Show ya Diamond Mbeya, kiingilio Tshs 100,000

Show ya Diamond Mbeya, kiingilio Tshs 100,000

laki si pesa.

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
10,003
Reaction score
9,755
NIko Kyela hapa nimeona matangazo ya Show ya diamond kesho IDD pili kwenye ukumbi wa Mwamunyange kilichonishangaza kiingilio VIP tsh 100,000(laki moja).
Hivi kweli huku wilayani Kyela kuna watu wakutoa laki moja kweli bora ingekuwa Mbeya Mjini hapo ningeelewa.
13510923_161223780962492_470517920149516297_n.jpg
 
NIko Kyela hapa nimeona matangazo ya Show ya diamond kesho IDD pili kwenye ukumbi wa Mwamunyange kilichonishangaza kiingilio tsh 100,000(laki moja).
Hivi kweli huku wilayani Kyela kuna watu wakutoa laki moja kweli bora ingekuwa Mbeya Mjini hapo ningeelewa.
Mziki upi wa laki moja, watanzania bwana. Diamond anapiga muziki gani wa hivyo! Sawa na yale malapulapu yaliyowekwa humu eti ni nguo za design watu wananunua
 
Mkuu mbona hayo matangazo yana karibia mwezi, we ndo umejua leo
 
Masikini wana maneno..... Kwani umeambiwa show ni yako... Subiri yako ya 10000 itakuja mwakani au ata ileta ray navy
 
100,000 au 10,000!!!!!!?? akizidi watu 10
 
Back
Top Bottom