Shortlisted - Nelson Mandela , Arusha

Shortlisted - Nelson Mandela , Arusha

NGOSWE.120

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
219
Reaction score
233
Wakuu wana Jf,

Am so sorry kwa hili niulizalo kama utakwazika but plse naomba kufahamishwa ili niweze kujua kuwa hiki chuo tayari wameshatoa majina ya watu (shortlisted ) au bado?

Ikumbukwe kuwa walitangaza nafasi nyingi za kazi na deadline yao ilikuwa tarehe ni 31 Dec, 2011. Hadi sasa ni mwezi mzima umepita lakini naona kimya..... so am a bit afraid with uchakachuaji katika kutoa hizo ajira kama ilivyo desturi ya taasisi nyingi za kielimu Mfano: UDSM, UDOM, MZUMBE, ..........! n.k

Kwa mtu anayejua nini kinachoendelea basi naomba anisaidie ili nijue hilo, even by pm it is ok!

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu hata mim i nashangaa naona kimya kweli had nahis kuna kitu kinaendelea chini ya kapet.Tafadhal wajaamen mkipata taarifa mtuwekeen hapa manake wengi tunategemea kupata taarifa hapa.
 
Watakuwa weshaajiri tayari. Juzi nimeona mabasi yao mapya mtaani yanachukua wafanyakazi!
Umesahau ile maneno..."If you dont get any responce from us consider yourself not shortlisted"?
By the way, fuatilia in person!
 
Bwana ngoswe ,nimeona si vibaya nkakusaidia maana naona JF watu wanachangia tu kama FB na haswa pale ambapo mtu kama ww unapokuwa unaulizia suala la msingi la maisha yako,kama mfanyakazi pale NM-AIST-ARUSHA napenda nkueleze tu kuwa hayo majina ndo yapo kwenye hatua za mwisho za "screening" maana chuo huwa kinafanya kitu kinachoitwa "circularizations and vetting" yani confirmations kwa third parties kule ulikosema umesoma na umefanya kazi na mengineyo,ni zoezi gumu maana sa nyingine people are reluctant to show a positive confirmations ila usiwe na wasiwasi ,chuo hiki ni miongoni mwa vyuo ambavyo havina 'memo' ni competence na experience yako itakayokusaidia ,nyc time
 
Bwana ngoswe ,nimeona si vibaya nkakusaidia maana naona JF watu wanachangia tu kama FB na haswa pale ambapo mtu kama ww unapokuwa unaulizia suala la msingi la maisha yako,kama mfanyakazi pale NM-AIST-ARUSHA napenda nkueleze tu kuwa hayo majina ndo yapo kwenye hatua za mwisho za "screening" maana chuo huwa kinafanya kitu kinachoitwa "circularizations and vetting" yani confirmations kwa third parties kule ulikosema umesoma na umefanya kazi na mengineyo,ni zoezi gumu maana sa nyingine people are reluctant to show a positive confirmations ila usiwe na wasiwasi ,chuo hiki ni miongoni mwa vyuo ambavyo havina 'memo' ni competence na experience yako itakayokusaidia ,nyc time

Mkuu asante sana kwa maelezo yako. Kiukweli nimefarijika sana na maelezo yako. naona yanipasa niwe na subira ili hatimaye nione nini kitajiri huko. By the way nipo tayari kupokea matokeo ya aina yeyote but still I have a confidence with regards to my application kama kutakuwa hakuna 'memo style' as you said mkuu. Once again, asante sana kiongozi kwa maelezo mazuri.
 
kind regards
bwana Ngoswe ukibahatika kuwa short listed nadhani tuwasiliane
Karibu NM-AIST-ARUSHA
 
Bwana ngoswe ,nimeona si vibaya nkakusaidia maana naona JF watu wanachangia tu kama FB na haswa pale ambapo mtu kama ww unapokuwa unaulizia suala la msingi la maisha yako,kama mfanyakazi pale NM-AIST-ARUSHA napenda nkueleze tu kuwa hayo majina ndo yapo kwenye hatua za mwisho za "screening" maana chuo huwa kinafanya kitu kinachoitwa "circularizations and vetting" yani confirmations kwa third parties kule ulikosema umesoma na umefanya kazi na mengineyo,ni zoezi gumu maana sa nyingine people are reluctant to show a positive confirmations ila usiwe na wasiwasi ,chuo hiki ni miongoni mwa vyuo ambavyo havina 'memo' ni competence na experience yako itakayokusaidia ,nyc time

nakubaliana nawe mkuu, unajua watu wako desperate sana na wengi wetu hatujui ilivyo vigumu kufanya screening. Imagine umetangaza nafasi saba, kwa job hunt ya sasa hivi ninahakika lazima utapata application zaidi ya pengine hata elfu nne zisizo na vimemo na si ajabu ukaletea zenye vimemo nyingi tu. kushortlist ni shughuli pevu.
 
Bwana ngoswe ,nimeona si vibaya nkakusaidia maana naona JF watu wanachangia tu kama FB na haswa pale ambapo mtu kama ww unapokuwa unaulizia suala la msingi la maisha yako,kama mfanyakazi pale NM-AIST-ARUSHA napenda nkueleze tu kuwa hayo majina ndo yapo kwenye hatua za mwisho za "screening" maana chuo huwa kinafanya kitu kinachoitwa "circularizations and vetting" yani confirmations kwa third parties kule ulikosema umesoma na umefanya kazi na mengineyo,ni zoezi gumu maana sa nyingine people are reluctant to show a positive confirmations ila usiwe na wasiwasi ,chuo hiki ni miongoni mwa vyuo ambavyo havina 'memo' ni competence na experience yako itakayokusaidia ,nyc time
Tunahitaji majibu kama haya, mtu ukiwa huna detail tafadhali kula bati kuliko kutoa majibu ta kukatishana tamaaa,
hongera sana mr/mrs/miss hirorobert, big up, mchakato ukikamilika sio mbaya ukatujuza tukajua if it is black or white.
 
Bwana ngoswe ,nimeona si vibaya nkakusaidia maana naona JF watu wanachangia tu kama FB na haswa pale ambapo mtu kama ww unapokuwa unaulizia suala la msingi la maisha yako,kama mfanyakazi pale NM-AIST-ARUSHA napenda nkueleze tu kuwa hayo majina ndo yapo kwenye hatua za mwisho za "screening" maana chuo huwa kinafanya kitu kinachoitwa "circularizations and vetting" yani confirmations kwa third parties kule ulikosema umesoma na umefanya kazi na mengineyo,ni zoezi gumu maana sa nyingine people are reluctant to show a positive confirmations ila usiwe na wasiwasi ,chuo hiki ni miongoni mwa vyuo ambavyo havina 'memo' ni competence na experience yako itakayokusaidia ,nyc time

Mkuu tunakushukuru kwa good news! kwa kuwa upo huko jikoni, usisahau kutufahamisha tena nini kimejiri huko! wahanga wa ajira tupo wengi, bado tunachapa lapa huku mtaani.
 
Back
Top Bottom