Shoppers ya Masaki ni hawana Utu kwa wateja wao

Shoppers ya Masaki ni hawana Utu kwa wateja wao

Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Nadhani shida sio wao shida ni mtandao wako, maana huenda ela ingerudi kwako ushaondoka uwatie hasara.
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Hata ningekuwa mm ningefanya hivYo wabongo hawaaminiki dk 2 nyingi anakuliza usipokuwa makini next time njoo mwananyamala sokoni.
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Mambo ya Masaki waachie wenyewe watu wa Masaki, wenzako chupa ya Hennessy wananunuwa kuanzia laki 4, wewe sh 53,000 ambayo anapewa baunsa wa mlangoni kama tip unakuja kutupigia kelele hapa.

Siku nyingine nenda Discount super market ndio wapo kwa ajili ya watu wa Magufuli wanyonge.
 
Hao SHOPPERS unawaonea tu, shida hapo ni tigo, hata mimi ningekuwa mfanyabiashara nisingekuruhusu uondoke. Tigo wajinga hawakwambii kama baada ya masaa hayo 72 uhakika pesa itaenda wapi, ikiwa inarudi kwako na mzigo umeondoka nao una roho ya kuwapelekea hela yao!?

Nililipa SGR kupitia TIGOPESA, msg inaonesha hela imekatwa kwangu na kwao haijafika, walinikatalia kata kata kusafiri, nikawapigia tigo, wakanijibu upuuzi kama huo, kuwa hela ipo katikatiki hawana uhakika itakwenda wapi hivyo nisubiri masaa 72 ya kazi na hapo kumbuka ni j1, tena wananiambia niombe mungu ije kwangu, ikienda kwao imekula kwangu.
Tigo wanajua kuwa wanachangamoto katika mifumo yao... Kwa nini wasiset pesa kama imetumwa irudi muda huo huo kwa mtu aliyetuma pesa ili atafute plan B kwa haraka na wepesi zaidi...
 
Sisi zetu ni buguruni sokoni soko la ilala pale nikienda kila kitu kipo na beiii cheee huko kwenye ma supamarket tuwaachie wenye hela.Pole sana ndugu yangu na ww una afu hamsin unaenda kuushtua umasikini supamarket sasa umekutana na fedhehaaaa 🤣🤣🤣
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Huwa najiuliza, kwanini itumie masaa 72 kurudisha pesa iliyotumia sekunde moja kuichukua?
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Wabongo mnapenda lawama za kipuuzi sana
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
Hapo huwezi kuwalaumu maana ni biashara sasa pesa hawajapata watakupaje bidhaa?
Tigo wenyewe wameshasema after 72hrs hela inaweza kurudi kwako sasa imagine wao shopppers wangepata vipi pesa yao
Jamani tupunguze kulalamika watanzania
 
Mimi nimeshawahi kuwabadilikia hao wahindi wa mchongo, nikachukua bidhaa, hela ikarudi kwangu ndiyo nikawapelekea, sitakagi ujinga. System malfunction is none of my business, i paid groceries and i want groceries zangu, USIKAE KINYONGE NCHI NI YETU SOTE
 
Hela yenyewe alfu 50 lakini lawama kibaoo.
Kosa ni lako na mtandao wako wa simu lawama kwa mfanyabiashara!!
Siku nyingine njoo ufanye manunuzi Sokoni Temeke Stereo uepuke adha za ushuani.
 
Wakuu,

Tusaidiane kidogo ,Leo wakati nimekusanya vihela vyangu nikasema nipite shoppers ya MASAKI, ninunue vitu kidogo kwaajili ya mahitaji ya nyumbani.

Basi nimeshafanya machaguzi ya vitu natama nikaenda sehemu ya malipo na kufanya malipo kwa njia ya SELCOM,Tigo.

Malipo yalitakiwa kuwa ni 51500, basi nikalipia ,wakakata kwenye salio langu, na kisha nikachuka mfuko wangu nikijua nimeshakamilisha, Ghafla naambia aiseeh bado hatujapa msg, subiri,.

Wakuu kitendo cha kusubiri, ilikuwa ni hekaheka, yaani nimesubiri nusu saa nzima, ikabidi nipige simu TIGO kujua hii swala linaendaje.
Nikapokelewa na kuambiwa ni kweli muamala umefanyika na shida ni network ndio maana hawajapata msg,hivyo tunaomba tukutajie serial no ili uwaonyeshe.

Aiseeh kitendo cha kuwaelewesha wale wahindi ,ilikuwa ni shughuli hawaelewi na wanataka nirudishe vitu nisubiri tu,...Nikapiga tena simu ilo waongee nae still hakukuwa na kuelewana.

Nimepiga simu kama 5 kwa TIGO, na kuambiwa nisubiri masaa 72, ya kazi ndio wataona kama itarudi kwangu au itaenda Kwao.

Sasa kweli kwa hali ya umasikini huu ,kweli hela imekatwa na kuna evidence zote na bado unaambiwa uache vitu mpaka wao wapate risiti.

Hivi hii ni haki kweli au ndio tunatafuta hela za kuendesha kampeni ka staili ya kudhurumu wananchi?

NIMEONDOKA NA MASIKITIKO SANA, nasubiri masa 72 nione kama hela yangu itarudi au niendelee kunywa maji kwa jirani.
We jamaa si ungeviacha tu kwani ungekufa njaa kwa siku moja?

Masaki ni mahali pa kujiwekea heshima.

Umeonekana umevamia Kambi sio levele yako. Unaona kuacha 51500 ni ishu sana.

Ungeacha vitu kw amakubaliano kwamba ikiwa pesa itakatwa utarudi kuvichukua kwa sababu hapo ni Ofsini. Ila wao hawawezi kukupatia kwa sababu hawajui pakukupata ni wapi.

Common sense is commoni.
 
Hela yenyewe alfu 50 lakini lawama kibaoo.
Kosa ni lako na mtandao wako wa simu lawama kwa mfanyabiashara!!
Siku nyingine njoo ufanye manunuzi Sokoni Temeke Stereo uepuke adha za ushuani.
Watu wanapenda shida......kwanza nenda na cash yako.
 
Back
Top Bottom