PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
- Thread starter
- #21
Bado niko kwa hali ya mshtuko kuhusu kifo cha kijana huyu,nilikuwa nimetoka likizo wiki ya kwanza ya January nilipoingia pale kwenye estate ambapo pia mimi ninaishi marehemu na dada huyu tukakutana wakitoka wakaniileza walikuwa wamerudi usiku sana ndivyo sikupata nyumbani nilipo wasili -huyu dada sasa ni jirani yangu.Nilipoenda kusalimu majirani wengine wakanieleza kwamba dada huyu anafanya harusi nikawambia kweli amekaa sana na yule kijana wakanieleza kwamba siyo yeye anamwoa.
Nikastuka sana manake hata fununu ya mtu mwingine sikujua.Huyu kijana akawa analewa sana,amewacha kazi halafu gafla akawa mgonjwa haya yote baada ya kupata habari eti mpenzi wake wa miaka saba anaolewa April.tulikuwa tunafanya kazi na dada yake marehemu so ni watu ninawajua mpaka familia yao.Sasa akalazwa siku mbili tatu maskini akafariki.Kusema kweli ninamulaumu dada huyu kwa kifo cha huyu bwana kwa kumhaada na kumtumia huyu kijana ilhali alijua anamwenza.Bado roho yangu ni nzito sasa tena nimealikwa harusi kabla hata sija process haya ya kifo cha huyu kijana.
Nikastuka sana manake hata fununu ya mtu mwingine sikujua.Huyu kijana akawa analewa sana,amewacha kazi halafu gafla akawa mgonjwa haya yote baada ya kupata habari eti mpenzi wake wa miaka saba anaolewa April.tulikuwa tunafanya kazi na dada yake marehemu so ni watu ninawajua mpaka familia yao.Sasa akalazwa siku mbili tatu maskini akafariki.Kusema kweli ninamulaumu dada huyu kwa kifo cha huyu bwana kwa kumhaada na kumtumia huyu kijana ilhali alijua anamwenza.Bado roho yangu ni nzito sasa tena nimealikwa harusi kabla hata sija process haya ya kifo cha huyu kijana.