Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamemziba pua kabla hajapiga chafyaUwache dhambi bana 😂😂😂 hii haina tofauti na kusema "Ile anataka kuruka tu mtaro akateleza pwaaaaaaa"
nimesoma sijaelewa naona tu walevi mara bar mara nini sijui aaagh😏Soma thread mwanzo kabisa, hiyo post niliokumention ni baada ya rafiki kutolewa mchezoni kula ban
Watanisweka mara ngapi?mkuu Uboboh usiyatie moyoni ila na wewe ukiendelea jifanya shaban robert watakusweka😂