wamemziba pua kabla hajapiga chafyaUwache dhambi bana πππ hii haina tofauti na kusema "Ile anataka kuruka tu mtaro akateleza pwaaaaaaa"
nimesoma sijaelewa naona tu walevi mara bar mara nini sijui aaaghπSoma thread mwanzo kabisa, hiyo post niliokumention ni baada ya rafiki kutolewa mchezoni kula ban
Watanisweka mara ngapi?mkuu Uboboh usiyatie moyoni ila na wewe ukiendelea jifanya shaban robert watakuswekaπ