Show ya Diamond mjini Kahama

Show ya Diamond mjini Kahama

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Show yako ya kahama was lit ile ndio definition ya msanii wa kimataifa tume enjoy mpaka watu wakataka usiondoke jukwaani ubunifu ulikuwa wa Hali ya juu, sound ilikuwa nzuri, jukwaa lilikuwa lime setiwa vizuri na pia performance yako ilikuwa babkubwa.
 
Chief vp kuhusu yule dem alimpandisha pale akacheza nae mpaka kwenye bed, aliandaliwa au ilitokea tu? Na kuna info zozote unazojua kumhusu Sada diamond.
 
Chief vp kuhusu yule dem alimpandisha pale akacheza nae mpaka kwenye bed, aliandaliwa au ilitokea tu? Na kuna info zozote unazojua kumhusu Sada diamond.
moja segment niliyoipenda ni pamoja na hiyo ila kuhusu yule demu sijajua
 
moja segment niliyoipenda ni pamoja na hiyo ila kuhusu yule demu sijajua
In no kama uko kahama iwe nyahanga,nyasubi,mungula,zongomela,kinaga,mama farida,bija,majengo,fantom,au Manta mtafute bana kishwa umwage humu details zake maana ule ushirikiano alo onesha si wa nchi hii. Aidhani kama yule ni wa kahama nayoijua. Ulowa kabisa au zongomela afanye vitu vile? Katule bhabha
 
Write your reply...
naskia video inama imetoka muda sio mrefu
 
Back
Top Bottom