NGOSWE.120
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 219
- 233
Wakuu wana Jf,
Am so sorry kwa hili niulizalo kama utakwazika but plse naomba kufahamishwa ili niweze kujua kuwa hiki chuo tayari wameshatoa majina ya watu (shortlisted ) au bado?
Ikumbukwe kuwa walitangaza nafasi nyingi za kazi na deadline yao ilikuwa tarehe ni 31 Dec, 2011. Hadi sasa ni mwezi mzima umepita lakini naona kimya..... so am a bit afraid with uchakachuaji katika kutoa hizo ajira kama ilivyo desturi ya taasisi nyingi za kielimu Mfano: UDSM, UDOM, MZUMBE, ..........! n.k
Kwa mtu anayejua nini kinachoendelea basi naomba anisaidie ili nijue hilo, even by pm it is ok!
Natanguliza shukrani.
Am so sorry kwa hili niulizalo kama utakwazika but plse naomba kufahamishwa ili niweze kujua kuwa hiki chuo tayari wameshatoa majina ya watu (shortlisted ) au bado?
Ikumbukwe kuwa walitangaza nafasi nyingi za kazi na deadline yao ilikuwa tarehe ni 31 Dec, 2011. Hadi sasa ni mwezi mzima umepita lakini naona kimya..... so am a bit afraid with uchakachuaji katika kutoa hizo ajira kama ilivyo desturi ya taasisi nyingi za kielimu Mfano: UDSM, UDOM, MZUMBE, ..........! n.k
Kwa mtu anayejua nini kinachoendelea basi naomba anisaidie ili nijue hilo, even by pm it is ok!
Natanguliza shukrani.