Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 32,406 Reaction score 55,148 Feb 18, 2025 #21 Huyu jamaa ni kweli serikali iliogopa jamhuri watafanya yao na kuleta hasara kubwa kama angefungwa? Halafu kafa mwaka jana.
Huyu jamaa ni kweli serikali iliogopa jamhuri watafanya yao na kuleta hasara kubwa kama angefungwa? Halafu kafa mwaka jana.
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Feb 18, 2025 #22 Sawa sawa
Robot la Matope JF-Expert Member Joined Apr 10, 2015 Posts 8,174 Reaction score 16,794 Feb 18, 2025 #23 Ushimen said: Naona huu uzi hautuhusu sie tulio zowea sinema za kuweka kitambaa cheupe mbele kabisa miakaile...[emoji849] Lakini naunga mkono hoja mkuu..[emoji4] Click to expand... Nimeona Instagram kwenu Ushirombo kuna kitambaa cheupe tawi la Tabata???
Ushimen said: Naona huu uzi hautuhusu sie tulio zowea sinema za kuweka kitambaa cheupe mbele kabisa miakaile...[emoji849] Lakini naunga mkono hoja mkuu..[emoji4] Click to expand... Nimeona Instagram kwenu Ushirombo kuna kitambaa cheupe tawi la Tabata???
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Feb 18, 2025 #24 Robot la Matope said: Nimeona Instagram kwenu Ushirombo kuna kitambaa cheupe tawi la Tabata??? Click to expand... Leo nimekula mishkaki ya nundu pale Tabora Hotel, vijana wa vidonge na sindano wanaita Orion hotel..😊
Robot la Matope said: Nimeona Instagram kwenu Ushirombo kuna kitambaa cheupe tawi la Tabata??? Click to expand... Leo nimekula mishkaki ya nundu pale Tabora Hotel, vijana wa vidonge na sindano wanaita Orion hotel..😊