Show room gan naweza kupata gari kama raum kwa bei isiyozid 10m

Show room gan naweza kupata gari kama raum kwa bei isiyozid 10m

Bana ayman

New Member
Joined
Mar 6, 2019
Posts
2
Reaction score
0
Nahitaj kununua gari Aina ya raum , nilikua naomba ushauri wenu kwamba showroom gan inauza magari kwa bei nzuri na hawashushi km
 
Nahitaji kununua gari aina ya Raum. Naomba ushauri wenu kwamba showroom gani inauza magari kwa bei nzuri na hawashushi kilomita?
 
KARIBU NIKUAGIZIE GARI HII AINA YA RAUM - NCZ SERIES
Bana ayman

YOM 2003
CC1490
COLOR RED
KM 90,000

BEI NI MILIONI 9.9 UNALIPA KWA AWAMU MBILI
AWAMU YA KWANZA UTALIPA 4,950,000 NA AWAMU YA PILI UTALIPA PIA 4,950,000
BEI HIO NI PAMOJA NA UKAGUZI JAPAN, KUTOLEA GARI BANDARINI, USHURU NA KODI, AGENT FEE PAMOJA NA USAJILI NA KIBAO CHA NAMBA

UKIWA TAYARI TUWASILIANE INBOX.

NA KWA YEYOTE MWENYE KUHITAJI GARI JAPAN NA KWINGINEKO NAMKARIBISHA NINA MASOKO ZAIDI YA 30 JAPAN

KARIBU SANA
Raum.jpg

RAUM 3.jpg

Raum.jpg

RAUM5.jpg

RAUM 4.jpg
 
Na hivi Dola ilivyochafua Nchi bado unaota kupata Raum toka Yard kwa 10 M

Naona una beep Matapeli Na karibuni watakuvamia inbox Kama bado maana unaonekana Mgeni Sana Kwenye Tasnia ya kuteleza na Makalio
 
KARIBU NIKUAGIZIE GARI HII AINA YA RAUM - NCZ SERIES
Bana ayman

YOM 2003
CC1490
COLOR RED
KM 90,000

BEI NI MILIONI 9.9 UNALIPA KWA AWAMU MBILI
AWAMU YA KWANZA UTALIPA 4,950,000 NA AWAMU YA PILI UTALIPA PIA 4,950,000
BEI HIO NI PAMOJA NA UKAGUZI JAPAN, KUTOLEA GARI BANDARINI, USHURU NA KODI, AGENT FEE PAMOJA NA USAJILI NA KIBAO CHA NAMBA

UKIWA TAYARI TUWASILIANE INBOX.

NA KWA YEYOTE MWENYE KUHITAJI GARI JAPAN NA KWINGINEKO NAMKARIBISHA NINA MASOKO ZAIDI YA 30 JAPAN

KARIBU SANA
View attachment 1039259
View attachment 1039263
View attachment 1039265
View attachment 1039266
View attachment 1039267
Mkuu Toyota WiLL zinapatikana? Bei yake iko vipi hadi Dar naona kwa mwanamke kinamfaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Toyota WiLL zinapatikana? Bei yake iko vipi hadi Dar naona kwa mwanamke kinamfaa

Sent using Jamii Forums mobile app
MAKE: TOYOTA
MODEL: WILL
YOM: 2002
COLOR: WHITE
CC:1490
KM:121,000

BEI NI MILIONI 9.3
UNALIPA KWA AWAMU MBILI
YA KWANZA UTALIPA MIL 4,650,000 NA AWAMU YA PILI UTALIPA MIL 4,650,000

BEI INAJUMUISHA
1:Usafiri kutoka Japan Mpaka Tanzania
2:Ukaguzi wa Gari Japan
3:Ushuru na Kodi
4:Gharama za Kutolea Gari Bandarini
5:Kibao cha Namba
6:USAJILI
7: KUSAFISHIWA TAA ZA GARI YAKO

KARIBU TUKUAGIZIE GARI HII. Ng'wanapagi
will1.jpg

will2.jpg
 

Attachments

  • will2.jpg
    will2.jpg
    37.8 KB · Views: 103
MAKE: TOYOTA
MODEL: WILL
YOM: 2002
COLOR: WHITE
CC:1490
KM:121,000

BEI NI MILIONI 9.3
UNALIPA KWA AWAMU MBILI
YA KWANZA UTALIPA MIL 4,650,000 NA AWAMU YA PILI UTALIPA MIL 4,650,000

BEI INAJUMUISHA
1:Usafiri kutoka Japan Mpaka Tanzania
2:Ukaguzi wa Gari Japan
3:Ushuru na Kodi
4:Gharama za Kutolea Gari Bandarini
5:Kibao cha Namba
6:USAJILI
7: KUSAFISHIWA TAA ZA GARI YAKO

KARIBU TUKUAGIZIE GARI HII. Ng'wanapagi
View attachment 1039285
View attachment 1039286
Asante sana naweza pata rangi hii
IMG_20190305_124704_2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAKE: TOYOTA
MODEL: WILL
YOM: 2002
COLOR: WHITE
CC:1490
KM:121,000

BEI NI MILIONI 9.3
UNALIPA KWA AWAMU MBILI
YA KWANZA UTALIPA MIL 4,650,000 NA AWAMU YA PILI UTALIPA MIL 4,650,000

BEI INAJUMUISHA
1:Usafiri kutoka Japan Mpaka Tanzania
2:Ukaguzi wa Gari Japan
3:Ushuru na Kodi
4:Gharama za Kutolea Gari Bandarini
5:Kibao cha Namba
6:USAJILI
7: KUSAFISHIWA TAA ZA GARI YAKO

KARIBU TUKUAGIZIE GARI HII. Ng'wanapagi
View attachment 1039285
View attachment 1039286

HEBU NIANGALIZIE BENZI CONVERTIBLE MKUU
 
Inawezekana kama nilivyokueleza inbox mkuu
Pole na majukumu mkuu....
Nilikuwa naulizia gari kampuni ya FOTON body type SUV., huku nawaona nayo wakuu wa vitengo tuu na katika misafara ya viongozi, na katika zunguka zunguka yangu sijawahi iona ya private.
Vipi inaweza kupatikana? Maana nimevutiwa nayo na wahusikaaa wanasema kiwese sio Kama NISSAN au Land cruiser
images.jpeg
 
Pole na majukumu mkuu....
Nilikuwa naulizia gari kampuni ya FOTON body type SUV., huku nawaona nayo wakuu wa vitengo tuu na katika misafara ya viongozi, na katika zunguka zunguka yangu sijawahi iona ya private.
Vipi inaweza kupatikana? Maana nimevutiwa nayo na wahusikaaa wanasema kiwese sio Kama NISSAN au Land cruiser
View attachment 1039674
Mkuu hizi Gari ni Kweli zinaonekana Katika Misafara ya Viongozi na Zikimilikiwa na POLISI na Kuhusu Mtu Binafsi sina uhakika Japo niliona Mmoja ikiwa na Namba za Mtu Binafsi na Hivi karibuni nilipata nafasi ya kuzungumza na jamaa yangu mmoja na kunielezea kuhusu hizi gari maana ana taarifa za ziada tu Aliniambia Ni Gari Nzuri sana Ila Changamoto zake ni SPEA ni Gari za Kichina na Ikisumbua Wachina Wenyewe ndio wanazikarabati na kwasasa Spea zake Kwa huku Kwetu ni Ishu.
 
Yes Ni kweli Kwenye Masoko ya online ni ngumu kuzipata kwasababu hizi Gari ni Zao la Kichina na Changamoto zake ni SPEA Kwasasa lakini Kwa Kadri siku zinavyozidi Kwenda inaonekana spea zitaanza kupatikana ila tu Ufundi wake sina hakika kama Mafundi wetu wanaweza kuzikarabati labda wachina Wenyewe Lakini Naendelea Kuzifuatilia na kutaka kuzifahamu kwa undani zaidi na Kuhusu kupatikana Upatikanaji wake unaweza kuwa mgumu mpaka kufahamu masoko ya China Moja kwa Moja
 
Yes Ni kweli Kwenye Masoko ya online ni ngumu kuzipata kwasababu hizi Gari ni Zao la Kichina na Changamoto zake ni SPEA Kwasasa lakini Kwa Kadri siku zinavyozidi Kwenda inaonekana spea zitaanza kupatikana ila tu Ufundi wake sina hakika kama Mafundi wetu wanaweza kuzikarabati labda wachina Wenyewe Lakini Naendelea Kuzifuatilia na kutaka kuzifahamu kwa undani zaidi na Kuhusu kupatikana Upatikanaji wake unaweza kuwa mgumu mpaka kufahamu masoko ya China Moja kwa Moja
Sawa mkuu..... Zifuatilie kwa ukaribu na makini.
Ikiwezekana na uzuri na ubaya wake piaaa.
Ila moja Zuri Ni kwenye kiwese, alhamdullillah mchina aiseee hahhahhahahhaaaaaaa
 
Back
Top Bottom