wakati inajulikana kuna tatizo?
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Sasa wao wana tatizo.gani unawalaumu bure. Imagine muamala ukarudishwa kwako ikiwa umeshaondoka..wao wangepata wapi hela yao?
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Technically ulikuwa hujalipia hizo bidhaa. Kwa hiyo Shoppers walikuwa sahihi kukuzuia. Walaumu Tigo, sio Shoppers.
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Ungeenda Shoprite yetu Masikini pale Karume Mchikichini au Kariakoo Mtaa wa Congo yote haya ya kwa Matajiri huko Masaki yasingekupata. Pole sana.
 
Kiukweli shoppers ya masaki hawana tatizo ila wewe ndio una matatizo ya vihela vyako na mentality yako kama ulivyosema. Epuka kuwa down na kinyonge sana financially utanishukuru. Energy yako katika fedha ipo chini sana na ukiendelea kuwa hivyo utajiona unaonewa sana kumbe ni wewe mwenyewe tu! Badilika na ujiamini. Situation kama hiyo ikitokea next time, relax vuta pumzi kubwa subiri na kuwa mpole.

Hivi ungekuwa wewe unafanya biashara ungekubali mteja aondoke na bidhaa kabla hujapata ujumbe wa muamala?
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Kaulize hapa mjini Wanaijiria wanaongoza kwa kurudisha miamala! Isije ukawa muonekano wako unaakisi nchi ya Nigeria
 
Hao SHOPPERS unawaonea tu, shida hapo ni tigo, hata mimi ningekuwa mfanyabiashara nisingekuruhusu uondoke. Tigo wajinga hawakwambii kama baada ya masaa hayo 72 uhakika pesa itaenda wapi, ikiwa inarudi kwako na mzigo umeondoka nao una roho ya kuwapelekea hela yao!?

Nililipa SGR kupitia TIGOPESA, msg inaonesha hela imekatwa kwangu na kwao haijafika, walinikatalia kata kata kusafiri, nikawapigia tigo, wakanijibu upuuzi kama huo, kuwa hela ipo katikatiki hawana uhakika itakwenda wapi hivyo nisubiri masaa 72 ya kazi na hapo kumbuka ni j1, tena wananiambia niombe mungu ije kwangu, ikienda kwao imekula kwangu.
 
Hao SHOPPERS unawaonea tu, shida hapo ni tigo, hata mimi ningekuwa mfanyabiashara nisingekuruhusu uondoke. Tigo wajinga hawakwambii kama baada ya masaa hayo 72 uhakika pesa itaenda wapi, ikiwa inarudi kwako na mzigo umeondoka nao una roho ya kuwapelekea hela yao!?

Nililipa SGR kupitia TIGOPESA, msg inaonesha hela imekatwa kwangu na kwao haijafika, walinikatalia kata kata kusafiri, nikawapigia tigo, wakanijibu upuuzi kama huo, kuwa hela ipo katikatiki hawana uhakika itakwenda wapi hivyo nisubiri masaa 72 ya kazi na hapo kumbuka ni j1, tena wananiambia niombe mungu ije kwangu, ikienda kwao imekula kwangu.
Mwisho ilikuaje?
 
NIliposoma kichwa cha habari, nikajua labda wamekunyanyapaa n.k. Hicho walichofanya ni sawa. Ni rahisi wewe kurudi kufuata bidhaa zako. Kuliko muamala ungerudishwa, wewe kuwapelekea hela kama wangekuruhusu kuondoka na vitu.

Zaidi yule dada aliyekuhudumia, angekatwa mshahara kufidia hiyo hela, kama ingerudishwa na vitu umesepa navyo. Shida ni mtandao, ni suala la kuvumiliana.
 
Back
Top Bottom