Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Uteuzi huwa ni kwa watu wafuatao
1. Watu wazito
2. Watoto wa watu wazito
3. Watu wenye "connection" na watu wazito
4. Watu waliopo kwenye zamu ya kulamba asali na watu wazito
5. Wenye uchawa na watu wazito

Kiufupi watu wazito= uteuzi

Wengine tusubirie uteuzi wa Mbinguni.

Nawasilisha.
Watu kama ninyi mnachangia sana hizi statusquo ziendelee...Mungu amekuumba wewe sawa na hao unaowaita wazito, you start failing the moment you see wengine ni wazito na wewe ni mwepesi...

I have, am will continue to chanhe things for the benefits of all...Si amini katika binadamu kuamua hatima yangu, isipokuwa Mungu.
 
Ni kweli, mawaziri waliopo wame badilishiwa vitengo mara kwa mara bila sababu yoyote kutolewa. Sambamba na hayo sitegemei serikali kuanza kutoa sababu za kuteua watumishi wa umma ila huu ni muda muafaka kutazama kama uteuzi unaofanywa unaendana na "skill sets" za wahusika. Kwa mfano, kama umeteuliwa kuwa waziri wa afya ni muhimu uwe na uzoefu na ufahamu wa kutosha unaojitokeza baada ya kufanya shughuli mbalimbali kwenye sekta hiyo kwa muda mrefu. Uzoefu huu na ufahamu huu ni muhimu sana kwa kiongozi yeyote anaye tegemewa kushika wadhifa huo. Sio sahihi kwa mawaziri kuchukuliwa kama wanasiasa wanaoweza kuongoza wizara yoyote kwa wakati wowote bila kuwa na uzoefu wa kutosha na muda wa kutosha kutekeleza dira yao katika sekta husika. Tunatakiwa tuanze kufikiria kuwa na mawaziri ambao wapo kama CEOs. Wanaoweza kuendesha wizara wakiwa na mipango na muda wa kutosha kubadilisha sekta zao au kubuni mambo mbalimbali yanayoweza kuleta matokeo chanya.
Kabla ya kwenda huko kwenye uzoefu, tuone uzoefu huo unapatikanaje kama si watu kuchomekwa chomekwa ili kutengenezewa CVs. Kuna watu wakifungua tu midomo kuongea unagundua hekima yao, incompetence ndiyo inayoanza kuji display kinyume na hadhi za majina ya nafasi walizonazo.

Wapendwa haidanganyi, bila competence no solutions to existing problems, sanasana tusipoangalia ipo siku tutachapana ili kuondoa hii statusquo...changes are there to stay ni kanuni ya nature, ila yasipokuwa programmed huja kama mafuriko na kuharibu badala ya kujenga
 
Uteuzi huwa ni kwa watu wafuatao
1. Watu wazito
2. Watoto wa watu wazito
3. Watu wenye "connection" na watu wazito
4. Watu waliopo kwenye zamu ya kulamba asali na watu wazito
5. Wenye uchawa na watu wazito

Kiufupi watu wazito= uteuzi

Wengine tusubirie uteuzi wa Mbinguni.

Nawasilisha.
Kuteua mtu kwenye senior positions tena kutoka nje ya Serikali bila kufuata seniority naona kuna shida hapa,wengi wao wameshindwa kuongoza taasisi kilichobaki ni kuwa machawa ili kuficha mapungufu yao.
Nashauri Serikali ifuate utaratibu iliyouweka yenyewe sio mambo ya kujuana.
 
Kuteua mtu kwenye senior positions tena kutoka nje ya Serikali bila kufuata seniority naona kuna shida hapa,wengi wao wameshindwa kuongoza taasisi kilichobaki ni kuwa machawa ili kuficha mapungufu yao.
Nashauri Serikali ifuate utaratibu iliyouweka yenyewe sio mambo ya kujuana.
Exactly...Tume set precedence mbaya sana...Na ukiangalia hii imesababisha hao wateuzi kuchagua weak beings ili wafiche incompetence zao...The cost goes to the entire society, mbaya zaidi mambo hayo yameenda mpaka kwenye universities kitu ambacho kitaua hata innovation na mentorship ambayo ndiyo key kwenye carrier growth hasa hasa za militia na academics...

Cry my country, kila mtu kageuka kuwa chawa wa yule anayedhani anamanufaa zaidi kwake na familia yake...Hakuna tena kujali maendeleo ya nchi na watu
 
Exactly...Tume set precedence mbaya sana...Na ukiangalia hii imesababisha hao wateuzi kuchagua weak beings ili wafiche incompetence zao...The cost goes to the entire society, mbaya zaidi mambo hayo yameenda mpaka kwenye universities kitu ambacho kitaua hata innovation na mentorship ambayo ndiyo key kwenye carrier growth hasa hasa za militia na academics...

Cry my country, kila mtu kageuka kuwa chawa wa yule anayedhani anamanufaa zaidi kwake na familia yake...Hakuna tena kujali maendeleo ya nchi na watu
Nadhani taasisi zimshauri mama inavyotakiwa waache mifumo ifanye kaI sio mtu kuifanyisha kazi mifumo
 
Security of tenure kwa mawaziri ambao wata fail ni kosa
Imagine Dorothy angekuwa nayo wizara ya afya
Pascal Mayalla
Kwa sasa mawaziri ni wanasiasa na sio profesionals, hiyo Security of tenure ni kwa top brains, watu waombe kazi, washindanishwe, ulioana jinsi CJ wa Kenya alivyopatikana?.
P
 
Wanabodi,
Kwa maslahi ya Taifa,
should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?.
Should we adopt the American System of Goverment Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?.

Tangu kutumbuliwa kwa Top Diplomat No. 1 kwa Tanzania, Waziri wa Nje, Balozi Liberata Mulamula, bila kutolewa sababu zozote, huku kwenye mitandao ya kijamii kumelipuka kila mtu akisema lake na watu kuzua sababu mara ni Mama kupandishwa "School Bus London", mara "She is American Subject", mara "ni wivu wa kike kwani Balozi apige picha na naniliu, alipaswa pale awe mama, hivyo mama amemind", mara... mara, mara alumuradi kila mtu anasema lwakwe!,

Tanzani tumepata uhuru toka kwa Waingereza, hivyo tukaiga mfumo wa serikali wa Uingereza ambapo mawaziri ni wabunge. Katiba yetu pia ikampa rais mamlaka ya kuteua wasaidizi wake atakavyo bila kutoa sababu na huwatumbua atakavyo bila kuwajibika kutoa sababu, yaani hiring and firing as she pleases kwasababu the appointment imefanywa with the president's pleasure hivyo kutumbua as she pleases na hatuna haki kuuliza sababu!, huku ni kumuingilia rais!. Hakuna rais aliyeteua na kutumbua kama JPM, na sikumbuki kuona watu wakidemand kuambiwa sababu kama sasa.

Kwenye uteuzi na utumbuzi wa majipu, enzi za JPM, mimi nilipandisha hoja hoja zaidi ya 100!, nakuwekea baadhi kwa wenye muda

  1. Jee sasa should we demand more right to Information and more transparency kwenye teuzi za key posts?. Sasa hivi tunaishi kwenye the world of information power, jee sasa tuhitaji rais akiteua, atoe sababu za kumteua fulani kwenye key posts, na siku akimtumbua, pia atoe sababu kwanini amemtumbua?, au tuendelee na utaratibu wetu, wa rais kujiteulia yoyote bila kutoa sababu kwa yeyote na siku akitumbua, ni kujitumbulia tuu bila kuwajibika kutoa sababu yoyote kwa yeyote hata kama mtumbuliwa hana kosa lolote?. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!, hivyo hata huu utumbuaji tusihoji?.
  2. Jee tumefika wakati teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?. Kama posts za majaji, Gavana wa BOT, GAG, zina kipengele cha security of tenure, rais anaweza kuwateua tuu lakini hawezi kutengua, ili wafanye kazi kwa uhuru, yaani indepent, na sio kuteuliwa kwa hisani, hivyo kuwajibika kwa hisani ya kutegemea huruma ya mteuzi hivyo kufanya kazi kwa nidhamu ya woga ?
  3. Should we adopt the American System of Government Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?. Watanzania wenye sifa waombe, wachujwe, wateuliwe, waidhinishwe na Bunge na kutimiza majukumu yao independently bila kutegemea hisani au huruma ya mtu yoyote?.
  4. Kwa hali ilivyo sasa hizi teuzi za at presidents pleasure, siku rais ameamka vizuri, akifurahi, mtu unalamba teuzi, siku akiamka vibaya, unatumbuliwa!. Do we still need this?.
Paskali
Sijasoma contents. Lakini heading inatosha kusema you are right.


Kuna watz wengi wenye ujuzi kuzidi hata hao wabunge.
 
Wanabodi,
Kwa maslahi ya Taifa,
should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?.
Should we adopt the American System of Goverment Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?.

Tangu kutumbuliwa kwa Top Diplomat No. 1 kwa Tanzania, Waziri wa Nje, Balozi Liberata Mulamula, bila kutolewa sababu zozote
Leo DGIS nae pia ametumbuliwa kimya kimya bila maelezo yoyote!.
Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.

Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula

I said.

=====

Rais Samia ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya kuwa katibu Mkuu Ikulu

Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu.


View attachment 2469861
Kiukweli kumtoa mtu kwenye position ya DGIS na kumwacha popote nchini is a mistake!. Position stahiki kwa DGIS mtumbuliwa ni kumpeleka ubalozini. Rais nae ni binadamu na sio malaika, hivyo anaruhusiwa kufanya human mistakes. Hili nililizungumza hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Kuhusu hizi appointments nyeti na very strategic tusimwachie mtu mmoja tuu, she is human hivyo sometimes human mistakes caused by human weaknesses zinaweza kutokea ukajikuta unamtumbua mtu mzuri kwa issues ndogo tuu zikingine za ... Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
 
Leo DGIS nae pia ametumbuliwa kimya kimya bila maelezo yoyote!.

Kiukweli kumtoa mtu kwenye position ya DGIS na kumwacha popote nchini is a mistake!. Position stahiki kwa DGIS mtumbuliwa ni kumpeleka ubalozini. Rais nae ni binadamu na sio malaika, hivyo anaruhusiwa kufanya human mistakes. Hili nililizungumza hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Kuhusu hizi appointments nyeti na very strategic tusimwachie mtu mmoja tuu, she is human hivyo sometimes human mistakes caused by human weaknesses zinaweza kutokea ukajikuta unamtumbua mtu mzuri kwa issues ndogo tuu zikingine za ... Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
Akimpeleka ubalozini atashindwa KU mmonitor vizuri!!

JAPO kwa sura makini kama ile!ILI deserve More,sio kuwa monitored in corridors!

Mungu IBARIKI NCHI yetu TANZANIA tuipendayo!
 
Leo DGIS nae pia ametumbuliwa kimya kimya bila maelezo yoyote!.

Kiukweli kumtoa mtu kwenye position ya DGIS na kumwacha popote nchini is a mistake!. Position stahiki kwa DGIS mtumbuliwa ni kumpeleka ubalozini. Rais nae ni binadamu na sio malaika, hivyo anaruhusiwa kufanya human mistakes. Hili nililizungumza hapa Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Kuhusu hizi appointments nyeti na very strategic tusimwachie mtu mmoja tuu, she is human hivyo sometimes human mistakes caused by human weaknesses zinaweza kutokea ukajikuta unamtumbua mtu mzuri kwa issues ndogo tuu zikingine za ... Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
Washauri wanaomzunguka ndo tatz, maamuzi makubwa kiasi hicho hafanyi bila kushauriwa.

Kama ni wengi wapunguzwe.
 
Teuzi nyingi zinafanywa kwa kujuana na mapendekezo ya Chawa wa mama.Huyu ni Mwenzetu au wazazi wake walikuwa wanachama na viongozi wa mwanzo wa Tanganyika huru au baraza la Mapinduzi Zanzibar.Kwa hiyo hata wakiharibu,wanakingiwa kifua,na wazee wao
 
Wanabodi,
Kwa maslahi ya Taifa,
should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?.
Should we adopt the American System of Goverment Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?.

Tangu kutumbuliwa kwa Top Diplomat No. 1 kwa Tanzania, Waziri wa Nje, Balozi Liberata Mulamula, bila kutolewa sababu zozote, huku kwenye mitandao ya kijamii kumelipuka kila mtu akisema lake na watu kuzua sababu mara ni Mama kupandishwa "School Bus London", mara "She is American Subject", mara "ni wivu wa kike kwani Balozi apige picha na naniliu, alipaswa pale awe mama, hivyo mama amemind", mara... mara, mara alumuradi kila mtu anasema lwakwe!,

Tanzani tumepata uhuru toka kwa Waingereza, hivyo tukaiga mfumo wa serikali wa Uingereza ambapo mawaziri ni wabunge. Katiba yetu pia ikampa rais mamlaka ya kuteua wasaidizi wake atakavyo bila kutoa sababu na huwatumbua atakavyo bila kuwajibika kutoa sababu, yaani hiring and firing as she pleases kwasababu the appointment imefanywa with the president's pleasure hivyo kutumbua as she pleases na hatuna haki kuuliza sababu!, huku ni kumuingilia rais!. Hakuna rais aliyeteua na kutumbua kama JPM, na sikumbuki kuona watu wakidemand kuambiwa sababu kama sasa.

Kwenye uteuzi na utumbuzi wa majipu, enzi za JPM, mimi nilipandisha hoja hoja zaidi ya 100!, nakuwekea baadhi kwa wenye muda
  1. Jee sasa should we demand more right to Information and more transparency kwenye teuzi za key posts?. Sasa hivi tunaishi kwenye the world of information power, jee sasa tuhitaji rais akiteua, atoe sababu za kumteua fulani kwenye key posts, na siku akimtumbua, pia atoe sababu kwanini amemtumbua?, au tuendelee na utaratibu wetu, wa rais kujiteulia yoyote bila kutoa sababu kwa yeyote na siku akitumbua, ni kujitumbulia tuu bila kuwajibika kutoa sababu yoyote kwa yeyote hata kama mtumbuliwa hana kosa lolote?. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!, hivyo hata huu utumbuaji tusihoji?.
  2. Jee tumefika wakati teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?. Kama posts za majaji, Gavana wa BOT, GAG, zina kipengele cha security of tenure, rais anaweza kuwateua tuu lakini hawezi kutengua, ili wafanye kazi kwa uhuru, yaani indepent, na sio kuteuliwa kwa hisani, hivyo kuwajibika kwa hisani ya kutegemea huruma ya mteuzi hivyo kufanya kazi kwa nidhamu ya woga ?
  3. Should we adopt the American System of Government Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?. Watanzania wenye sifa waombe, wachujwe, wateuliwe, waidhinishwe na Bunge na kutimiza majukumu yao independently bila kutegemea hisani au huruma ya mtu yoyote?.
  4. Kwa hali ilivyo sasa hizi teuzi za at presidents pleasure, siku rais ameamka vizuri, akifurahi, mtu unalamba teuzi, siku akiamka vibaya, unatumbuliwa!. Do we still need this?.
Paskali
Mimi nadhani awe anatoa pia na sababu ya kuwatengua hao wateule wake, ili na sisi wananchi tuwe upande wake katika hayo maamuzi yake.
Naunga mkono hoja, kiukweli katiba yetu, sheria zetu, taratibu zetu na kanuni zetu, zinamapungufu makubwa!.

Kwenye presidential appointments powers, rais anaweza kumteua mtu yoyote kwenye nafasi yoyote, bila kutoa sababu yoyote ya appointment hiyo kwa yeyote, na pia anaweza kutengua uteuzi wowote kwa yeyote bila kutakiwa kutoa sababu zozote!.

Mtu akiishateuliwa na rais kwenye public office, huyu sasa ni mtumishi wa watu, japo ni msaidizi wa rais, lakini sio mtumishi wa rais!. Watumishi wa rais ni wale wanaomtumikia yeye ofisini kwake, nyumbani kwake na dereva wake, kama hawapendi anawaondoa tuu bila kutoa sababu yoyote.

Lakini kwa public servants waotumikia public, wakitenguliwa, the public has the right to information kwanini wametenguliwa!.

Baada ya kumtengua Balozi Mulamula, kukatokea vineno... hivyo nikashauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Kwa jinsi ninavyomfahamu huyu jamaa Sijui kafanya nini kustahili kutimuliwa!, ila kwa maoni yangu, huyu jamaa ni mmoja ya majitu very bold pale Wizarani, ambao serikali yetu imebahatika kuwa nao, hili jamaa limesimama wima kusimamia ukweli no matter what!, na kiukweli tulifanikiwa sana kudhibiti makuwadi wa mafuta na kuzuia ma cartels!. Wakati wa upungufu wa mafuta ya petrol, nilifanya nae mahojiano marefu
View: https://youtu.be/s-ZYP33jjww?si=FQJucdhOK-p1gxPh . Kiukweli the guy is smart!, sijui kumetokea nini?!, ila ukiwa mkweli mno, katika corrupt system, sometimes unaonekana kikwazo!. Issues kama hizi ndizo za sisi waandishi makini kuzifanyia IJ.

Tanzania tunajikuta tunapoteza watu wazuri, wachapakazi, waadilifu kwa majungu tuu na fitna ndio maana tunasisitiza, kwenye kuteua, kwasababu kuna sifa na vigezo, sio lazima tuambiwe sababu za fulani kuteuliwa, hata akiwa ni mkwe wa rais, ndugu, jamaa au marafiki, ni sawa tuu alimradi anakidhi vigezo, lakini kwenye kutumbua, lazima tuwe tunaelezwa sababu not necessarily in details.

Japo kuna kitu kinaitwa the right to privacy, but when it comes to public offices and public offices there is no right to privacy besides yale ya nyumbani!, whoever paid by taxpayers money, the taxpayers have the right to information public and private conduct of their leaders because it's there money!.
P
 
Wanabodi,
Kwa maslahi ya Taifa,
should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?.
Should we adopt the American System of Goverment Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?.

Tangu kutumbuliwa kwa Top Diplomat No. 1 kwa Tanzania, Waziri wa Nje, Balozi Liberata Mulamula, bila kutolewa sababu zozote, huku kwenye mitandao ya kijamii kumelipuka kila mtu akisema lake na watu kuzua sababu mara ni Mama kupandishwa "School Bus London", mara "She is American Subject", mara "ni wivu wa kike kwani Balozi apige picha na naniliu, alipaswa pale awe mama, hivyo mama amemind", mara... mara, mara alumuradi kila mtu anasema lwakwe!,

Tanzani tumepata uhuru toka kwa Waingereza, hivyo tukaiga mfumo wa serikali wa Uingereza ambapo mawaziri ni wabunge. Katiba yetu pia ikampa rais mamlaka ya kuteua wasaidizi wake atakavyo bila kutoa sababu na huwatumbua atakavyo bila kuwajibika kutoa sababu, yaani hiring and firing as she pleases kwasababu the appointment imefanywa with the president's pleasure hivyo kutumbua as she pleases na hatuna haki kuuliza sababu!, huku ni kumuingilia rais!. Hakuna rais aliyeteua na kutumbua kama JPM, na sikumbuki kuona watu wakidemand kuambiwa sababu kama sasa.

Kwenye uteuzi na utumbuzi wa majipu, enzi za JPM, mimi nilipandisha hoja hoja zaidi ya 100!, nakuwekea baadhi kwa wenye muda

  1. Jee sasa should we demand more right to Information and more transparency kwenye teuzi za key posts?. Sasa hivi tunaishi kwenye the world of information power, jee sasa tuhitaji rais akiteua, atoe sababu za kumteua fulani kwenye key posts, na siku akimtumbua, pia atoe sababu kwanini amemtumbua?, au tuendelee na utaratibu wetu, wa rais kujiteulia yoyote bila kutoa sababu kwa yeyote na siku akitumbua, ni kujitumbulia tuu bila kuwajibika kutoa sababu yoyote kwa yeyote hata kama mtumbuliwa hana kosa lolote?. Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!, hivyo hata huu utumbuaji tusihoji?.
  2. Jee tumefika wakati teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?. Kama posts za majaji, Gavana wa BOT, GAG, zina kipengele cha security of tenure, rais anaweza kuwateua tuu lakini hawezi kutengua, ili wafanye kazi kwa uhuru, yaani indepent, na sio kuteuliwa kwa hisani, hivyo kuwajibika kwa hisani ya kutegemea huruma ya mteuzi hivyo kufanya kazi kwa nidhamu ya woga ?
  3. Should we adopt the American System of Government Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?. Watanzania wenye sifa waombe, wachujwe, wateuliwe, waidhinishwe na Bunge na kutimiza majukumu yao independently bila kutegemea hisani au huruma ya mtu yoyote?.
  4. Kwa hali ilivyo sasa hizi teuzi za at presidents pleasure, siku rais ameamka vizuri, akifurahi, mtu unalamba teuzi, siku akiamka vibaya, unatumbuliwa!. Do we still need this?.
Paskali
Wazo la transparency ni zuri ila hakuna muimili uko huru.
 
Ili ni Jambo ambalo nimelifikiria Sana miezi ya ivi karibuni ,

Waziri alipaswa achaguliwe kiuwezo Zaid yaan awe amefanikiwa kila Kona kielimu,kiuchumi,na awe ameshakuwa kiongozi katika taasisi flani na zikafanikiwa,

Mfumo huo huo utumike kwa wakuu wa mikoa,wilaya na secta mbali mbali

Mbona private mkurugenzi lazima uwe reputation nzur na lazma ulete matokeo ukishindwa anatafutwa mwingine atakaye kuwa na matokeo kuliko wewe
 
Tanzania tunajikuta tunapoteza watu wazuri, wachapakazi, waadilifu kwa majungu tuu na fitna
1000% tena ndio™ yetu ya hivi karibuni.
Lakini kwa public servants waotumikia public, wakitenguliwa, the public has the right to information kwanini wametenguliwa!.
...wapo wajinga na mafirauni waliodai na wanaendelea kudai kuwa, kutenguliwa kwa public servant ni ukatili wa hali ya juu-hata kama waliokumbwa ni mafisadi, masaliti n.k n.k haswa kama tunambiwa sababu za kutenguliwa ni e.g Ulevi kazini, uhaini na kutoheshimu madaraka and so on. Na kwa hayo pamoja na mengine mengi, ndio naona tulivyojaliwa na majungu.

Anyways sitaenda mbali, right to information or not, nadhani kwa huu utamaduni tunaoigiza kutoka huko majuu, tunachangnyikiwa kiasi kwamba hatujui hata na la kufanyia information hiyo ikitolewa.

R.I.P Magufuli Mtumbuaji wa Haki....Leo nimekukumbuka.
 
Naunga mkono hoja, kiukweli katiba yetu, sheria zetu, taratibu zetu na kanuni zetu, zinamapungufu makubwa!.

Kwenye presidential appointments powers, rais anaweza kumteua mtu yoyote kwenye nafasi yoyote, bila kutoa sababu yoyote ya appointment hiyo kwa yeyote, na pia anaweza kutengua uteuzi wowote kwa yeyote bila kutakiwa kutoa sababu zozote!.

Mtu akiishateuliwa na rais kwenye public office, huyu sasa ni mtumishi wa watu, japo ni msaidizi wa rais, lakini sio mtumishi wa rais!. Watumishi wa rais ni wale wanaomtumikia yeye ofisini kwake, nyumbani kwake na dereva wake, kama hawapendi anawaondoa tuu bila kutoa sababu yoyote.

Lakini kwa public servants waotumikia public, wakitenguliwa, the public has the right to information kwanini wametenguliwa!.

Baada ya kumtengua Balozi Mulamula, kukatokea vineno... hivyo nikashauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Kwa jinsi ninavyomfahamu huyu jamaa Sijui kafanya nini kustahili kutimuliwa!, ila kwa maoni yangu, huyu jamaa ni mmoja ya majitu very bold pale Wizarani, ambao serikali yetu imebahatika kuwa nao, hili jamaa limesimama wima kusimamia ukweli no matter what!, na kiukweli tulifanikiwa sana kudhibiti makuwadi wa mafuta na kuzuia ma cartels!. Wakati wa upungufu wa mafuta ya petrol, nilifanya nae mahojiano marefu
View: https://youtu.be/s-ZYP33jjww?si=FQJucdhOK-p1gxPh . Kiukweli the guy is smart!, sijui kumetokea nini?!, ila ukiwa mkweli mno, katika corrupt system, sometimes unaonekana kikwazo!. Issues kama hizi ndizo za sisi waandishi makini kuzifanyia IJ.

Tanzania tunajikuta tunapoteza watu wazuri, wachapakazi, waadilifu kwa majungu tuu na fitna ndio maana tunasisitiza, kwenye kuteua, kwasababu kuna sifa na vigezo, sio lazima tuambiwe sababu za fulani kuteuliwa, hata akiwa ni mkwe wa rais, ndugu, jamaa au marafiki, ni sawa tuu alimradi anakidhi vigezo, lakini kwenye kutumbua, lazima tuwe tunaelezwa sababu not necessarily in details.

Japo kuna kitu kinaitwa the right to privacy, but when it comes to public offices and public offices there is no right to privacy besides yale ya nyumbani!, whoever paid by taxpayers money, the taxpayers have the right to information public and private conduct of their leaders because it's there money!.
P

Majungu na fitina ndani ya CCM ni kama Uji na Mgonjwa !!
Na Taifa limekubali kuimba hiyo Chorus inayotoka Chamani !!
Fitina majungu na kashfa za kuchongwa ndio habari ya mjini !
Baadhi ya watu wanapata Kula yao kwa kazi hiyo !!
Na kuhusu Katiba wala haihitaji kuzunguka sana kuelezea mapungufu yake kwa maana hata Mwalimu Nyerere ambaye aliisimamia hii Katiba kuandikwa kama ilivyo , baadaye aliiogopa na akatuonya kwamba itatuletea shida kubwa na moja ya shida hizo ni Udikiteta !!
 
Back
Top Bottom