Show the way, super G

Show the way, super G

Uboboh

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2023
Posts
307
Reaction score
904
Baada ya pilika za siku, tunapoa baa tukichoma maini tuliyopewa bure, meza inawatu hawa
1.Mwenye baa
2.Wafanyakazi wake
3.Wateja
4.Wapumzikaji (Wapita njia)

Njoo tusemezane wenye akili
Je ni haki kula kwa mkono kushoto kitimoto?
Mbona kwenye guidelines hapo kakataza?
Hayo si maamuzi binafsi?
Je ukiiga uwajibishwe?

Jibu na hapana! Binadamu tunafanya makosa ila mbona mwenye baa hawa staff wako (bamedi) wanatunyanyasa kajamba mlevi yule unajibu mapigo unatupwa nje wewe yeye anabaki?

Namengi ila niishie hapa
Mods hapa sijavunja sheria, msije nipa double kick, kisa et savannah hazinileweshii, hii baa hii itatuuwa
Kwako Gily Depal na AlmightyGod na chawa wengine

Usipo elewa basi utumie mafuta na maji siku saba umalizie na keki, nimejaribu sana kulainisha

Nilichosahau ni kuwa huyo mmiliki wa baa yeye kama hayupo yupo bize na mahesabu wateja tunanyongwa and he don't care
 
Baada ya pilika za siku, tunapoa baa tukichoma maini tuliyopewa bure, meza inawatu hawa
1.Mwenye baa
2.Wafanyakazi wake
3.Wateja
4.Wapumzikaji (Wapita njia)

Njoo tusemezane wenye akili
Je ni haki kula kwa mkono kushoto kitimoto?
Mbona kwenye guidelines hapo kakataza?
Hayo si maamuzi binafsi?
Je ukiiga uwajibishwe?

Jibu na hapana! Binadamu tunafanya makosa ila mbona mwenye baa hawa staff wako (bamedi) wanatunyanyasa kajamba mlevi yule unajibu mapigo unatupwa nje wewe yeye anabaki?

Namengi ila niishie hapa
Mods hapa sijavunja sheria, msije nipa double kick, kisa et savannah hazinileweshii, hii baa hii itatuuwa
Kwako Gily Depal na AlmightyGod na chawa wengine

Usipo elewa basi utumie mafuta na maji siku saba umalizie na keki, nimejaribu sana kulainisha

Nilichosahau ni kuwa huyo mmiliki wa baa yeye kama hayupo yupo bize na mahesabu wateja tunanyongwa and he don't care
Hii thread ilipaswa kuwa kule "jamii interijensi"
 
Baada ya pilika za siku, tunapoa baa tukichoma maini tuliyopewa bure, meza inawatu hawa
1.Mwenye baa
2.Wafanyakazi wake
3.Wateja
4.Wapumzikaji (Wapita njia)

Njoo tusemezane wenye akili
Je ni haki kula kwa mkono kushoto kitimoto?
Mbona kwenye guidelines hapo kakataza?
Hayo si maamuzi binafsi?
Je ukiiga uwajibishwe?

Jibu na hapana! Binadamu tunafanya makosa ila mbona mwenye baa hawa staff wako (bamedi) wanatunyanyasa kajamba mlevi yule unajibu mapigo unatupwa nje wewe yeye anabaki?

Namengi ila niishie hapa
Mods hapa sijavunja sheria, msije nipa double kick, kisa et savannah hazinileweshii, hii baa hii itatuuwa
Kwako Gily Depal na AlmightyGod na chawa wengine

Usipo elewa basi utumie mafuta na maji siku saba umalizie na keki, nimejaribu sana kulainisha

Nilichosahau ni kuwa huyo mmiliki wa baa yeye kama hayupo yupo bize na mahesabu wateja tunanyongwa and he don't care
Tayari nimekula bann na kutupwa nje!
650F01B2-4066-4F80-869F-014BE6E5B84E.jpeg

Hawa mods wana roho za korosho sana..🤣🤣
 
me amna nilichokielewa hapa🙌🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️
Soma thread mwanzo kabisa, hiyo post niliokumention ni baada ya rafiki kutolewa mchezoni kula ban
 
Back
Top Bottom